Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Ungejua? Hii ni habari ya uhakika ni vile tu siwezi kusema ilivyopatikana.
Lakini, muda si upo? Subirini uzinduzi wa Kings Media halafu mtarudi hapa.
Ikitokea kama ulivyoandika,nitaanza kukuamini.
 
Mkuu unabisha tu ila huwezi kupata frequency ya DSM kwasaaa TCRA. ndio maana wengi wanachukua za zenji wanafunga Busta dar. Kuhusu kuhodh ipo Sana Kuna jamaa dodom anazo tatu kazi yake ni kuzilipia kodi tu ile ya mwaka..nchi hii uhuni ni mwingi Sana.

Ila Kama unaweza kupata frequency ya DSM njoo PM nitakulipa
Nyie watu mlikuwa wapi jamani? Mnaojua mambo msipokuwepo jamii inapotea.

Watu wameuvamia mjadala ilhali hawajui chochote.
Jamani siandiki habari za uongo mimi! Nilishavuka huko.
 
Walugaluga kama wewe hamjawahi kukosekana. Frequency ni bidhaa adimu Dar, nenda wewe huko TCRA leo ukaulizie.
Ila ww muongo ndo Bold X husband wako alivyokudanganya na story zake za uongo na kweli sio,eti Kusaga ana hoz frequence hahahahaha hopeless.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Njoo basi na habari ya Niffer na Resty na kwanini Niffer alikataa kuwa ambassador wa Resty kwenye bidhaa yake ya La Vista???
Ule ni mitifuano ya kibiashara tu hamna la zaidi.
Na kama ni maoni yangu naona kila mmoja ana haki ya kufanya na kusema analosema, biashara zina mbinu nyingi.
 
Mimi mwenye ni mtaalam hata hapo TCRA nina wataalam ambao nimepiga nao wengine O-Level,A-Level na Chuo. So hizi issue za Stochastic Signals, Diterministic signal,Electromagnetism, sijui Mieletronics, modulation and demodulation,Radio and TV Broadcasting, Transimission nishaachana navyo sababu nipo kwenye field nyingine japo nilivisoma chuo so ninacho kiongea na kijua.

Kwanza kitendo cha kuhold maanake serikali inakosa mapato kwa hiyo frequency yeyewe, pili kupitia hiyo frequency serikali inakosa kodi kupitia wafanyakazi wa hiyo redio sababu nao wanakuwa walipa kodi. Halafu dunia ya sasa technology ipo very sophisticated sio rigid kama mnavyo fikiri.
Never underestimate JF,that's why I like it.
 
Ooh, okey boss. As long kila mmoja anapata hakuna mjinga. Labda kama hakuna win-win
Lakin ujue anaye win zaid ni anayeweka pesa kutumia jina lako. Maana bila wewe yeye hizo pesa angeweka wapi? Bila yeye wewe ungeweza pata mtu mwingine still so ni kama win win but infact Kusaga ame leverage over Diamond. So honestly is a really win-win
 
Lakin ujue anaye win zaid ni anayeweka pesa kutumia jina lako. Maana bila wewe yeye hizo pesa angeweka wapi? Bila yeye wewe ungeweza pata mtu mwingine still so ni kama win win but infact Kusaga ame leverage over Diamond. So honestly is a really win-win
Win-Win inapimwa na mambo mengi boss. Unaweza ukawa unapata kingi zaidi yangu ila na mimi napata kile ninachohitaji. Kwenye macho ya wengine inaweza kuonekana kama unatumika ila as long as unajua unataka nini na unapata unachotaka basi ni win-win.
 
Mkuu, Media ni taasisi. Kukiwa na kikao/chochote kila mmoja atapewa taarifa kivyake.
Wale ni business partners sio wapenzi.
Lazima muwasiliane. Objectives na ndoto za ofisi mnazo nyinyi sio watendaji wanaowapa ripoti. Unless hiyo media imeshafika kwenye peak na hakuna room ya kuexpand na malengo yenu yametimia.
 
Win-Win inapimwa na mambo mengi boss. Unaweza ukawa unapata kingi zaidi yangu ila na mimi napata kile ninachohitaji. Kwenye macho ya wengine inaweza kuonekana kama unatumika ila as long as unajua unataka nini na unapata unachotaka basi ni win-win.
Nakubali.
 
View attachment 2929146Wakurugenzi wa Wasafi Media, Joseph Kusaga na Nassib Abdul ‘Diamond Platinumz’ wanaripotiwa kukosa maelewano kati yao juu ya uendeshaji wa media hiyo inayomilikiwa na wawili hao.

Chanzo ni TRA…
Diamond ambaye amekuwa akitafutwa na maafisa kodi kwa muda mrefu, huku yeye akitumia 'janja janja' kuwakwepa, maafisa kodi hao wamehamishia majeshi kwa Joseph Kusaga.

Joseph Kusaga ambaye majukumu ya uendeshaji amemwachia Diamond, amekuwa akimpigia simu mara nyingi Diamond bila mafanikio.
Hivyo Diamond anawakwepa maafisa kodi, na huku simu za Kusaga pia hapokei.

Kusaga achoshwa na mabifu ya Diamond!
Inaarifiwa kuwa Kusaga amekuwa akilalamika mara nyingi juu ya mabifu ya Diamond na watu wengi ambayo yanaikwamisha Wasafi Media kukua.

Wakati anaanzisha media hiyo 2016, alikuwa na malengo makubwa ya kuikuza kuwa kubwa pengine kuizidi Clouds Media ambayo ni mali ya familia yao. Hivyo kupitia umaarufu wa Diamond alitegemea kuvuna wasikilizaji kutoka kila pembe ya nchi jambo ambalo kwa kiasi kikubwa limefanikiwa ila kikwazo kikiwa ugomvi wa Diamond na watu wengi ambao wengi hutumia mabifu hayo kama fursa ya kuikwamisha Wasafi Media.

Kusaga Amgeukia Ali Kiba…
Habari za uhakika ni kwamba mastermind huyo wa biashara za vyombo vya habari na nyinginezo lukuki, ameelekeza nguvu zake kwa hasimu wa Diamond, Ali Kiba.

Wawili hao (Kusaga na Ali) wapo kwenye hatua za mwisho kukamilisha masuala muhimu likiwemo jina rasmi la kutumika kuitambulisha Media hiyo.

Kupitia chanzo changu makini nimefanikiwa kunasa jina linalopewa kipaumbele, Kings Media (Kings TV & Kings FM)
Pia watangazaji ambao tayari wameshawekwa kwenye list ni Abdallah Ambua ‘Dullah Planet’ aliyeng’oka EATV na EA Radio hivi karibuni, pamoja na Khalid Mohamed ‘TID’.

Kusaga na utajiri wa frequencies!
Kwa wafuatiliaji wa masuala ya media hasa radio, watakuwa wanafahamu ya kwamba hivi sasa hakuna frequency mpya hapa jijini Dar Es Salaam.

Yaani kwamba ukitaka kuanzisha redio huwezi kupata mawimbi ya kukuwezesha kusikilizwa Dar, labda ununue (frequency) ambayo inamilikiwa na wengine kisha uibadilishe kuwa redio yako.

Wajanja wa mjini wamezihodhi, akiwemo Joseph Kusaga ambaye anaarifiwa kuwa nazo kwa idadi ambayo haifahamiki.

Kupitia chanzo changu nyeti,

Nifah.
Umetisha fungua jarida upate kipato mkuu!
 
Back
Top Bottom