Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Mimi mwenye ni mtaalam hata hapo TCRA nina wataalam ambao nimepiga nao wengine O-Level,A-Level na Chuo. So hizi issue za Stochastic Signals, Diterministic signal,Electromagnetism, sijui Mieletronics, modulation and demodulation,Radio and TV Broadcasting, Transimission nishaachana navyo sababu nipo kwenye field nyingine japo nilivisoma chuo so ninacho kiongea na kijua.

Kwanza kitendo cha kuhold maanake serikali inakosa mapato kwa hiyo frequency yeyewe, pili kupitia hiyo frequency serikali inakosa kodi kupitia wafanyakazi wa hiyo redio sababu nao wanakuwa walipa kodi. Halafu dunia ya sasa technology ipo very sophisticated sio rigid kama mnavyo fikiri.
Teknology inakwenda ikibadilika ndio maana Tv broadcasting analogue ilipigwa chini Sasa ni mwendo wa ma_decoder, unadhani Kwa nini ilipigwa chini!? Kuna wakati TCRA walifanya mnada wa Masafa unakumbuka!? Kwa nini walifanya vile!?
 
View attachment 2929146Wakurugenzi wa Wasafi Media, Joseph Kusaga na Nassib Abdul ‘Diamond Platinumz’ wanaripotiwa kukosa maelewano kati yao juu ya uendeshaji wa media hiyo inayomilikiwa na wawili hao.

Chanzo ni TRA…
Diamond ambaye amekuwa akitafutwa na maafisa kodi kwa muda mrefu, huku yeye akitumia 'janja janja' kuwakwepa, maafisa kodi hao wamehamishia majeshi kwa Joseph Kusaga.

Joseph Kusaga ambaye majukumu ya uendeshaji amemwachia Diamond, amekuwa akimpigia simu mara nyingi Diamond bila mafanikio.
Hivyo Diamond anawakwepa maafisa kodi, na huku simu za Kusaga pia hapokei.

Kusaga achoshwa na mabifu ya Diamond!
Inaarifiwa kuwa Kusaga amekuwa akilalamika mara nyingi juu ya mabifu ya Diamond na watu wengi ambayo yanaikwamisha Wasafi Media kukua.

Wakati anaanzisha media hiyo 2016, alikuwa na malengo makubwa ya kuikuza kuwa kubwa pengine kuizidi Clouds Media ambayo ni mali ya familia yao. Hivyo kupitia umaarufu wa Diamond alitegemea kuvuna wasikilizaji kutoka kila pembe ya nchi jambo ambalo kwa kiasi kikubwa limefanikiwa ila kikwazo kikiwa ugomvi wa Diamond na watu wengi ambao wengi hutumia mabifu hayo kama fursa ya kuikwamisha Wasafi Media.

Kusaga Amgeukia Ali Kiba…
Habari za uhakika ni kwamba mastermind huyo wa biashara za vyombo vya habari na nyinginezo lukuki, ameelekeza nguvu zake kwa hasimu wa Diamond, Ali Kiba.

Wawili hao (Kusaga na Ali) wapo kwenye hatua za mwisho kukamilisha masuala muhimu likiwemo jina rasmi la kutumika kuitambulisha Media hiyo.

Kupitia chanzo changu makini nimefanikiwa kunasa jina linalopewa kipaumbele, Kings Media (Kings TV & Kings FM)
Pia watangazaji ambao tayari wameshawekwa kwenye list ni Abdallah Ambua ‘Dullah Planet’ aliyeng’oka EATV na EA Radio hivi karibuni, pamoja na Khalid Mohamed ‘TID’.

Kusaga na utajiri wa frequencies!
Kwa wafuatiliaji wa masuala ya media hasa radio, watakuwa wanafahamu ya kwamba hivi sasa hakuna frequency mpya hapa jijini Dar Es Salaam.

Yaani kwamba ukitaka kuanzisha redio huwezi kupata mawimbi ya kukuwezesha kusikilizwa Dar, labda ununue (frequency) ambayo inamilikiwa na wengine kisha uibadilishe kuwa redio yako.

Wajanja wa mjini wamezihodhi, akiwemo Joseph Kusaga ambaye anaarifiwa kuwa nazo kwa idadi ambayo haifahamiki.

Kupitia chanzo changu nyeti,

Nifah.
Kuhusu frequency ni kwel na ndomana wasafi no 88.9 na clouds ni 88.5,,inaonekana mwamba alizichukua hiz kwa wakat mmoja akazihodhi..hatar sana
 
Teknology inakwenda ikibadilika ndio maana Tv broadcasting analogue ilipigwa chini Sasa ni mwendo wa ma_decoder, unadhani Kwa nini ilipigwa chini!? Kuna wakati TCRA walifanya mnada wa Masafa unakumbuka!? Kwa nini walifanya vile!?
So analogue ilipigwa chini sababu frequency zinaisha........ so hizo decoder ndio zimekuja kumaliza frequency?

