Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Moderator naomba mada hii isiunganishwe kwingineko
Wadau hamjamboni nyote?
Nimekuja tena na hoja kuwa Yesu Kristo ni Alfa na Omega na amekabidhiwa mamlaka yote haitaji kufanya upelekezi kujua dhambi anazozifanya mwanadamu!
Ndiyo yeye ndiye mwenye mamlaka makuu na uwezo wake haufananishwi na kiumbe yeyote yule hivyo haitaji kufanya mchakato wa kupelekeza kama vile yeye ni mwanadamu ili kujua kama tumetenda mema au mabaya.
Bwana wetu Yesu Kristo haitaji hata kuweka kumbukumbu ya matendo yetu bali uwezo wa kipekee alio nao automatically unatunza kumbukumbu zote za matendo yetu!
Kudai kuwa eti mwaka fulani ndiyo alianza kufanya upelekezi basi huko ni kumfananisha yeye na viongozi wa idara za ujasusi za FBI au CIA, wapo vizuri kwenye faninhiyo ila wanasalia kuwa wanadamu!
Bwana wetu Yesu Kristo wetu anajua kila kitu tunachokifanya hata kabla ya kufanya
Niwatakie siku njema
Wadau hamjamboni nyote?
Nimekuja tena na hoja kuwa Yesu Kristo ni Alfa na Omega na amekabidhiwa mamlaka yote haitaji kufanya upelekezi kujua dhambi anazozifanya mwanadamu!
Ndiyo yeye ndiye mwenye mamlaka makuu na uwezo wake haufananishwi na kiumbe yeyote yule hivyo haitaji kufanya mchakato wa kupelekeza kama vile yeye ni mwanadamu ili kujua kama tumetenda mema au mabaya.
Bwana wetu Yesu Kristo haitaji hata kuweka kumbukumbu ya matendo yetu bali uwezo wa kipekee alio nao automatically unatunza kumbukumbu zote za matendo yetu!
Kudai kuwa eti mwaka fulani ndiyo alianza kufanya upelekezi basi huko ni kumfananisha yeye na viongozi wa idara za ujasusi za FBI au CIA, wapo vizuri kwenye faninhiyo ila wanasalia kuwa wanadamu!
Bwana wetu Yesu Kristo wetu anajua kila kitu tunachokifanya hata kabla ya kufanya
Niwatakie siku njema