Wasabato tumekuja tena!!

Wasabato tumekuja tena!!

Nyie ni wakristo, waislamu au wayahudi?
SDA- Seventh Day Adventist ni dhehebu la ki-kristo linalotarajia ujio wa pili wa Yesu Kristo na tunafanya ibada rasmi siku ya J.mosi, sabato kama ilivyo amriwa na Mungu mwenyewe.

Ukitaka kujua zaidi endelea kufuatilia mafundisho haya utajua mengi kutuhusu.
 
SDA- Seventh Day Adventist ni dhehebu la ki-kristo linalotarajia ujio wa pili wa Yesu Kristo na tunafanya ibada rasmi siku ya J.mosi, sabato kama ilivyo amriwa na Mungu mwenyewe.

Ukitaka kujua zaidi endelea kufuatilia mafundisho haya utajua mengi kutuhusu.
Kwa hiyo Waisraeli ni wenzenu au si wenzenu?
 
SDA- Seventh Day Adventist ni dhehebu la ki-kristo linalotarajia ujio wa pili wa Yesu Kristo na tunafanya ibada rasmi siku ya J.mosi, sabato kama ilivyo amriwa na Mungu mwenyewe.

Ukitaka kujua zaidi endelea kufuatilia mafundisho haya utajua mengi kutuhusu.
Ni waislam na wayahudi zaidi kuliko wakristo
 
Wasabato wengi wako smart kweli .Nguo zinanyooshwa,shati zinapasiwa kweli kweli .Mnafundishwaga huko makanisani kwenu? Mkianza mafundisho ya kitabu cha Daniel nimoo.
 
Sabato bila vitabu vya Hellen White hakuna dini ya Sabato
Ni kweli upo sahihi , tatizo la wasabato wa sa hv wamekuwa wahuni wahuni wenye kutetea uovu , kujifanya wa mjini na injili za kisanii , ili kupata zaka na sadaka .... Ni ukweli Imani na dini ya kiadventista imejengwa kwenye msingi wa vitabu vilivyoandikwa na huyu Mama ( wanaita Roho ya unabii )

Mimi nimesoma vitabu vyake vingi tuu , ni vitabu vyenye nguvu mno katika mambo ya kiroho na vinafafanua biblia Kwa uzuri kabisa

Mchungaji semba anajitahd Sana kuisemea kweli , tatizo amezungukwa na kundi la wachungaji wengi wao wasaniii na wabembelezaji wa maovu
 
Wa-adventista huwa tuna series ya mafundisho katika platform zetu tofautitofauti
Ikiwemo YouTube, Hopechannel Tanzania Tv na radio.

Tulianza na NYUMBANI HATIMAYE, UHURU HATIMAYE na sasa tuko na NYAYO ZA MATUMAINI. Napenda masomo haya na mpangilio wa hotuba hizi sababu hugusa changamoto za kimaisha, kimazingira, kijamii, kiuchumi na nyingine nyingi tunazo kumbana nazo kila siku.

Katika mafundisho hayo tunajifunza kuhusu AFYA, FAMILIA na Mafundisho ya kiroho yanayokusudia kuboresha mahusiano yetu sisi na Muumbaji wetu.


Pr. Semba anafundisha somo kuu.

View attachment 2622514

Pr. Peter anafundish familia na mahusiano

View attachment 2622509

Dr. Kilonzo yeye anafundisha Afya.

View attachment 2622515

Hii ni summery ya siku zilizopita.

Siku ya kwanza:




Somo la afya muda 19:23 muda katika video

Somo la familia muda 43:47 muda katika video

Somo kuu- Muda 1:08:26 katika video.

Siku ya pili:



1:19:06 - Muda somo la Afya linaanza katika video

1:41:40 Muda somo la familia linaanza katika video.

Somo kuu- Muda 1:08:03 katika video.

View attachment 2622521

Mwisho, nawakaribisha wote tujifunze neno la Mungu pamoja. Ahsante


Mikutano iko vizuri [emoji1666][emoji1666][emoji1666]
 
Back
Top Bottom