cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Sio Ndumbangwe Mithayo (Thea) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mayasa mrisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Ndumbangwe Mithayo (Thea) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mayasa mrisho
Amber Ruty ana mimba ya Diamond
Inamaana hawajui kama ni njia ya Nya?Tatizo la vijana wa kizazi hiki, wamekuwa too curious na tamaa mbele.
Wakiona demu nyuma mashaallah kumejazia, wanataka wachomeke humo humo wajue kuna nini.
Warumi dada angu sorry for irrelevance, hiv huyu jamaa ana uhusiano gani na Uwoya na mbona kafanana sana na yule mtoto wa Uwoya kulikoni?Sijui hawa akina wolper , aunt Ezekiel , wema na wengine sijui wanafikiriag nini ku date na vitoto na kuwatunza na wao wanajifanya eti wameolewa mxieew
Inshort lulu kawapiga shoti moja matata sana, sura zao hawana pa kuziweka, m mama mijitu mizima akili hawana wala elimu hawana kazi umalaya tu mxieew
Na wasipobadilika hakuna mwanaume wa maana watapata, wataishia kuhonga vijana had wakome na wakifulia wanakimbiwa
Yan hii misanii ya bongo movie huwa inanitia hasira sana Yan
Hata hawajafanana mbona, tofauti kabisaa, labda uweke wazi wanafanan kwa kipi?Warumi dada angu sorry for irrelevance, hiv huyu jamaa ana uhusiano gani na Uwoya na mbona kafanana sana na yule mtoto wa Uwoya kulikoni?
Sura zao, hebu jarubu kuziweka pamoja picha zao utaelewa nachomaanishaHata hawajafanana mbona, tofauti kabisaa, labda uweke wazi wanafanan kwa kipi?
Mmmmh hapana kwan hawafanan, sijui kwako labda unaona hivyo siwezi kupinga, ila sidhan km huyo muhusika ana uhusiano wowote na uwoya wala mtoto wake.Sura zao, hebu jarubu kuziweka pamoja picha zao utaelewa nachomaanisha
We ni nabii.. Hapo kwa harmo na kajalaKwanza kabisa hongera sana Lulu kwa kuolewa, hapa wambea umetukomesha, yan umetuvua nguo Mchana kweupe, mxieew mbwa wewe, shoga umeokota embe dodo mjini, jiji gumu hili, Dada ako warumi Nina miaka 43 hata boyfriend sina ....
Secondly,I’m loving this new couple ya mjini , Harmonize na Kajala, what a perfect match , Harmonize kweli kapenda, kafa kaoza ila sijui kwa nini Warumi mie nahis hili penz it will end in premium tears, I doubt Kajala ako na the same feeling kama Harmonize , ila napenda tu wamependezeana and the love looks natural , ingawa kuna Tetesi Kajala kamroga sana mmakonde wa watu
Halafu nasikia Tunda ana mimba ya vunja bei
Amber lulu nae ana mimba ya p-funk majan
Pole bwana mdogo,ila jinsia ya marehemu ilikuwa na utata sana inasemekana alikuwa ni dume lakini yeye anajirefer kama mwanamke,na hata uandishi wake watu tulikuwa tunajua ni wa kikeTunapita kweli duniani. Sijawai kumuona huyu mtu ila roho imeniuma aisee. Na nlikua najua ni mdada siku zote kumbe kaka. Pumzika salama kaka.
Kidume shababi au kidume suruali ?Pole bwana mdogo,ila jinsia ya marehemu ilikuwa na utata sana inasemekana alikuwa ni dume lakini yeye anajirefer kama mwanamke,na hata uandishi wake watu tulikuwa tunajua ni wa kike
Ni utata mtupu bwana mdogoKidume shababi au kidume suruali ?
Ni utata mtupu bwana mdogo
Ni utata mtupu bwana mdogo
Huyu ndio wanasema ni kijana wa kiume?Dada ako Warumi nina miaka 43 hata boyfriend sina ....