Tetesi: Warumi nafukutwa na umbea leo

Hivi hizo habari za watu huwa mnazijuaje?

Au huwa hamzijui bali huwa mnasadiki lakini hamjui tofauti kati ya kujua na kusadiki?
 
Namimi nikipata pesa kama Fred Vunjabei sijui ntampata nani, labda Wastara

Mwache was Tara was watu , mxieew wanaume hamnaga hat aibu , dada wa Watu na ulemavu wake bado tu mnataka kwenda kumdanga mxieew
 
Hatari sana, yani imekuwa je hawa msstar walioshindikana kitabia kuzaa au mimba ziligoma kutoka?
Hafu huyo tunda si alikuwa anatoka na Whozu na Whozu si rafiki na vunjabei?
 
Ila Tunda mbona nasikia hana mimba ni kiki tu.

Daah majani Kweli, kaangukia pua ila ndege hufananao huruka pamoja
 
Kwakweli kama ni kweli Majani ndiye mwenye mimba ya Umber lulu basi hakika kichwani atakuwa amepata hitirafu kidogo duuuu.... yani majani amelivaa hilo lidangaji aisee dunia haina huruma ...na kama ni kweli P funk ajiandae kusumbuli hadi atajuta kuloweka kwenye hiyo papuchi..... aisee hata siamini
 

Majan ana nini?ana tabia nzuri mno au?
 

Nini Majan mi nilishangaa tu amberlulu kutoka na prezzo, wanaume hawatabiliki
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] amber lulu ana mimba ya p funk majani.p funk ana trend,kajala ana trend,paula ana trend[emoji3][emoji3][emoji3]. inaonekana harmonize ana hela mpaka mwanamke anaenda kumroga[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…