Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri ni MURDERJamani, mwenye uelewa anidaidie,
Maana hii imekaa KiItelejensia zaidiView attachment 2839255
Unazunguka sana.Nafikiri ni MURDER
Inaonekana alikuwa anaandika kama ujumbe fulani kwa kushinikizwa akiwa ameshikiwa silaha,baada ya hapo akaambiwa turn around na kupiga magoti muuaji akamshoot.
Baada ya kumaliza kazi yake huo mwili unaonekana umewekwa na muuaji akamshikisha silaha pamoja na sigara maana si rahisi kujiua ukaendelea kushika silaha na sigara katika pozi hilo aliloliweka.
Cha kujiuliza kama muuaji alitekeleza mauaji hayo kwanini amuachie silaha mkononi? Hiyo ni silaha ni ya aliyeuliwa au muuaji? Kama ya muuaji kuna possibility alifanya uhalifu sehemu nyingine akaja kuitumia huku? Au kama ni ya aliyeuliwa muuaji aliipata vipi?
Kulikuwa kuna ulazima gani wa taa ya mezani kuchomolewa kwenye soketi? Kiti kilianguka vipi?
hizi picha za hivi nazipendaga sana.
Jamani, mwenye uelewa anidaidie,
Maana hii imekaa KiItelejensia zaidiView attachment 2839255
Kwani Mimi nimesema kajiua?Unazunguka sana.
Jibu ni kuwa ameuliwa. Na sababu kubwa ni mkono ulioshika bastola ni wa kulia huku damu zilirukia ukutani kutokea upande wa kushoto.
Swali la kujiuliza kama alijiua huku ameshika bastola mkono wa kulia ilikuwaje damu ionekano kana kwamba ni shambulio lililotokea mkono wa kushoto?
Point yangu ni kuwa umezunguka snaa na majibu yako hayashawishi katika medani za uchunguzi baada ya vifo/kifoKwani Mimi nimesema kajiua?
As Far as My little knowledge of Forensic Medicine (Forensic Science) it May concern huyu Mtu kauliwa it was Murder...
If she shot herself.
- Blood Splashif she was shot herself on the right hand as shown, then We could Be seen the blood splash ikiwa upande wa kushoto..but kwa bahati mbaya kajishuti kwa upande wa kulia na blood splash ziko upande wa kulia This is stupid thing the murder Thought..
Hahah nakubali mkuu grammar errorIf she shot herself.
Mengine yote nakubaliana na wewe
Kwanza leta ushahidi kama amekufa kweli ndio tujadili ikiwa ni kujinyonga au mauaji.