Pre GE2025 Wasafi, Clouds na Kitenge ni matambara ya kudekia ya CCM, kusafisha matapishi na uchafu wote unaomwagwa mbele yao!

Pre GE2025 Wasafi, Clouds na Kitenge ni matambara ya kudekia ya CCM, kusafisha matapishi na uchafu wote unaomwagwa mbele yao!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Hawa watu hata matambara ya kudekia hatoshi kuelezea upumbavu huu wanafanya na hizo poda zilizojaa kwenye vichwa vyao, maana matambara yanasaidia kufanya usafi vizuri na kuhakikisha sehemu inakuwa safi kuliko hawa wapuunzi ambao wapo hapo kwaajili ya kula matapishi na chochote wanachotupiwa!

Tunategemea hawa wakiona kitu cha kukemewa watafanya hivyo kwa nguvu zote kwa maslahi ya umma? Hii ni zaidi ya fedheha kwa waandishi wa habari ambao kweli wanafanya kazi zao kwa weledi.

Baada ya ccm kufa hizi media zote na wasanii kadhaa nao watakwisha
 
Baada ya ccm kufa hizi media zote na wasanii kadhaa nao watakwisha
Naona dom kuna watoto watatafunwa sana 😄
Nasikia gesti Lodge Hotel zote ziko full

Ova
 

Attachments

  • VID-20250117-WA0020.mp4
    3.3 MB
Wakuu,

Hawa watu hata matambara ya kudekia hatoshi kuelezea upumbavu huu wanafanya na hizo poda zilizojaa kwenye vichwa vyao, maana matambara yanasaidia kufanya usafi vizuri na kuhakikisha sehemu inakuwa safi kuliko hawa wapuunzi ambao wapo hapo kwaajili ya kula matapishi na chochote wanachotupiwa!

Tunategemea hawa wakiona kitu cha kukemewa watafanya hivyo kwa nguvu zote kwa maslahi ya umma? Hii ni zaidi ya fedheha kwa waandishi wa habari ambao kweli wanafanya kazi zao kwa weledi.

Ongezea na hii video kwenye uzi

View: https://vm.tiktok.com/ZMkuAtmX6/
 
Wakuu,

Hawa watu hata matambara ya kudekia hatoshi kuelezea upumbavu huu wanafanya na hizo poda zilizojaa kwenye vichwa vyao, maana matambara yanasaidia kufanya usafi vizuri na kuhakikisha sehemu inakuwa safi kuliko hawa wapuunzi ambao wapo hapo kwaajili ya kula matapishi na chochote wanachotupiwa!

Tunategemea hawa wakiona kitu cha kukemewa watafanya hivyo kwa nguvu zote kwa maslahi ya umma? Hii ni zaidi ya fedheha kwa waandishi wa habari ambao kweli wanafanya kazi zao kwa weledi.

Na nyie si mna matambala yenu kina Jambo media na wengine kwani hatuwajui?
 
Hivi hii video imekuwaje mbona naona manyani yamevalishwa nguo
 
Back
Top Bottom