Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kwa wanatheolojia na wenye ilimu wote
Karibuni tujifunze
Tafakuri ya kina kwa wanatheolojia na wenye ilimu wote
Karibuni tujifunze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohoo...Wadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kwa wanatheolojia na wenye ilimu wote
Karibuni tujifunze
Ulipost mida mibaya.. Ngoja kucheWadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kwa wanatheolojia na wenye ilimu wote
Karibuni tujifunze
Wezee haulaliUlipost mida mibaya.. Ngoja kuche
Ukifa biashara imeisha.,..hakuna kufufuliwa Tena au kwenda sijui wapi...hizo hadidhi za dini NI kupunguza uovu duniani.,.Nje na wasabato kama wewe ni mkristo kama mimi hapa naomba ushahidi kuwa mbinguni hatuoa wala kuolewa
mbinguni hakutakuwa na jua wala mwezi.Lete ushahidi usio na shaka juu ya mambo hayo mawili tu kati ya mengi.
NB:Unaushahidi gani kuwa dhambi zako husamehewa kila unapotubu?
🤔 🤔 🤔 💭Ukifa biashara imeisha.,..hakuna kufufuliwa Tena au kwenda sijui wapi...hizo hadidhi za dini NI kupunguza uovu duniani.,.
Hata asipokujibu hilo lako, bado hiyo haimaanishi kuwa la Wasabato litakuwa limejibiwaNje na wasabato kama wewe ni mkristo kama mimi hapa naomba ushahidi kuwa mbinguni hatuoa wala kuolewa
mbinguni hakutakuwa na jua wala mwezi.Lete ushahidi usio na shaka juu ya mambo hayo mawili tu kati ya mengi.
NB:Unaushahidi gani kuwa dhambi zako husamehewa kila unapotubu?
Umeshawachanganya kabisa.Watasahau hadi kuuliza kuhusu krismasi,kitimoto na kusali jumapili.Wanunulie cocacola wanywe kwanza ili akili iwatulie.Wadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kwa wanatheolojia na wenye ilimu wote
Karibuni tujifunze
Haki wanapatiwa Hamas kule Gaza.Mtanange wa wagalatia. nawachek kwa mbali, karibuni kwenye dini ya haki.