Warumi: Nipo Live JF now, ask anything about me

Warumi: Nipo Live JF now, ask anything about me

Haya mashabiki zangu wa ubuyu nipo live now, uliza chochote kuhusu mimi nitakujibu ,kipi nakufuraisha au kukuboa, its a serious Talk, uwarumi tuuache pembeni kidogo, nakaribisha maswali ,maoni na ushauri, haya sasa uwanja.

Note: Suala la jinsia yangu sitalijibu leo.
wewe ni mwanamke mbona tunajua aisee
 
Ushawahi kuwa kwenye mahusiano na ikatokea habari zako sensitive zikawa ubuyu kwa wengine je ulihandle vipi bio hali?
Kama haijakutokea unahisi ikikupata utakuwa katika hali gani?
 
Haya mashabiki zangu wa ubuyu nipo live now, uliza chochote kuhusu mimi nitakujibu ,kipi nakufuraisha au kukuboa, its a serious Talk, uwarumi tuuache pembeni kidogo, nakaribisha maswali ,maoni na ushauri, haya sasa uwanja.

Note: Suala la jinsia yangu sitalijibu leo.
Mara niulize anything, mara jinsia hutajibu, tukueleweje?
 
Kwann unamchukia wema? Je abadili kipi katika lifestyle yake?
Simchukii wema,ila nachukia tu jinsi mashabiki zake wanavyomtetea hata kama akifanya ujinga,eg kudanganya kanunua nyumba ya mil 400 kumbe si kweli, ila simchukii, wema ni kati ya wasichana ninaowakubali kimuonekano.

Ushauri aachane na marafiki ,apige kazi
 
Kwa umbea wako, umeshakutana na Wasanii wepi hapa Bongo?
 
Back
Top Bottom