wewe ni mwanamke mbona tunajua aiseeHaya mashabiki zangu wa ubuyu nipo live now, uliza chochote kuhusu mimi nitakujibu ,kipi nakufuraisha au kukuboa, its a serious Talk, uwarumi tuuache pembeni kidogo, nakaribisha maswali ,maoni na ushauri, haya sasa uwanja.
Note: Suala la jinsia yangu sitalijibu leo.
Yes,napenda habari za udaku, na sina mahusiano yeyote na watu wa usalama, kuhusu kustaafu umbea sidhani aaah
Mbona wewe ni mdogo sana lakini una sound kama mtu mzima??
May be it is hermaphroditeHapana ndio nini?
Mara niulize anything, mara jinsia hutajibu, tukueleweje?Haya mashabiki zangu wa ubuyu nipo live now, uliza chochote kuhusu mimi nitakujibu ,kipi nakufuraisha au kukuboa, its a serious Talk, uwarumi tuuache pembeni kidogo, nakaribisha maswali ,maoni na ushauri, haya sasa uwanja.
Note: Suala la jinsia yangu sitalijibu leo.
Safi sana nimekuvuka 1 kumbe
Simchukii wema,ila nachukia tu jinsi mashabiki zake wanavyomtetea hata kama akifanya ujinga,eg kudanganya kanunua nyumba ya mil 400 kumbe si kweli, ila simchukii, wema ni kati ya wasichana ninaowakubali kimuonekano.Kwann unamchukia wema? Je abadili kipi katika lifestyle yake?
huko chini una shimo au muhogo?
Umeolewa!nipo dar
Nakufahamu wewe hadi kazi yako, je umeolewa?hapana