Tanzania daima isiyo ya shetani iko wapi?Kila kinachojiambatanisha na Shetani kitapukutika, Angalia TOT, VIJANA JAZZ na UHURU FM
Mpaka na waandishi wamedhulumiwa mpaka kesho.Tanzania daima isiyo ya shetani iko wapi?
Usiwachagulie cha kufanya, we anzisha ya kwako itumie unavyotaka. Nyie nyumbu msilazimishe mamboWakuu
Hii Wasafi Media ibadilishwe tu ijulikane ni media ya CCM
Soma: Watangazaji Crown FM wageuza kauli ya "Mitano Tena" pambio kwenye kipindi, kweli wataweza kukemea uovu hawa?
Vyombo vya habari vinapaswa kuwa huru na kuepuka kuegemea upande wa kisiasa ili kudumisha uaminifu na uwajibikaji kwa jamii. Kujihusisha na siasa kunavifanya kupoteza uadilifu na kugeuka majukwaa ya propaganda badala ya vyanzo vya taarifa sahihi.
==
Maoni ya mdau
Hilo fukara litakufa likilalamikaAnza biashara na wewe halafu ipinge ccm..
We unaumwa na utakufa kwa sonona. Samia ushindi wake hauhitaji ht kampeni na ni zaidi ya 95%. Nyie nyumbu mna shidaMama Samia anautafuta urais kwa kila namna kwa sababu anajua hakubaliki. Itafikia siku hata hii hewa tunayovuta watachora picha za Samia. Mwache akamie tu lakini hajui kuwa Mungu anaweza kuwa na mipango mingine kabisa. Magufuli alivuruga uchaguzi wa 2020 akidhani amekomoa wapinzani kumbe alikuwa anakaribia mwisho wa maisha yake.
Taifa haliwezi kustawi kama matajiri watendelea kuishi kwa hii hofuSimu moja tu hawa jamaa ni wamekutoa kiuchumi au ushakufa kiuchumi,
Chagua moja sasa
Hata Marekani vyombo vyao vya habari vina upande vinapoegamea kama ni Republican au Democrats. Fanya study utaona hili. Kama huwezi basi niulize nikwambie.Wakuu
Hii Wasafi Media ibadilishwe tu ijulikane ni media ya CCM
Soma: Watangazaji Crown FM wageuza kauli ya "Mitano Tena" pambio kwenye kipindi, kweli wataweza kukemea uovu hawa?
Vyombo vya habari vinapaswa kuwa huru na kuepuka kuegemea upande wa kisiasa ili kudumisha uaminifu na uwajibikaji kwa jamii. Kujihusisha na siasa kunavifanya kupoteza uadilifu na kugeuka majukwaa ya propaganda badala ya vyanzo vya taarifa sahihi.
==
Maoni ya mdau
Mkuu, haiongelewi chadema, mleta taarifa kasema kama chombo cha habari ambacho si cha chama husika kuonyesha keagamia upande fulani hakuleti afya katika sekta ya habari. Mambo ya chadema tuoa kuleChadema si waanzishe TV zao na vyombo vya habari?Mtoto wa Mbowe si alianzisha gazeti?Tanzania Daima ???
Mnapiga kelele wengine wakitumia haki yao ya kidemokrasia kuunga mkono Chama wanachokipenda.
Au demokrasia kwenu ni kuunga mkono Chadema pekee utake usitake?
Wakuu
Hii Wasafi Media ibadilishwe tu ijulikane ni media ya CCM
Soma: Watangazaji Crown FM wageuza kauli ya "Mitano Tena" pambio kwenye kipindi, kweli wataweza kukemea uovu hawa?
Vyombo vya habari vinapaswa kuwa huru na kuepuka kuegemea upande wa kisiasa ili kudumisha uaminifu na uwajibikaji kwa jamii. Kujihusisha na siasa kunavifanya kupoteza uadilifu na kugeuka majukwaa ya propaganda badala ya vyanzo vya taarifa sahihi.
==
Maoni ya mdau
Ukiruhusiwa kuuza Unga unataka nini tena?Duh aiseee wanajisahau sana
Nguvu na gharama inayotumika utadhani hiki chama ndio kimeanzishwa haiendani na namna wanavyojinasibu kukubalika bila wasanii bila hizi media hakuna kitu pamoja na kelele zote bado mtaani watu hawajui nini kinaendelea bado wanachokumbuka mkutano ulikua ni mmoja tu wa CDMWakuu
Hii Wasafi Media ibadilishwe tu ijulikane ni media ya CCM
Soma: Watangazaji Crown FM wageuza kauli ya "Mitano Tena" pambio kwenye kipindi, kweli wataweza kukemea uovu hawa?
Vyombo vya habari vinapaswa kuwa huru na kuepuka kuegemea upande wa kisiasa ili kudumisha uaminifu na uwajibikaji kwa jamii. Kujihusisha na siasa kunavifanya kupoteza uadilifu na kugeuka majukwaa ya propaganda badala ya vyanzo vya taarifa sahihi.
==
Maoni ya mdau
Taja media iliyoendelea hapa Tanzania kwa kuegemea ki ushabiki kwa ccm.Simu moja tu hawa jamaa ni wamekutoa kiuchumi au ushakufa kiuchumi,
Chagua moja sasa
Hilo ni jambo la kawaida. CNN, NBC,ABC zote huwa zinaegemea upande wa Democrats huku FOX News wakiunga mkono Republicans kwenye siasa za Marekani.Mkuu, haiongelewi chadema, mleta taarifa kasema kama chombo cha habari ambacho si cha chama husika kuonyesha keagamia upande fulani hakuleti afya katika sekta ya habari. Mambo ya chadema tuoa kule
🤣 🤣 🤣Usikute hizo media houses zinamilikiwa na ccm. Hao wanaokuja front ni machawa tu!