TCRA kuhusiana na minada wanafanya sana ila haina maana kwamba frequency zimeisha......

Au unataka kuniambia Digital ina upungufu wa frequency kuliko Analogue.
 
So ilipigwa chini sababu frequency zinaisha........ so hizo decoder ndio zimekuja kumaliza frequency?

TCRA kuhusiana na minada wanafanya sana ila haina maana kwamba frequency zimeisha......

Au unataka kuniambia Digital ina upungufu wa frequency kuliko Analogue.
Hiyo digital ililetwa pia kupambana na suala la uhaba wa Masafa. Kuhusu minada ya Masafa ndiko watu wanaponunua na wao wanauza.
 
View attachment 2929146Wakurugenzi wa Wasafi Media, Joseph Kusaga na Nassib Abdul ‘Diamond Platinumz’ wanaripotiwa kukosa maelewano kati yao juu ya uendeshaji wa media hiyo inayomilikiwa na wawili hao.

Chanzo ni TRA…
Diamond ambaye amekuwa akitafutwa na maafisa kodi kwa muda mrefu, huku yeye akitumia 'janja janja' kuwakwepa, maafisa kodi hao wamehamishia majeshi kwa Joseph Kusaga.

Joseph Kusaga ambaye majukumu ya uendeshaji amemwachia Diamond, amekuwa akimpigia simu mara nyingi Diamond bila mafanikio.
Hivyo Diamond anawakwepa maafisa kodi, na huku simu za Kusaga pia hapokei.

Kusaga achoshwa na mabifu ya Diamond!
Inaarifiwa kuwa Kusaga amekuwa akilalamika mara nyingi juu ya mabifu ya Diamond na watu wengi ambayo yanaikwamisha Wasafi Media kukua.

Wakati anaanzisha media hiyo 2016, alikuwa na malengo makubwa ya kuikuza kuwa kubwa pengine kuizidi Clouds Media ambayo ni mali ya familia yao. Hivyo kupitia umaarufu wa Diamond alitegemea kuvuna wasikilizaji kutoka kila pembe ya nchi jambo ambalo kwa kiasi kikubwa limefanikiwa ila kikwazo kikiwa ugomvi wa Diamond na watu wengi ambao wengi hutumia mabifu hayo kama fursa ya kuikwamisha Wasafi Media.

Kusaga Amgeukia Ali Kiba…
Habari za uhakika ni kwamba mastermind huyo wa biashara za vyombo vya habari na nyinginezo lukuki, ameelekeza nguvu zake kwa hasimu wa Diamond, Ali Kiba.

Wawili hao (Kusaga na Ali) wapo kwenye hatua za mwisho kukamilisha masuala muhimu likiwemo jina rasmi la kutumika kuitambulisha Media hiyo.

Kupitia chanzo changu makini nimefanikiwa kunasa jina linalopewa kipaumbele, Kings Media (Kings TV & Kings FM)
Pia watangazaji ambao tayari wameshawekwa kwenye list ni Abdallah Ambua ‘Dullah Planet’ aliyeng’oka EATV na EA Radio hivi karibuni, pamoja na Khalid Mohamed ‘TID’.

Kusaga na utajiri wa frequencies!
Kwa wafuatiliaji wa masuala ya media hasa radio, watakuwa wanafahamu ya kwamba hivi sasa hakuna frequency mpya hapa jijini Dar Es Salaam.

Yaani kwamba ukitaka kuanzisha redio huwezi kupata mawimbi ya kukuwezesha kusikilizwa Dar, labda ununue (frequency) ambayo inamilikiwa na wengine kisha uibadilishe kuwa redio yako.

Wajanja wa mjini wamezihodhi, akiwemo Joseph Kusaga ambaye anaarifiwa kuwa nazo kwa idadi ambayo haifahamiki.

Kupitia chanzo changu nyeti,

Nifah.
Risasi wekeenda au Kiu imeriport kutoka Habari za kubumba Jijini Dar
 
Kuna mkataba ambao Ndomo kaingia na madon fulani huko SA na mkataba huo unamfanya akose umiliki wa mpaka social medias zake. Sasa amesalia kuwa na unverified accounts na inabidi kila release atoe kupitia kolabo.

Alifurahia bilioni zile alizoingiziwa ktk akaunti lakini hakujua kuwa vitamfanya awe mtumwa baadaye.

Hana raha na maisha ya kujitapa anayapenda. Lazima akwepe kodi
Mkuu, dadavua hili tafadhali. Hii ni habari mpya kwangu...
Mkataba wa nini?
 
Teknology inakwenda ikibadilika ndio maana Tv broadcasting analogue ilipigwa chini Sasa ni mwendo wa ma_decoder, unadhani Kwa nini ilipigwa chini!? Kuna wakati TCRA walifanya mnada wa Masafa unakumbuka!? Kwa nini walifanya vile!?
Huu mjadala sikutegemea uwe wa moto namna hii!
 
Back
Top Bottom