Underwood
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 1,909
- 3,120
Mji mkubwa huu.
[emoji23] uko ilala au nje nje huku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mji mkubwa huu.
Kwani Lulu hajawah zaa?kutoa mimba nako ni kuzaa🤣🤣🏃warumi Lulu amekosa kitchen party, ameolewa ndoa kama ya watu wazima waliokwisha zaa sasa wanahalalisha tu. Tulitegemea harusi ya Jumamosi baada ya send off.
Kitchen party za siku izi azina maana kwa mabinti wenyewe wanayo makubwa kuliko ya kitchen partywarumi Lulu amekosa kitchen party, ameolewa ndoa kama ya watu wazima waliokwisha zaa sasa wanahalalisha tu. Tulitegemea harusi ya Jumamosi baada ya send off.
Kwani naye anafanyia sehemu ya kupata mimbaAmber Ruty ana mimba ya Diamond
"Huyu ni shemeji yako, ukileta shobo nakuzabaa pwaaaa"😁😁😁Tunda na mimba ya vunja Bei??!!? Hatari sana
😂😂"Huyu ni shemeji yako, ukileta shobo nakuzabaa pwaaaa"😁😁😁
chek pmDada ako warumi Nina miaka 43 hata boyfriend sina
Pwa pwa pwa pwaaaaaaaaa,😂😂
Pwaaaa...pwaaaa..pwaaaa...pwaaaaaa!!!
🤣🤣Pwa pwa pwa pwaaaaaaaaa,
Pwa pwa pwa pwaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣
Si uwe unatu-inbox kama hujaokota tunda hapa duniani?Kwanza kabisa hongera sana Lulu kwa kuolewa, hapa wambea umetukomesha, yan umetuvua nguo Mchana kweupe, mxieew mbwa wewe, shoga umeokota embe dodo mjini, jiji gumu hili, Dada ako warumi Nina miaka 43 hata boyfriend sina ....
Secondly,I’m loving this new couple ya mjini , Harmonize na Kajala, what a perfect match , Harmonize kweli kapenda, kafa kaoza ila sijui kwa nini Warumi mie nahis hili penz it will end in premium tears, I doubt Kajala ako na the same feeling kama Harmonize , ila napenda tu wamependezeana and the love looks natural , ingawa kuna Tetesi Kajala kamroga sana mmakonde wa watu
Halafu nasikia Tunda ana mimba ya vunja bei
Amber lulu nae ana mimba ya p-funk majan
🤣🤣
Ila whozu alifikiria nini kuimba ule wimbo 😂😂🙌🙌
Hadi wewe jiraniDuh!!!!
Si ndio anapopajua, kule kwingine anaona ni magendoKwani naye anafanyia sehemu ya kupata mimba
Huyo vinjabei mbona anakuja Kasi sana mjiniKwanza kabisa hongera sana Lulu kwa kuolewa, hapa wambea umetukomesha, yan umetuvua nguo Mchana kweupe, mxieew mbwa wewe, shoga umeokota embe dodo mjini, jiji gumu hili, Dada ako warumi Nina miaka 43 hata boyfriend sina ....
Secondly,I’m loving this new couple ya mjini , Harmonize na Kajala, what a perfect match , Harmonize kweli kapenda, kafa kaoza ila sijui kwa nini Warumi mie nahis hili penz it will end in premium tears, I doubt Kajala ako na the same feeling kama Harmonize , ila napenda tu wamependezeana and the love looks natural , ingawa kuna Tetesi Kajala kamroga sana mmakonde wa watu
Halafu nasikia Tunda ana mimba ya vunja bei
Amber lulu nae ana mimba ya p-funk majan
Hahahahah mimba ya pfunk [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwanza kabisa hongera sana Lulu kwa kuolewa, hapa wambea umetukomesha, yan umetuvua nguo Mchana kweupe, mxieew mbwa wewe, shoga umeokota embe dodo mjini, jiji gumu hili, Dada ako warumi Nina miaka 43 hata boyfriend sina ....
Secondly,I’m loving this new couple ya mjini , Harmonize na Kajala, what a perfect match , Harmonize kweli kapenda, kafa kaoza ila sijui kwa nini Warumi mie nahis hili penz it will end in premium tears, I doubt Kajala ako na the same feeling kama Harmonize , ila napenda tu wamependezeana and the love looks natural , ingawa kuna Tetesi Kajala kamroga sana mmakonde wa watu
Halafu nasikia Tunda ana mimba ya vunja bei
Amber lulu nae ana mimba ya p-funk majan
Sasa kitchen party ya Niniwarumi Lulu amekosa kitchen party, ameolewa ndoa kama ya watu wazima waliokwisha zaa sasa wanahalalisha tu. Tulitegemea harusi ya Jumamosi baada ya send off.
Kwenye vijiwe vya kahawa .Hivi hizo habari za watu huwa mnazijuaje?
Au huwa hamzijui bali huwa mnasadiki lakini hamjui tofauti kati ya kujua na kusadiki?
Sasa lawyer unamuonaje majani? majani ni kichwa kwenye muziki tu, huku kwingine dishiKwakweli kama ni kweli Majani ndiye mwenye mimba ya Umber lulu basi hakika kichwani atakuwa amepata hitirafu kidogo duuuu.... yani majani amelivaa hilo lidangaji aisee dunia haina huruma ...na kama ni kweli P funk ajiandae kusumbuli hadi atajuta kuloweka kwenye hiyo papuchi..... aisee hata siamini