MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Acheni bangi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SDA- Seventh Day Adventist ni dhehebu la ki-kristo linalotarajia ujio wa pili wa Yesu Kristo na tunafanya ibada rasmi siku ya J.mosi, sabato kama ilivyo amriwa na Mungu mwenyewe.Nyie ni wakristo, waislamu au wayahudi?
Kwa hiyo Waisraeli ni wenzenu au si wenzenu?SDA- Seventh Day Adventist ni dhehebu la ki-kristo linalotarajia ujio wa pili wa Yesu Kristo na tunafanya ibada rasmi siku ya J.mosi, sabato kama ilivyo amriwa na Mungu mwenyewe.
Ukitaka kujua zaidi endelea kufuatilia mafundisho haya utajua mengi kutuhusu.
Sijaelewa,Kwa hiyo Waisraeli ni wenzenu au si wenzenu?
Ni waislam na wayahudi zaidi kuliko wakristoSDA- Seventh Day Adventist ni dhehebu la ki-kristo linalotarajia ujio wa pili wa Yesu Kristo na tunafanya ibada rasmi siku ya J.mosi, sabato kama ilivyo amriwa na Mungu mwenyewe.
Ukitaka kujua zaidi endelea kufuatilia mafundisho haya utajua mengi kutuhusu.
Acha ubishi, nenda kasikilize uelewe ndio uje kuzungumza hapa.Ni waislam na wayahudi zaidi kuliko wakristo
Ukweli ni kwamba usabato ni dini inayoacha akili yako ifanyekazi kwa sehemu kubwa kuliko kuburuzwaMimi siamini katika dini ila naamini katika Mungu. Ila nikiri kupitia wasabato wamenisaidia sana katika masuala ya afya. Nawapa maua yangu kwenye hilo.
Biblia ipi ya Wakatoliki ama Kuna biblia nyingine?Nawasikia hpa wameweka maspika mtaani. Huyo mchungaji mkuu anaijua biblia vizuri.
Wakatoliki ni wapaganiBiblia ipi ya Wakatoliki ama Kuna biblia nyingine?
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Siwezi kusikiliza wafuasi wa mazishi Hellen WhiteAcha ubishi, nenda kasikilize uelewe ndio uje kuzungumza hapa.
Achana na Ellen wewe soma biblia na bado utarudi hapahapa.Siwezi kusikiliza wafuasi wa mazishi Hellen White
Sabato bila vitabu vya Hellen White hakuna dini ya SabatoAchana na Ellen wewe soma biblia na bado utarudi hapahapa.
Ni kweli upo sahihi , tatizo la wasabato wa sa hv wamekuwa wahuni wahuni wenye kutetea uovu , kujifanya wa mjini na injili za kisanii , ili kupata zaka na sadaka .... Ni ukweli Imani na dini ya kiadventista imejengwa kwenye msingi wa vitabu vilivyoandikwa na huyu Mama ( wanaita Roho ya unabii )Sabato bila vitabu vya Hellen White hakuna dini ya Sabato
Wa-adventista huwa tuna series ya mafundisho katika platform zetu tofautitofauti
Ikiwemo YouTube, Hopechannel Tanzania Tv na radio.
Tulianza na NYUMBANI HATIMAYE, UHURU HATIMAYE na sasa tuko na NYAYO ZA MATUMAINI. Napenda masomo haya na mpangilio wa hotuba hizi sababu hugusa changamoto za kimaisha, kimazingira, kijamii, kiuchumi na nyingine nyingi tunazo kumbana nazo kila siku.
Katika mafundisho hayo tunajifunza kuhusu AFYA, FAMILIA na Mafundisho ya kiroho yanayokusudia kuboresha mahusiano yetu sisi na Muumbaji wetu.
Pr. Semba anafundisha somo kuu.
View attachment 2622514
Pr. Peter anafundish familia na mahusiano
View attachment 2622509
Dr. Kilonzo yeye anafundisha Afya.
View attachment 2622515
Hii ni summery ya siku zilizopita.
Siku ya kwanza:
Somo la afya muda 19:23 muda katika video
Somo la familia muda 43:47 muda katika video
Somo kuu- Muda 1:08:26 katika video.
Siku ya pili:
1:19:06 - Muda somo la Afya linaanza katika video
1:41:40 Muda somo la familia linaanza katika video.
Somo kuu- Muda 1:08:03 katika video.
View attachment 2622521
Mwisho, nawakaribisha wote tujifunze neno la Mungu pamoja. Ahsante
Biblia hata shetani anaijua sanaAchana na Ellen wewe soma biblia na bado utarudi hapahapa.