Warusi waomba majenerali wao wapigwe shaba na kuuawa kwa kusababishia nchi aibu


Well said, kwa bahati mbaya wachache watakuelewa wengi wamekwisha kalilishwa kumlaani Putin 24X7 huwambii kitu wakakuelewa - mifano uliyo tuletea hapa zina mshiko sana lakini watu wanajifanya vipofu/viziwi buzz word ni Putin tu wengine ni saits by comparison - I salute vyombo vya habari vya magharibi kwa kufanikisha kwa kiasi kikubwa kuwachota akili baadhi ya watu hapa Duniani wengi wana amini kwamba taarifa zao ni Gospel truth!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…