Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ww nadhan nakujua, nakutumia picha yako PMSawa insider!
Na diamond jubileeDiamond karanga na Diamind Platnumz labda
SahihiKings fm ni brand ya mtu mwingine na inafanya kazi njombe huko
Interesting😂😂😂
Chai dadekiView attachment 2929146Wakurugenzi wa Wasafi Media, Joseph Kusaga na Nassib Abdul ‘Diamond Platinumz’ wanaripotiwa kukosa maelewano kati yao juu ya uendeshaji wa media hiyo inayomilikiwa na wawili hao.
Chanzo ni TRA…
Diamond ambaye amekuwa akitafutwa na maafisa kodi kwa muda mrefu, huku yeye akitumia 'janja janja' kuwakwepa, maafisa kodi hao wamehamishia majeshi kwa Joseph Kusaga.
Joseph Kusaga ambaye majukumu ya uendeshaji amemwachia Diamond, amekuwa akimpigia simu mara nyingi Diamond bila mafanikio.
Hivyo Diamond anawakwepa maafisa kodi, na huku simu za Kusaga pia hapokei.
Kusaga achoshwa na mabifu ya Diamond!
Inaarifiwa kuwa Kusaga amekuwa akilalamika mara nyingi juu ya mabifu ya Diamond na watu wengi ambayo yanaikwamisha Wasafi Media kukua.
Wakati anaanzisha media hiyo 2016, alikuwa na malengo makubwa ya kuikuza kuwa kubwa pengine kuizidi Clouds Media ambayo ni mali ya familia yao. Hivyo kupitia umaarufu wa Diamond alitegemea kuvuna wasikilizaji kutoka kila pembe ya nchi jambo ambalo kwa kiasi kikubwa limefanikiwa ila kikwazo kikiwa ugomvi wa Diamond na watu wengi ambao wengi hutumia mabifu hayo kama fursa ya kuikwamisha Wasafi Media.
Kusaga Amgeukia Ali Kiba…
Habari za uhakika ni kwamba mastermind huyo wa biashara za vyombo vya habari na nyinginezo lukuki, ameelekeza nguvu zake kwa hasimu wa Diamond, Ali Kiba.
Wawili hao (Kusaga na Ali) wapo kwenye hatua za mwisho kukamilisha masuala muhimu likiwemo jina rasmi la kutumika kuitambulisha Media hiyo.
Kupitia chanzo changu makini nimefanikiwa kunasa jina linalopewa kipaumbele, Kings Media (Kings TV & Kings FM)
Pia watangazaji ambao tayari wameshawekwa kwenye list ni Abdallah Ambua ‘Dullah Planet’ aliyeng’oka EATV na EA Radio hivi karibuni, pamoja na Khalid Mohamed ‘TID’.
Kusaga na utajiri wa frequencies!
Kwa wafuatiliaji wa masuala ya media hasa radio, watakuwa wanafahamu ya kwamba hivi sasa hakuna frequency mpya hapa jijini Dar Es Salaam.
Yaani kwamba ukitaka kuanzisha redio huwezi kupata mawimbi ya kukuwezesha kusikilizwa Dar, labda ununue (frequency) ambayo inamilikiwa na wengine kisha uibadilishe kuwa redio yako.
Wajanja wa mjini wamezihodhi, akiwemo Joseph Kusaga ambaye anaarifiwa kuwa nazo kwa idadi ambayo haifahamiki.
Kupitia chanzo changu nyeti,
Nifah.
Hahaa, Kwenye figisu za kibongo Sibishi huenda unaweza uende kweli uambiwe hivyo, Ila practically haiwezekani..Wanakwambia kuna watu wamezimaliza,kwa jinsi technologies zilivyo sophisticated yaani umalize frequency.Bora ww umeiweka kielectronics zaidi.
Habari yako haina mashiko. Wasafi na kusaga kufatwa na tra kwasbabu ya wasafi wapi na wapi. Wewe si unajua za ndani elezea. Kwann asifatwe juhayna afatwe kusaga?Mbona sikuelewi? Mimi nimesema Diamond hapokei simu za Kusaga na sio haongei na Diamond.
Masuala ya mke wake ni nje ya habari niliyoileta hapa.
Sasa hilo napaswa kuelezea mimi au TRA? Wao ndio wanajua kwanini walimtafuta Kusaga na sio mke wake.Habari yako haina mashiko. Wasafi na kusaga kufatwa na tra kwasbabu ya wasafi wapi na wapi. Wewe si unajua za ndani elezea. Kwann asifatwe juhayna afatwe kusaga?
Uwongo bwana. Unanidanganya. Endelea kuwadanganya wengine. Nisije nikaonekana nakuharibia thread. Nakufatiliaga stry zako ila hii uwongo, acha nisipoteze heshima kwako. Ila hui ni uwongo.Sasa hilo napaswa kuelezea mimi au TRA? Wao ndio wanajua kwanini walimtafuta Kusaga na sio mke wake.
I'm pretty sure it's illegal. Kanuni za ushindani wa biashara haziruhusu kuhodhi bidhaa (Monopoly).Hilo eneo sina ufahamu nalo Mkuu, ninachofahamu ni kwamba wanaendelea kuzilipia basi.
