Mpendwa unaonaje tukimpa Warumi uMod..Awe anatuletea ubuyu mubashara kutoka pm za watu..Halafu ntamuomba aanze na yako..Teh tehBinamu...
Mi nakupenda sana napendaga sana udaku unaoleta hapa, tunacheka, tunafurahia na muda unaenda.
Swali langu mwanajf usiempenda kuliko wote ni nani, kwanini? Na nani unampenda zaidi
Ukiona pm yangu utazimia ukizinduka unazimia tena MpendwaMpendwa unaonaje tukimpa Warumi uMod..Awe anatuletea ubuyu mubashara kutoka pm za watu..Halafu ntamuomba aanze na yako..Teh teh
Teh teh..Basi ngoja niongee na Mods..Nimemiss kuzimiaUkiona pm yangu utazimia ukizinduka unazimia tena Mpendwa
1.Umeolewa? Kama Hapana Je Unampango wa Kuolewa?uliza tu
Technically hapa umeshfk leeks na kuji expose kuwa wewe ni KE.sidhani kama ni mimi
" Umbea haufundishwi inatakiwa upende kwanza lol "Nadhani kwa sbabu nafahamiana na baadhi ya mastaa au watu waliokaribu na mastaa so inakua rahisi kupata ubuyu,pia kuwa karibu na mitandao ya kijamii na kufuatilia habari za mastaa.
Umbea haufundishwi, unatakiwa upende kwanza lol, ila ubunifu muhimu, kuongezw chumvi muhimu
Unampenda Kiba, usingemtaja ningeshangaa.I always love what you do
Na pia kwa nini huwa una onekana kama huwa huposti sana habari za Ali kiba, ni kwamba huwa hana story zozote zile?
Kiba ni hatareeeee[emoji91] [emoji91]Unampenda Kiba, usingemtaja ningeshangaa.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]