Warumi: Nipo Live JF now, ask anything about me

Warumi: Nipo Live JF now, ask anything about me

Kwa jinsi maandiko yako yalivyo ni kama unashiriki mapenzi ya jinsia moja. Ni kweli?
 
Bac kam umeweza ku skip suala la jina lako halisi kwa 7bu za kiusalama as u wish
Vp kuhus jinsia yako maana kiukwel mm mpk dk hii cjaijua
 
Yes,napenda habari za udaku, na sina mahusiano yeyote na watu wa usalama, kuhusu kustaafu umbea sidhani aaah
ni zaidi ya mara 2 naona comment ikikuhusisha na watu hao.unadhani sababu nn?


unawachukuliaje wanawake Tom boys?

ni principles gn umejiwekea na kamwe huzi compromise?
 
ku overstay Dubai, nilipewa penalty ya nguvu sitasahau , nilinogewa tu na bata za huko,lol
25 years then umepewa penalty ya nguvu Dubai na ni mfanyabiashara!!!!???? 😳 😳 😳 😳 😳 😳
 
Haya mashabiki zangu wa ubuyu nipo live now, uliza chochote kuhusu mimi nitakujibu ,kipi nakufuraisha au kukuboa, its a serious Talk, uwarumi tuuache pembeni kidogo, nakaribisha maswali ,maoni na ushauri, haya sasa uwanja.

Note: Suala la jinsia yangu sitalijibu leo.
Tueleze elimu yako, umesoma hadi kidato cha ngapi na fani uliyosomea...
 
Warumi..HIVI KILE CHAMA CHA WASUTAJI NA WASHUSHUAJI.KINAENDA RASMI KABXAA NA MAVUVUZELA ILI AKASUTWE MTU..
Maskani yake ni wapi???
Na huwa wanakodishwa kwa bei gani???
 
Haya mashabiki zangu wa ubuyu nipo live now, uliza chochote kuhusu mimi nitakujibu ,kipi nakufuraisha au kukuboa, its a serious Talk, uwarumi tuuache pembeni kidogo, nakaribisha maswali ,maoni na ushauri, haya sasa uwanja.

Note: Suala la jinsia yangu sitalijibu leo.
Umeuza kete ngapi jana?
 
Kiwango cha elimu ningependa kujua?
Je kwa nini huwa unamponda sana Lulu(Elizaberth Michael)?
 
Back
Top Bottom