Warusi wataharuki baada ya kifaa kisichojulikana (UFO) kupaa juu ya vinu vya nyuklia zao

Warusi wataharuki baada ya kifaa kisichojulikana (UFO) kupaa juu ya vinu vya nyuklia zao

Wacha nikuache maana hapo upo karibu kunilipukia bomu muda wowote.... Huwa hamkawii
Narudia tena, watu wazima sasa hawatoweza kuziamini sana taarifa zako na kibaya zaidi mbinu yako ya kukimbilia kwenye imani za watu pia imeshajulikana. Maana kila post zako lazima ukimbilie huko ili utafute huruma ya watu.
 
Ta

Tafuta forum yenye vilaza wenzio kisha uwe unawadanganya.
Mkuu huyu jamaa kachanganyikiwa yupo mdau mmoja humu alishawahi kumpa ushauri atafute tiba ya saikolojia,, so asikupe tabu kwani kwa sasa amekuwa kama kituko tu hapa jukwaani,, ukiwa tu against nae atakuita ostadh,shekhe, gaidi, mfuasi wa muarabu japo mnachojadili wala hakihusiana hata na mambo hayo, na pengine unaweza ukawa wala hata si wa imani hiyo,, kifupi huyu MK254 Ni kubwa jinga.
 
Unaifahamu dini yangu au unakimbilia kwenye mgongo wa dini ili uitafute huruma ya watu?
Mkuu ningekushauri mwache tu huyo jamaa, usibishane nae linapokuja suala lake la kumpachika mtu yeyote anayeonekana kuchallenge mawazo yake imani aliyoamua kudeal nayo negatively. Kimsingi hilo ndilo linalomfaidisha, yeye kama yeye, kwani amefanikiwa kupata wafuasi wengi sana kwa sababu hiyo tu.
Hapo unaongea na mwanaJF bora 2022, amepigiwa kura nyingi tu humu. Kikubwa nikionacho kilichofanya ashinde ni hiyo tabia yake ya kuukashfu upande aliouchagua kwa kuurushia maneno ya kukera kama hayo na si ubora wa mada zake......huko hakuna kitu kabisa, ni mweupe kichwani kama form four wa miaka hii.
Achana nae kwani hatokuacha na maneno yake ya kukera hayo na ndo hivyo wapo wanaofurahishwa nae wanamback up!
 
Mkuu ningekushauri mwache tu huyo jamaa, usibishane nae linapokuja suala lake la kumpachika mtu yeyote anayeonekana kuchallenge mawazo yake imani aliyoamua kudeal nayo negatively. Kimsingi hilo ndilo linalomfaidisha, yeye kama yeye, kwani amefanikiwa kupata wafuasi wengi sana kwa sababu hiyo tu.
Hapo unaongea na mwanaJF bora 2022, amepigiwa kura nyingi tu humu. Kikubwa nikionacho kilichofanya ashinde ni hiyo tabia yake ya kuukashfu upande aliouchagua kwa kuurushia maneno ya kukera kama hayo na si ubora wa mada zake......huko hakuna kitu kabisa, ni mweupe kichwani kama form four wa miaka hii.
Achana nae kwani hatokuacha na maneno yake ya kukera hayo na ndo hivyo wapo wanaofurahishwa nae wanamback up!

Hehehe safi sana mfuasi wangu, sitawaangusha, nitaendelea kuwaambia ukweli humu, hususan mlioshikiliwa akili na misimamo ya kidini, na sio nyie tu hata huku mitaani na maofisini nyote mumemwagika upande mmoja wa kushabikia udhalimu unaofanywa na Urusi wa kuua watu wa Ukraine na kuiba ardhi yao, eti mnadhani mnaikomoa Marekani.
 
Mkuu ningekushauri mwache tu huyo jamaa, usibishane nae linapokuja suala lake la kumpachika mtu yeyote anayeonekana kuchallenge mawazo yake imani aliyoamua kudeal nayo negatively. Kimsingi hilo ndilo linalomfaidisha, yeye kama yeye, kwani amefanikiwa kupata wafuasi wengi sana kwa sababu hiyo tu.
Hapo unaongea na mwanaJF bora 2022, amepigiwa kura nyingi tu humu. Kikubwa nikionacho kilichofanya ashinde ni hiyo tabia yake ya kuukashfu upande aliouchagua kwa kuurushia maneno ya kukera kama hayo na si ubora wa mada zake......huko hakuna kitu kabisa, ni mweupe kichwani kama form four wa miaka hii.
Achana nae kwani hatokuacha na maneno yake ya kukera hayo na ndo hivyo wapo wanaofurahishwa nae wanamback up!
Oooh! Sawa, he's Psychiatric..cause has elements "Shifting ideas"
 
Hehehe safi sana mfuasi wangu, sitawaangusha, nitaendelea kuwaambia ukweli humu, hususan mlioshikiliwa akili na misimamo ya kidini, na sio nyie tu hata huku mitaani na maofisini nyote mumemwagika upande mmoja wa kushabikia udhalimu unaofanywa na Urusi wa kuua watu wa Ukraine na kuiba ardhi yao, eti mnadhani mnaikomoa Marekani.
Haya, kuna mtu anaweza kuwa na guts za kusema huyu ni mzima?!!!!!
 
Refer kwenye comments zangu nilizo ambiwa niprove kuhusiana na akili zake kisha kisha aoma kila point niliyoiandika pale yaani ana (Delusions, illusions, Hallucinations na Disorganized behaviors).


Please soma hizo sifa kisha relate na anavyo comments: huyu ni PSYCHITRIC.


Hivyo mungemgundua toka mwanzo hamkupaswa kumpigia kura magonjwa huyu.
 
Aliens are a myth, there is nothing like that in the real world.

Kibongo bongo kitu usipokiamini wewe ndio hakipo na hulka ya wabongo kitu mpaka wakione wao kwa macho ndio waamini kipo

Hawaamini uchawi ila wanapishana kwa waganga kutafuta utajiri wa nguvu za giza/mapete, majini na kulogana kwa kufelishana kwa kusudi wenzao wasifanikiwe
 
Back
Top Bottom