Sikudokoa Mboga yako
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 462
- 947
Do you have any bad experience with people of lake zone ?.Chuga hamna wasanii washamba wahaya na chuga mna nn Sasa shobo punguza na wahaya wale mapresenters wenu wanaoliwa ndogo walianza Anza ivyo kuletq Shoba na watu wa bukoba kuwa makini utaliwa
Nilikuwa nawapa shout out tu Wahaya, sababu kuna mazezeta kama wewe walidhani Ruge alikuwa akipendelea WachagaChuga hamna wasanii washamba wahaya na chuga mna nn Sasa shobo punguza na wahaya wale mapresenters wenu wanaoliwa ndogo walianza Anza ivyo kuletq Shoba na watu wa bukoba kuwa makini utaliwa
Fala mwenzio si kasema combination na wahaya 🤣🤣🤣nyie ndo mmeleta ahobo kuwa juu kwa lipi kapumuliwe kisogono kama wenzio hukoNilikuwa nawapa shout out tu Wahaya, sababu kuna mazezeta kama wewe walidhani Ruge alikuwa akipendelea Wachaga
Ila kwa kifupi ni Chugga haihitaji wahaya wala watu wowote kuendelea kuwa juu
wewe unawaza kupupuliwa kisogoni ndio maana unayaleta hata kusikohusika, ndio mambo yanayojaza kichwa chako? hapa tunaongea muziki wewe unaleta ufirauni? na aliyeanza shobo ni yupi sasa, maana tunaona mtu ameanzisha mada kuhusu Joh Makini kuwa hatoi ushirikiano, sasa mwenye shobo ni yupi? au bhao Wahaya washobokewe kwa lipi sasa kwenye muziki na media? kuna mhaya anamiliki media?Fala mwenzio si kasema combination na wahaya 🤣🤣🤣nyie ndo mmeleta ahobo kuwa juu kwa lipi kapumuliwe kisogono kama wenzio huko
Unakuwa kma mthenge soma comment ya mwenzio anavyosema eti mkiungana na wahaya sijui ndo nn Sasa kama sio shobo za kithenge toka hapawewe unawaza kupupuliwa kisogoni ndio maana unayaleta hata kusikohusika, ndio mambo yanayojaza kichwa chako? hapa tunaongea muziki wewe unaleta ufirauni? na aliyeanza shobo ni yupi sasa, maana tunaona mtu ameanzisha mada kuhusu Joh Makini kuwa hatoi ushirikiano, sasa mwenye shobo ni yupi? au bhao Wahaya washobokewe kwa lipi sasa kwenye muziki na media? kuna mhaya anamiliki media?
Napigilia msumari hapaThread yoyote itakayowahusu watu wa Arusha kwenye jukwaa hili lazima uone matusi. Bangi na milungi sio kitu kizuri, ndio maana hapo down town kwao machoraa ni wengi kuliko watu wanaolala ndani.
hao kumbi kumbi wote ulio wataja wakikusanya vi pesa wanavyo vimiliki hafiki hata nusu ya diamond, bongo nzima ina msanii mmoja tu international na unamjua. Huo utoto wako mwinginebaki nao ni ujinga unaambukiza. eti whozu, chin beee maua fvckIla Kilimanjaro na Arusha tuna wasanii wengi sana tena international kwelikweli kweli
Vanesaa Mdee
Maua Sama
Navy Kenzo
Whozu
Bilnass
Malkia Karen
Shaa
Nikki wa pili
Nako2Nako
Chin bee
Etc etc etc
Nyinyi kisa daimond kwao Kigoma mkaja na Kigoma all [emoji93], Ukienda mwanza msanii wao Best Nasso, mbeya msanii wao ni mr. Xmass etc etc. Nyinyi mkijikusanya wala sio ukabila lakini sisi tukimind our own business inakuwa ukabila, kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.
Yeye daimond nyimbo zake sizisikii kwenye ITV, EATV etc sasa kwa nini na za Clous nazo zisikike huko kwa Daimond.
Hii roho mbaya uliyonayo umeirithi kutoka upande upi wa Baba? au Mama? HANA NYIMBO NZURI? JOH MAKINI? WEWE KUWA SERIOUS WEWE KUWA SERIOUS WEWE KUWA SERIOUS WEWEHANA NYIMBO NZURI AKITOA NZURI ITAPIGWA TU