Tetesi: Warumi nafukutwa na umbea leo

warumi Lulu amekosa kitchen party, ameolewa ndoa kama ya watu wazima waliokwisha zaa sasa wanahalalisha tu. Tulitegemea harusi ya Jumamosi baada ya send off.
Aliolewa j4 coz kesho yake ilikuwa ni jumatano ya majivu kwa resma inaanza hakuna kufunga ndoa katoliki mpaka kwa resma ishe/pasaka.

Naona wameshindwa kusubiri.
 
Ivi mnajuaje kama mtu kwa mpalange hapafai.. ? Siku hizi imekuwa kama halali kabisa watu kula kwa mpalange eeh 😭😭😒😒😒😒.. Mungu aturehemu watu wake
Mungu atusamehe tu si habari nzuri kuskia ila siku hizi watu wanaweka wazi tena sometimes wao wenyewe watendaji wanajisema kabisa
 
Mungu atusamehe tu si habari nzuri kuskia ila siku hizi watu wanaweka wazi tena sometimes wao wenyewe watendaji wanajisema kabisa
Nimeona hata vijana humu baadhi wanashabikia na wanajitapata kuwafanyia wanawake hivyo. Wanajisahau ile ni mbengu, wanaweza jikuta na binti zao wakaja fanyiwa hivyo, ingawa hatuombei
 
Yaan nilishuhudia lile baby shower mwanzo mwisho, mweeeh tumbo kubwa ila matashititi yake ni motroooooooh lol.
Heka heka take huyo mama kijacho, mweeeeh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee hadi nahisi huyo angel huko tumboni kachoka na heka heka za mama yake akitoka atapumzikaπŸ˜€πŸ˜€
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] khaaaaah.
 
Hvi hyo mimba ni ya nani hasa maana kampost baba tofauti, nimpongeze kuamua kuzaa
Sasa huyo Amber hata mwenye mimba anamjua? Km alikua chama la wana na anauza match buree bila kiingilio lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ila ile ya majan , mbna majan na mkewe wanapanick San lol.
 
huyo ndo ndo poa kabla ya kumpelekea moto kwanza unahakikisha mitaa na vitongoji vya Mpalange umepiga deki na kunyonya vilivyo majitaka yote mitaloni ndo shughuli inaanza
Tobaaaaah wee.
 
Mh! sisi tuko karibu na chato huku,mlioko mjini tupasheni habari nasie jioni tukang'are vijiwe vya tangawizi
 
Amber amekanusha kuhusu majani, hizo other couples tumeshazoea. If I was ever a celeb nisingependa kupublicize mahusiano yangu coz mkiachana inaanza kua shida Tena kufuta posts etc. Wapo waliochorana majina tattoo wakaachana wakaanza kuhangaika kufuta. Nawaelewa sana macelebs wanaokeep rlships zao Pvt.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…