Warusi wameshuka hadhi kiasi cha kugombea kamji ka watu 10,000 ambako kameshindikana

Warusi wameshuka hadhi kiasi cha kugombea kamji ka watu 10,000 ambako kameshindikana

Sisi Tulikuwa tunataka tu tuwafukunyue katika hayo mahandaki na tunataka tuwaondoe ktk hizo barabara za chini ya ardhi. Huo mji ni muhimul sana kama unataka kushinda vita

Na hamtaweza, mtaangukia pua kama ilivyotendeka Kyev...
 
Tatizo lako kwenye majadiliano unakimbia maswali na hoja unazopewa ,yaani mtu anaweza kukuukiza swali na kutoa hoja baada ya kujibu na kupinga kielimu unaweka link na aya zisizohusiana na mada hivyo unpaswa kupuuzwa tu.

Hakuna nadharia unayowea kuweka ikabadilisha ukweli, babu kama lilichafua katoto hata uandike nadharia mia moja, haitabadilisha huo ukatili.
 
We kilaza hizi takbir na vita ya Ukraine/Russia vinahusiana nini, yani ulivyokuwa bwege ushabiki wako wa kidini unauleta mpaka kwenye vitu visivyohusika, au ndo mchungaji wako wa kanisa la mabati(full suti) ndo anavyokufundisha hivyo.

Hehehe mbele kwa mbele....
 
Naomba kuuliza hivi mpaka leo Mrusi hajachukua mji wa kyev toka mwezi wa 3 ama...???
 
Pamoja na kutumia vibaka wa Wagner ambao humo kuna wafungwa wa kila aina, na makombora na zana aina nyingi, kamji ka Solendar kamekua kama mfupa uliomshinda fisi, Warusi wameuawa kama senene (100 kwa siku) ila bado wanapambana kuteka hako kamji, hii aibu sana.
Supa-pawa anataka kudhibiti machimbo ya chumvi, ili waukraine wakila mboga au nyama zikose ladha...😂😂
 
Pamoja na kutumia vibaka wa Wagner ambao humo kuna wafungwa wa kila aina, na makombora na zana aina nyingi, kamji ka Solendar kamekua kama mfupa uliomshinda fisi, Warusi wameuawa kama senene (100 kwa siku) ila bado wanapambana kuteka hako kamji, hii aibu sana.

Ikikumbukwa hawa hawa Warusi walithubutu kuparamia Kyev pale mwanzoni na limsafara lao lile ambalo lilifyekwa lote.
===

An infantry carrier moves quickly across a devastated landscape, traversing a flat expanse dotted with lines of shattered buildings, some reduced to rubble by artillery fire. At one point a plume of smoke is visible, drifting against the backdrop of a huge open mine works.

The drone footage shows the carrier, marked with a red cross, halt beside a building missing part of its roof and many of its windows. A Ukrainian medic darts out and peers briefly around the corner of the building as a casualty is brought out on a stretcher. Loaded quickly, the carrier heads away at high speed, coming under Russian artillery fire as it tries to leave the town.

Pictured in the footage are the ruins of the small Donbas saltmining town of Soledar, and a fleeting scene from a battle where life, death and injury has been measured in the past week in such near and not-so-near misses.

On Friday, as Russia’s defence ministry said its forces had taken full control of the saltmining town, western analysts suggested that, if true, it would be at best a pyrrhic victory, gained at high cost to fighters from the Wagner mercenary group of Yevgeny Prigozhin, who claimed the town had fallen on Wednesday.

Ukrainian officials denied the Russian claim, suggesting they were still holding on and counterattacking, with the Ukrainian military spokesperson Serhii Cherevatyi reporting “ongoing battles”. Before and after photos give a sense of the destruction:

Screenshot_20230115-090305_Google.jpg

Sio 10,000.
 
Sasa chumvi ndio inasababisha Urusi waingie gharama yote hiyo ya kufa kama takataka, na watauawa sana.....Yaani nikikumbuka ilivyojaribu kuparamia Kyev leo mnakwenda kupambania kamji ka chumvi...hehehe
Mkuu soledar ipo ndani ya donbass.
Donbass WARUSI WANATAKA kuchukua yote ili kuwapa RAIA wenye asili ya kirusi Ukraine.
Sasa hasara ipo wapi
 
Nyie watu hivi mnapata wapi huu uongo. Majimbo yote ambayo urusi alikuwa anayahitaji bado ameyashikilia, itambulike kuwa bado urusi hajadeploy jeshi lake mnaohangaika nao ni untrained cops vijana wa mtaani tu wamevalishwa uniform pia vifaa vya kupigania ni vile vya 40s hajafungua maghala ya silaha zake
Bila kusahau wafungwa(wagner)
 
Kwa hiyo anapoteza askari 10,000 ili ateke kamji ka watu 10,000 useless supapawa na bado mpaka sana anaendelea kuingia hasara balaa.
Tuonyeshe HAO askari 10,000 mkuu.
Ila tunajua tuu Ukraine wamepoteza zaidi ya 25000. According to EU.
 
Tuonyeshe HAO askari 10,000 mkuu.
Ila tunajua tuu Ukraine wamepoteza zaidi ya 25000. According to EU.

Urusi mpaka sasa keshapoteza zaidi ya laki, hiyo ni idadi ya ukijumlisha jeshi lote la JWTZ, KDF, NRM na uche....na mpaka sasa wanagombea tumji twa huko mpakani.
 
Ulaya inaanguka kiuchumi. Marekani anawauzia gesi bei juu sana yaani ni mara nane ya bei ya Mrusi. Viwanda vingi uko vinafungwa na bidhaa bei juu. Tuvute tuu muda maada ya muda kuna bomu litalipuka
Swali lilikuwa simple na straight,Ulaya wameshaganda kwa baridi kama Pro Russia wengi humu walivyokuwa wanasema? Hayo ya kuanguka ki uchumi sidhani kama ni sehemu ya jibu ninalohitaji kwa swali rahisi kiasi hiki.
 
Swali lilikuwa simple na straight,Ulaya wameshaganda kwa baridi kama Pro Russia wengi humu walivyokuwa wanasema? Hayo ya kuanguka ki uchumi sidhani kama ni sehemu ya jibu ninalohitaji kwa swali rahisi kiasi hiki.
Hujaona magari vita ya kimarekani yanashindwa kuwaka kwa sababu ya ku freeze
 
Back
Top Bottom