Mimi mwenye ni mtaalam hata hapo TCRA nina wataalam ambao nimepiga nao wengine O-Level,A-Level na Chuo. So hizi issue za Stochastic Signals, Diterministic signal,Electromagnetism, sijui Mieletronics, modulation and demodulation,Radio and TV Broadcasting, Transimission nishaachana navyo sababu nipo kwenye field nyingine japo nilivisoma chuo so ninacho kiongea na kijua.Wenyewe wataalamu wanakuambia Bandwidth ni bidhaa adimu na ina limit. Kwa hiyo unapoambiwa Kwa hapa Dar watu tayari wameshanunua na Wana hold Sio ujinga..
Uzi wa wajanja wa kkoounaendelea kule....pitia pitia
Waache maana wanang'ang'ania ujinga wao,mimi nimeongea dada yangu Nifah kaniita mlugaluga.Hahaa, Kwenye figisu za kibongo Sibishi huenda unaweza uende kweli uambiwe hivyo, Ila practically haiwezekani..
Ufanyaji kazi wa redio hautofautiani sana na simu, hivyo ni sawa na uambiwe huwezi ongea na simu maana mawimbi yako kuna mtu anayamiliki,
Simbishii theoretically, ila practically,
Maana kwa futuhi Uongo wowote Ni ruhusa hata unaokinzana na laws kisayansi, na mtu anaongea akiwa mkavu kabisa.
View attachment 2929291
Jua unavyojua na Mimi najua nachojua.Mimi mwenye ni mtaalam hata hapo TCRA nina wataalam ambao nimepiga nao wengine O-Level,A-Level na Chuo. So hizi issue za Stochastic Signals, Diterministic signal,Electromagnetism, sijui Mieletronics, modulation and demodulation,Radio and TV Broadcasting, Transimission nishaachana navyo sababu nipo kwenye field nyingine japo nilivisoma chuo so ninacho kiongea na kijua.
Kwanza kitendo cha kuhold maanake serikali inakosa mapato kwa hiyo frequency yeyewe, pili kupitia hiyo frequency serikali inakoda kodi kupitia wafanyakazi wa hiyo redio sababu nao wanakuwa walipa kodi. Halafu dunia ya sasa technology ipo very sophisticated sio rigid kama mnavyo fikiri..
Wewe endelea kunjua unachojua ww na sikulaumu.Jua unavyojua na Mimi najua nachojua.
Kuna mkataba ambao Ndomo kaingia na madon fulani huko SA na mkataba huo unamfanya akose umiliki wa mpaka social medias zake. Sasa amesalia kuwa na unverified accounts na inabidi kila release atoe kupitia kolabo.View attachment 2929146Wakurugenzi wa Wasafi Media, Joseph Kusaga na Nassib Abdul ‘Diamond Platinumz’ wanaripotiwa kukosa maelewano kati yao juu ya uendeshaji wa media hiyo inayomilikiwa na wawili hao.
Chanzo ni TRA…
Diamond ambaye amekuwa akitafutwa na maafisa kodi kwa muda mrefu, huku yeye akitumia 'janja janja' kuwakwepa, maafisa kodi hao wamehamishia majeshi kwa Joseph Kusaga.
Joseph Kusaga ambaye majukumu ya uendeshaji amemwachia Diamond, amekuwa akimpigia simu mara nyingi Diamond bila mafanikio.
Hivyo Diamond anawakwepa maafisa kodi, na huku simu za Kusaga pia hapokei.
Kusaga achoshwa na mabifu ya Diamond!
Inaarifiwa kuwa Kusaga amekuwa akilalamika mara nyingi juu ya mabifu ya Diamond na watu wengi ambayo yanaikwamisha Wasafi Media kukua.
Wakati anaanzisha media hiyo 2016, alikuwa na malengo makubwa ya kuikuza kuwa kubwa pengine kuizidi Clouds Media ambayo ni mali ya familia yao. Hivyo kupitia umaarufu wa Diamond alitegemea kuvuna wasikilizaji kutoka kila pembe ya nchi jambo ambalo kwa kiasi kikubwa limefanikiwa ila kikwazo kikiwa ugomvi wa Diamond na watu wengi ambao wengi hutumia mabifu hayo kama fursa ya kuikwamisha Wasafi Media.
Kusaga Amgeukia Ali Kiba…
Habari za uhakika ni kwamba mastermind huyo wa biashara za vyombo vya habari na nyinginezo lukuki, ameelekeza nguvu zake kwa hasimu wa Diamond, Ali Kiba.
Wawili hao (Kusaga na Ali) wapo kwenye hatua za mwisho kukamilisha masuala muhimu likiwemo jina rasmi la kutumika kuitambulisha Media hiyo.
Kupitia chanzo changu makini nimefanikiwa kunasa jina linalopewa kipaumbele, Kings Media (Kings TV & Kings FM)
Pia watangazaji ambao tayari wameshawekwa kwenye list ni Abdallah Ambua ‘Dullah Planet’ aliyeng’oka EATV na EA Radio hivi karibuni, pamoja na Khalid Mohamed ‘TID’.
Kusaga na utajiri wa frequencies!
Kwa wafuatiliaji wa masuala ya media hasa radio, watakuwa wanafahamu ya kwamba hivi sasa hakuna frequency mpya hapa jijini Dar Es Salaam.
Yaani kwamba ukitaka kuanzisha redio huwezi kupata mawimbi ya kukuwezesha kusikilizwa Dar, labda ununue (frequency) ambayo inamilikiwa na wengine kisha uibadilishe kuwa redio yako.
Wajanja wa mjini wamezihodhi, akiwemo Joseph Kusaga ambaye anaarifiwa kuwa nazo kwa idadi ambayo haifahamiki.
Kupitia chanzo changu nyeti,
Nifah.