Warumi (RIP) nimekumiss mwenzio

Warumi (RIP) nimekumiss mwenzio

mama D

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
19,981
Reaction score
35,581
Jioni kama hii ungekuepo ningekua napitia posts zako mpya au comments zako za habari za mjini, habari zenye mafunzo aka umbea wenye afya

Nilikuaga najichekea mwenyewe ila kila kicheko na kichekesho toka kwako kilikua na mafunzo au shule ndani yake..... Dah kifo hiki💔😥👐

Kusema ukweli kuna threads zako ambazo nimewahi kuwapa mabinti machachari wanaochepukia, mabinti wanaodhani kila siku wataendelea kuwa kama walivyo zikawabadilisha sanaaaaa

Endelea kupumzika kwa amani binamu🕊🙏
 
Mlenge
Nimekuta wamemuwekea Badge tayari sijui kafariki lini huyu ndugu😢😢
Screenshot_20210930-183100~2.png
 
Pengo la huyu mwamba kweli linaendelea kuonekana na sidhani kama atatokea wa kuliziba. Kiukweli jamaa alikuwa na kipaji cha kipekee sana! Ukiingia nae ligi ujipange kweli vinginevyo utaishia kuoga vichambo tu.

Kila mtu unique na Warumi alikua wa aina yake.
1.Uwezo mkubwa wa kuchambua mambo
2.Msimamo katika alichokiamini
3.Alikua na uwezo mkubwa wa kuona ubora kwenye watu/vitu bora
4.Pia alikua na uwezo wa kuona ubora kwenye watu/vitu visivyo bora
5.Alikua na uwezo mkubwa wa ushawishi
6.Alikua msema ukweli, hata ule ukweli unaouma
7.Alikua hodari wa kulumbana kwa hoja zenye mashiko
8.Kila neno aliloliongea hata liwe na ukakasi lilikua na thamani kwenye content yake
9.Alikua mtu wa watu, nna uhakika sio hapa jukwaani tuu ila hata nje ya jukwaa
10.Naweza kusema alikua na akili nyingi sana, akili za kizaliwa

Warumi alikua mmoja kati ya members mahiri sana kwangu hapa jf
 
Jioni kama hii ungekuepo ningekua napitia posts zako mpya au comments zako za habari za mjini, habari zenye mafunzo aka umbea wenye afya

Nilikuaga najichekea mwenyewe ila kila kicheko na kichekesho toka kwako kilikua na mafunzo au shule ndani yake..... Dah kifo hiki💔😥👐

Kisema ukweli kuna threads zako ambazo nimewahi kuwapa mabinti machachari wanaochepukia, mabinti wanaodhani kila siku wataendelea kuwa kama walivyo zikawabadilisha sanaaaaa

Endelea kupumzika kwa amani binamu🕊🙏
[/QUOTEIla @ila warumi alitokea mbeya sio ccm yule
 
Jioni kama hii ungekuepo ningekua napitia posts zako mpya au comments zako za habari za mjini, habari zenye mafunzo aka umbea wenye afya

Nilikuaga najichekea mwenyewe ila kila kicheko na kichekesho toka kwako kilikua na mafunzo au shule ndani yake..... Dah kifo hiki💔😥👐

Kisema ukweli kuna threads zako ambazo nimewahi kuwapa mabinti machachari wanaochepukia, mabinti wanaodhani kila siku wataendelea kuwa kama walivyo zikawabadilisha sanaaaaa

Endelea kupumzika kwa amani binamu🕊🙏
NA SISI TUPUMZIKE KWA AMANI KWA WAKATI UJAO.....RIP FOR ALL OF US
 
Kadiri umri unavyosonga ndo nazidi kukitafakari kifo!! Na honesty sipati majibu ya kutosha, Kifo kisikie tu kwa jirani kinauma sana kwa mtu wa karibu.
imefikia mahala hadi naona hakukuwa na maana kabisa ya kuzaliwa na kuja duniani!
Kuzaliwa na kufa ni moja ya mission mbovu kabisa kuwahi kutokea duniani . It had to be either on , or off , not both.

Rip warumi !! , mbele yetu, nyuma yako
 
Kila mtu unique na Warumi alikua wa aina yake.
1.Uwezo mkubwa wa kuchambua mambo
2.Msimamo katika alichokiamini
3.Alikua na uwezo mkubwa wa kuona ubora kwenye watu/vitu bora
4.Pia alikua na uwezo wa kuona ubora kwenye watu/vitu visivyo bora
5.Alikua na uwezo mkubwa wa ushawishi
6.Alikua msema ukweli, hata ule ukweli unaouma
7.Alikua hodari wa kulumbana kwa hoja zenye mashiko
8.Kila neno aliloliongea hata liwe na ukakasi lilikua na thamani kwenye content yake
9.Alikua mtu wa watu, nna uhakika sio hapa jukwaani tuu ila hata nje ya jukwaa
10.Naweza kusema alikua na akili nyingi sana, akili za kizaliwa

Warumi alikua mmoja kati ya members mahiri sana kwangu hapa jf
Pamoja na yote, kitendo cha mwanaume kukubali mwanaume mwezio kukuingiza …. Naomba niishie hapo maana hata katika interview ya baba yake Banana Zoro - Zahiri alisema kuwa angaliua kama kijana wake angalifanywa Shoga
 
Kila mtu unique na Warumi alikua wa aina yake.
1.Uwezo mkubwa wa kuchambua mambo
2.Msimamo katika alichokiamini
3.Alikua na uwezo mkubwa wa kuona ubora kwenye watu/vitu bora
4.Pia alikua na uwezo wa kuona ubora kwenye watu/vitu visivyo bora
5.Alikua na uwezo mkubwa wa ushawishi
6.Alikua msema ukweli, hata ule ukweli unaouma
7.Alikua hodari wa kulumbana kwa hoja zenye mashiko
8.Kila neno aliloliongea hata liwe na ukakasi lilikua na thamani kwenye content yake
9.Alikua mtu wa watu, nna uhakika sio hapa jukwaani tuu ila hata nje ya jukwaa
10.Naweza kusema alikua na akili nyingi sana, akili za kizaliwa

Warumi alikua mmoja kati ya members mahiri sana kwangu hapa jf
Huo ubora wake wore niliopoteza baada ya kugundua ni mme alikuwa anaACT kama KE
 
Pamoja na yote, kitendo cha mwanaume kukubali mwanaume mwezio kukuingiza …. Naomba niishie hapo maana hata katika interview ya baba yake Banana Zoro - Zahiri alisema kuwa angaliua kama kijana wake angalifanywa Shoga

Kabla ya kuishia hapo sio mbaya kama ungesema ni wanaume wepi waliokubali kuingizana. Vinginevyo niseme tuu comment yako inakosa maana kwenye huu uzi
 
Back
Top Bottom