Chadema si waanzishe TV zao na vyombo vya habari?Mtoto wa Mbowe si alianzisha gazeti?Tanzania Daima ???
Mnapiga kelele wengine wakitumia haki yao ya kidemokrasia kuunga mkono Chama wanachokipenda.
Au demokrasia kwenu ni kuunga mkono Chadema pekee utake usitake?
Mnapiga kelele wengine wakitumia haki yao ya kidemokrasia kuunga mkono Chama wanachokipenda.
Au demokrasia kwenu ni kuunga mkono Chadema pekee utake usitake?