Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Hiyo Paragraph ya mwisho uwongo,Frequency ni mali ya TCRA yy ndiye anaye panga na kuengineer na ukitaka nenda pale TCRA Frequency bado wanazo na ukimzingua anakunyang'anya Frequency zake.
Nilivyomuelewa jamaa ni kwamba kuna watu tayari wameshazinunua hizo frequency toka TCRA kwahio ukitaka kuanzisha kituo chako, lazima ununue kwa watu ambao walishazinunua hizo frequency toka TCRA maana TCRA washauza kila frequency kwa hapa dar
 
Kusaga kwenye biashara hana rafiki wala adui, leo yupo na wewe (business partner) kesho anawekeza kwingine biashara hiyohiyo.
Akili kubwa ya biashara ile.
Hawezi fatwa kusaga kuhusu wasafi. Mtu pekee atafatwa ni juhayna mke wa kusaga don't undermine that. Yule ni kichwa kuliko kusaga. Remember that. Huu ni udaku. Au hao tra wako hawana la maana.
 
Hawezi fatwa kusaga kuhusu wasafi. Mtu pekee atafatwa ni juhayna mke wa kusaga don't undermine that. Yule ni kichwa kuliko kusaga. Remember that. Huu ni udaku. Au hao tra wako hawana la maana.
Sasa wewe unaongelea habari za kusadikika mimi sipo huko, nilichoandika ndicho hasa kilichotokea.
 
Unafikiri habari kama hii naamka tu asubuhi kuandika? Na kwani wakionekana pamoja kuna ubaya gani?
Ulivyoandika na tukio la jana tu ni vitu viwili tofauti. Bora ungesema kusaga anawekeza kwa diamond zaidi kuliko anavyowekeza kwa mkewe. Hujafatilia taarifa yako popote ulipoioata hata kama ww ni second hand wa diamond hapo umeferi boss.
 
Huu sio ubuyu lakini...
Ubuyu sio neno baya kwani hata yajayo mengi yanaanziaga kwenye ubuyu.

Hata mimi kuna habari nimeisikia Clouds imeshauzwa haipo chini wa umiliki wa familia ya Kisaga,ila bado sijapata uthibitisho rasmi.Ila may be anataka kujitanua rasmi na kuanzisha empire nje ya familia yake.
 
Sasa wewe unaongelea habari za kusadikika mimi sipo huko, nilichoandika nchicho hasa kilichotokea.
Kimetokea wapi, umesema hapokei simu. Jana walikutana kibahati mbaya?
Planning yaa primetime muda wote huu, unasema hapokei simu. Hapokei kivipi?
Unadhani waliplan show ya jana siku mbili au wiki. Stry yako talks kama kitu cha muda mrefu. On going.
 
Ulivyoandika na tukio la jana tu ni vitu viwili tofauti. Bora ungesema kusaga anawekeza kwa diamond zaidi kuliko anavyowekeza kwa mkewe. Hujafatilia taarifa yako popote ulipoioata hata kama ww ni second hand wa diamond hapo umeferi boss.
Mbona sikuelewi? Mimi nimesema Diamond hapokei simu za Kusaga na sio haongei na Diamond.
Masuala ya mke wake ni nje ya habari niliyoileta hapa.
 
Dada yangu hilo eneo ni field yangu japo sasa nafanya kitu kingine, ila ninacho kizungumza na kijua theoretical mpaka mathematical.Wewe kama unakubali kudanganywa ni ww,ila Frequency moja haziwezi kuisha wala kuwa mali ya mtu,anaye zimiplan,kuzicontrol,kuzimonitor,kuzimiliki na kuengineer ni TCRA.
Ficha upumbavu wako. FM frequency kila mji unapangiwa masafa (frequency moja tu) na FM ina Total 100 Stations kwa kila mkoa:
The FM radio band is from 88 to 108 MHz between VHF television Channels 6 and 7. The FM stations are assigned center frequencies at 200 kHz separation starting at 88.1 MHz, for a maximum of 100 stations.
Dar es salaam Wajanja wameziomba na awajaanzisha Redio ila wanazilipia kila Mwaka..... hii pia ipo katika Telecom... wapo Matajiri walikuwa wanamiliki Frquency za kuanzisha makampuni ya simu kwa miaka mingi hapa Tanzania mpaka pale TCRA walipobadilisha mfumo wa umiriki wa hizo Frquencies . Ila kwa Radio na TV bado wapo watu wanazo na awajafungua stations. Ukizitaka unalipa hela ndefu ndo upewe. Kama unaweza omba TCRA ukapata FM frequency Dar ni PM tuyajenge nnahitaji moja
 
Back
Top Bottom