Harvard
Member
- Mar 29, 2023
- 56
- 61
Ningekuwa admini tayari ungesha tafuta forum nyingine tofauti na hii ili kulinda heshima ya hii forum.Wacha nikuache maana hapo upo karibu kunilipukia bomu muda wowote.... Huwa hamkawii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningekuwa admini tayari ungesha tafuta forum nyingine tofauti na hii ili kulinda heshima ya hii forum.Wacha nikuache maana hapo upo karibu kunilipukia bomu muda wowote.... Huwa hamkawii
Narudia tena, watu wazima sasa hawatoweza kuziamini sana taarifa zako na kibaya zaidi mbinu yako ya kukimbilia kwenye imani za watu pia imeshajulikana. Maana kila post zako lazima ukimbilie huko ili utafute huruma ya watu.Wacha nikuache maana hapo upo karibu kunilipukia bomu muda wowote.... Huwa hamkawii
Tafuta forum yenye vilaza wenzio kisha uwe unawadanganya.Wacha nikuache maana hapo upo karibu kunilipukia bomu muda wowote.... Huwa hamkawii
Mkuu huyu jamaa kachanganyikiwa yupo mdau mmoja humu alishawahi kumpa ushauri atafute tiba ya saikolojia,, so asikupe tabu kwani kwa sasa amekuwa kama kituko tu hapa jukwaani,, ukiwa tu against nae atakuita ostadh,shekhe, gaidi, mfuasi wa muarabu japo mnachojadili wala hakihusiana hata na mambo hayo, na pengine unaweza ukawa wala hata si wa imani hiyo,, kifupi huyu MK254 Ni kubwa jinga.Ta
Tafuta forum yenye vilaza wenzio kisha uwe unawadanganya.
Mkuu ningekushauri mwache tu huyo jamaa, usibishane nae linapokuja suala lake la kumpachika mtu yeyote anayeonekana kuchallenge mawazo yake imani aliyoamua kudeal nayo negatively. Kimsingi hilo ndilo linalomfaidisha, yeye kama yeye, kwani amefanikiwa kupata wafuasi wengi sana kwa sababu hiyo tu.Unaifahamu dini yangu au unakimbilia kwenye mgongo wa dini ili uitafute huruma ya watu?
Mkuu ningekushauri mwache tu huyo jamaa, usibishane nae linapokuja suala lake la kumpachika mtu yeyote anayeonekana kuchallenge mawazo yake imani aliyoamua kudeal nayo negatively. Kimsingi hilo ndilo linalomfaidisha, yeye kama yeye, kwani amefanikiwa kupata wafuasi wengi sana kwa sababu hiyo tu.
Hapo unaongea na mwanaJF bora 2022, amepigiwa kura nyingi tu humu. Kikubwa nikionacho kilichofanya ashinde ni hiyo tabia yake ya kuukashfu upande aliouchagua kwa kuurushia maneno ya kukera kama hayo na si ubora wa mada zake......huko hakuna kitu kabisa, ni mweupe kichwani kama form four wa miaka hii.
Achana nae kwani hatokuacha na maneno yake ya kukera hayo na ndo hivyo wapo wanaofurahishwa nae wanamback up!
Oooh! Sawa, he's Psychiatric..cause has elements "Shifting ideas"Mkuu ningekushauri mwache tu huyo jamaa, usibishane nae linapokuja suala lake la kumpachika mtu yeyote anayeonekana kuchallenge mawazo yake imani aliyoamua kudeal nayo negatively. Kimsingi hilo ndilo linalomfaidisha, yeye kama yeye, kwani amefanikiwa kupata wafuasi wengi sana kwa sababu hiyo tu.
Hapo unaongea na mwanaJF bora 2022, amepigiwa kura nyingi tu humu. Kikubwa nikionacho kilichofanya ashinde ni hiyo tabia yake ya kuukashfu upande aliouchagua kwa kuurushia maneno ya kukera kama hayo na si ubora wa mada zake......huko hakuna kitu kabisa, ni mweupe kichwani kama form four wa miaka hii.
Achana nae kwani hatokuacha na maneno yake ya kukera hayo na ndo hivyo wapo wanaofurahishwa nae wanamback up!
Haya, kuna mtu anaweza kuwa na guts za kusema huyu ni mzima?!!!!!Hehehe safi sana mfuasi wangu, sitawaangusha, nitaendelea kuwaambia ukweli humu, hususan mlioshikiliwa akili na misimamo ya kidini, na sio nyie tu hata huku mitaani na maofisini nyote mumemwagika upande mmoja wa kushabikia udhalimu unaofanywa na Urusi wa kuua watu wa Ukraine na kuiba ardhi yao, eti mnadhani mnaikomoa Marekani.
KabisaOooh! Sawa, he's Psychiatric..cause has elements "Shifting ideas"
Umeelewa ila unakaza fuvu tu!Sheikh...naona umetaharuki tayari....hehehe
Endelea kukaza fuvu!Hehehe tutoangea lugha moja tu takbir
Unapenda kujichekeshachekesha!Hehehe akbar
Aliens are a myth, there is nothing like that in the real world.
Pole pia!Hehehe pole......