Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Kings iko mbioni sanaaaa kuanza muda wowote.....wameshafunga kila kitu....kiko sawa sawa kuanza
Kings fm ni brand ya mtu mwingine na inafanya kazi njombe huko
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    22.2 KB · Views: 8
Ficha upumbavu wako. FM frequency kila mji unapangiwa masafa (frequency moja tu) na FM ina Total 100 Stations kwa kila mkoa:
The FM radio band is from 88 to 108 MHz between VHF television Channels 6 and 7. The FM stations are assigned center frequencies at 200 kHz separation starting at 88.1 MHz, for a maximum of 100 stations.
Dar es salaam Wajanja wameziomba na awajaanzisha Redio ila wanazilipia kila Mwaka..... hii pia ipo katika Telecom... wapo Matajiri walikuwa wanamiliki Frquency za kuanzisha makampuni ya simu kwa miaka mingi hapa Tanzania mpaka pale TCRA walipobadilisha mfumo wa umiriki wa hizo Frquencies . Ila kwa Radio na TV bado wapo watu wanazo na awajafungua stations. Ukizitaka unalipa hela ndefu ndo upewe. Kama unaweza omba TCRA ukapata FM frequency Dar ni PM tuyajenge nnahitaji moja
Wewe kama unabisha bisha ila TCRA freqiency zipo nina uhakika na ninacho kiongea.
 
Hapo kwenye Frequencies Umeniacha,
Nijuavyo zinakua generated anytime mtu aliyekizi vigezo akihitaji...

Frequencies sio kifaa, ni mawimbi tuu, ambayo yatahitaji kifaa kama alternator kugenerate, transmitter kusafirisha kwenda kwenye receiver(antena)..., hio transmission hapo haitofautiani na simu inavyofanya kazi

Hivyo ni Sawa na kusema, Huwezi kuongea na Simu maana mawimbi yako kuna mtu anayamiliki, inakuja hio?
 
Umepaniki? Hayo sio mambo madogo kwenye uandishi,acha kufosi kosa lionekane sio kosa,

Ujumbe sahihi hufikishwa kwa lugha sahihi.
Idara ya habari Ikulu wanakosea ijekuwa mimi? Wala siwezi kupanic, ndio maana nikakuambia ni mambo madogo hayo.

Halafu sio katika habari kuu, ilikuwa tu ni post namjibu mtu.
 
Hapo kwenye Frequencies Umeniacha,
Nijuavyo zinakua generated anytime mtu aliyekizi vigezo akihitaji...

Frequencies sio kifaa, ni mawimbi tuu, ambayo yatahitaji kifaa kama alternator kugenerate, transmitter kusafirisha kwenda kwenye receiver(antena)...
Wanakwambia kuna watu wamezimaliza,kwa jinsi technologies zilivyo sophisticated yaani umalize frequency.Bora ww umeiweka kielectronics zaidi.
 
Back
Top Bottom