Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
- Thread starter
- #21
kwahiyo unadhani jamal anatosha kufanya kazi zote mbili haitaji msaadaKweli anayo ,lakini ninachomkubali huwa anayafanyia Kazi mapungufu yake na kuimprove .Zamani nilikuwa hata kumsikiliza siwezi nikawa nina dhana ya kuwa watu wenye uwezo mdogo wa kuchambua mambo ndio wanaoweza kumsikiliza na kushangaa watu wakimsifia ila nimeona video zake za karibuni amejigahidi sana.