Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Hili suala binafsi nilikuwa nalifahamu tangu 2011 wakati nafanya kazi kwenye media house. Wengi wenu humu JF hamjui mambo mengi sana ya mjini. Mmesoma ila mambo ya town mko nyuma sana.
Kusema nilifanya kazi, alikua/ni rafiki yangu, nimesomea hayo mambo nk ni weak defending points.

Yaani kisa wewe ulikua kwenye media house basi tukuamini??
Haya kuna mdau hapo kafanya research tcra nae anataka tumuamini!!
Leta hoja sio mimi ni nani, ukizingatia jf yenyewe hatujuani.
 
I View attachment 2930478
Hii habari ni ya mda sana mleta uzi Sasa[emoji276][emoji276]
Sasa Mkuu, huyo Ali Kiba hajazungukwa na watu? Na huyo Dullah Planet hajazungukwa na watu pia mpaka hii habari iwe siri?
BTW sijui hata kama Chapo amewahi kuandika hilo, na hakuna nilikosema hii ni breaking news.

Habari moja itaripotiwa na vyombo vingi, kinachotofautisha ni aina/namna ya kuripoti.

Halafu habari yangu imebeba details lukuki, sio habari ya Media ya Ali pekee.
 
Crown FM nigga
 
FM frequency inaanzia 87.5 hadi 108.0 na inajumla ya ya frequencies 101

Mpaka sasa Dar kuna frequency chini ya 50 zinazotumika na vituo mbali mbali vya Fm radio

Frequency hazinunuliwi kama njugu kusema utazinunua tu uziweke ndani zikae tu utakavyo

Utapewa frequency baada ya kuwa umetimiza masharti na vigezo vyote vya kuwa na Fm radio..... yaani umekamilisha mitambo na kila kitu ndio unaomba, nasio unakwenda na tai yako tu unajza form unapewa frequency

Serikali inatambua limitation ya frequency hairuhusu unakwenda tu na form zako unajaza unapewa

Dar bado frequency zipo, zinazo tumika ni chini ya frequency 50
 
Haya masuala ya mtu kumiliki frequency kusaga mwenyewe alishawahi kuliongelea hili suala
 
Nina chanzo nyeti mnooo, mpaka nawaandikia hapa mnatakiwa muondoe shaka.
Hii habari ninayo wiki nzima sasa, mimi na chanzo tulishauriana tuitoe katika siku sahihi, ndio leo.

Shukrani za dhati kwa chanzo changu.
Acha kujipaisha basi we taarifa umeileta juzi jna redio inzinduliwa bado unaiita hyo taarifa ni nyeti
 
hiyo habari Mange aliandika now ni mwaka inaenda na alikuwa anaupdate kila mara ,wewe unakuja kuandika siku 1 kabla ya uzinduzi.
we bibi cheupe uko serious kweli?
Ndio unaniambia wewe kama Mange alikuwa anasema mimi wala sina habari.

Halafu kwani akisema Mange ndio wengine hatutakiwi kusema tena?
Okay, nimeandika. Wewe kinachokuuma ni nini?
 
Ukishakua mfanyabiashara mkubwa kukwaluzana na TRA ni given. Kwa sababu Tanzania hii hakuna mtu analipa kodi 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…