Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Wewe kama mtaalamu wa hayo masomo ulitakiwa utoe ufafanuzi wa kina badala ya kutaja terminologies na classmates wako.

Mimi kama kilaza wa mambo ya radio frequency ngoja nieleze kwa kutumia ukilaza wangu. Radio frequencies kwa Tanzania nadhani zitakuwa zinaanza palepale ambapo sehemu nyingi duniani huwa zinaanza. Kuanzia 88.0MHz hadi 108.0MHz.

Sasa kati ya hizo frequency modulation (FM) radio stations, inabidi kuwepo na space ya 0.2MHz kuzuia kuingiliana kwa sauti maana frequency mfano redio ikiwa 89.7 unaweza isikia kwa kelele ukiweka 89.6 au 89.8, isingekuwa wanaacha nafasi kidogo basi redio zisingekuwa zinasikika vizuri mwenye transmitters kubwa ndio anasikika na mwingine anakuwa na noise. Hii issue hutumika kwenye jamming tukienda mambo ya usalama.

Na kuna sababu kwanini redio kongwe na kubwa kubwa zote zina frequencies chini ya 92MHz, alafu redio uchwara zile za sijui nani mkusanya sadaka ziko kwenye 102 na kupanda.

Therefore, nashawishika kuamini kuna watu walinunua frequencies za mwanzo nzurinzuri wakakaa nazo ilimradi wanazilipia TCRA. Hilo suala la kukosa mapato ni la TRA. Btw hii ni banana republic lolote linawezekana.
Hakuna mtu ataanzisha redio kubwa alafu frequency iwe 107.8, atabidi abanane na hawa 88, 89 uko. Na ndipo ataenda kununua kwa waliohodhi.

Alafu kukusanya umbea wa uhakika kwa vyanzo tofauti nadhani ni kazi sana. Badala ya kuja kuattack mleta taarifa kwamba muongo ingefaa expert wa fani yake aje na maelezo ya kushiba kujazia au kukosoa hoja. Badala yake mnachambua vipointi mnamuita mtu mwongo na wala hakuwa na intention ya kuongopa.
Kwanza sijamuattack pili, ukisikia let say Telecom Engineer au Electronics and Communications Engineer sio kwamba anajua kila kitu,unaweza kuwa upo kwenye Coding,Database,transmission,Power,Instrumentation nk.Ila basics unakuwa nazo.
Wewe kama mtaalamu wa hayo masomo ulitakiwa utoe ufafanuzi wa kina badala ya kutaja terminologies na classmates wako.

Mimi kama kilaza wa mambo ya radio frequency ngoja nieleze kwa kutumia ukilaza wangu. Radio frequencies kwa Tanzania nadhani zitakuwa zinaanza palepale ambapo sehemu nyingi duniani huwa zinaanza. Kuanzia 88.0MHz hadi 108.0MHz.

Sasa kati ya hizo frequency modulation (FM) radio stations, inabidi kuwepo na space ya 0.2MHz kuzuia kuingiliana kwa sauti maana frequency mfano redio ikiwa 89.7 unaweza isikia kwa kelele ukiweka 89.6 au 89.8, isingekuwa wanaacha nafasi kidogo basi redio zisingekuwa zinasikika vizuri mwenye transmitters kubwa ndio anasikika na mwingine anakuwa na noise. Hii issue hutumika kwenye jamming tukienda mambo ya usalama.

Na kuna sababu kwanini redio kongwe na kubwa kubwa zote zina frequencies chini ya 92MHz, alafu redio uchwara zile za sijui nani mkusanya sadaka ziko kwenye 102 na kupanda.

Therefore, nashawishika kuamini kuna watu walinunua frequencies za mwanzo nzurinzuri wakakaa nazo ilimradi wanazilipia TCRA. Hilo suala la kukosa mapato ni la TRA. Btw hii ni banana republic lolote linawezekana.
Hakuna mtu ataanzisha redio kubwa alafu frequency iwe 107.8, atabidi abanane na hawa 88, 89 uko. Na ndipo ataenda kununua kwa waliohodhi.

Alafu kukusanya umbea wa uhakika kwa vyanzo tofauti nadhani ni kazi sana. Badala ya kuja kuattack mleta taarifa kwamba muongo ingefaa expert wa fani yake aje na maelezo ya kushiba kujazia au kukosoa hoja. Badala yake mnachambua vipointi mnamuita mtu mwongo na wala hakuwa na intention ya kuongopa.
Frequency ya radio haifanyi radio kuwa kubwa bali ni promo cha kwanza,hata ukiwa na 107......... ila promo na the way utakavyo market radio yako ndio itaifanya kuwa kubwa.

Kwenye basic topic ya Wave form four
Velocity=Frequency xWavelength.Advantage ya Frequency kuwa ndogo maana redio itaenda umbali mrefu (I believe una basic ya hesabu hizi za directly na inversely proportional za form one),ila mwenye Frequency kubwa haiendi umbali mrefu sana japo utofauti wa umbali unakuwa sio mkubwa sana.Ndio sababu watu wanazitaka hizo za mwanzo ndogo. Ila kusema Frequency zimeisha na kataa,Frequency zipo halafu dunia hii ya sasa technology iko very sophisticated.
 
Inawezekana bi dada umbea kapewa na mtu anayemuamini sana ila kama angekuwa na knowledge kidogo ya Telecommunications, hata isiwe ile ya deep kiasi hicho, angejua kwamba hapo wametia chumvi tu, hakuna mtu anaweza zimiliki Frequency Radio zote za Dar. Hata yeye leo akitaka anatengenezewa. Nadhani TCRA walikuja wakanunua controlling devices ili kudhibiti radio bubu, zamani zetu zilikuwa nyingi sana ila saivi mpaka upate registration ndo utarusha vipindi vyako.
Mkuu umenisoma kwa umakini lakini? Hivi kweli naweza kusema mtu mmoja anamiliki frequencies zote za Dar?
Kabla ya kujadili ni vyema ukasoma habari kwa umakini, na huu sio umbea.
 
Jamaaa bishi kama ushuzi ukitaka frequency kwa sasa ni mkoa wa pwani ndo unapata ila dar zimejaaa mm kuna jamaa yangu alifuatilia kachemka kachukua mkoa wa pwani harafu kituo atajenga mpakani mwa dar na pwani.
Watu wabishi sana, hata mimi nina jamaa zangu walichemka hivyohivyo.
Tatizo watu wanadhani tunaandika tu.
 
Kwamba ulitegemea hawatozungumza milele? Hizi akili za wapi?
Daah...! Ila hapo ndio nimekwama. Umesema Diamond hapokei simu za kusaga mara wako wote tena mahala?. Sasa simu za nini kama wanaonana?.

Kuna upande umeongea kiushabiki mno. Kwa kumponda Diamond.

Kwa namna hiyo unatuamisha kuna mengi ya uongo kwenye uongo kwenye hii habari ili tuamini Mond anazingua.

Kuna Jambo moja vijana wa kitanzania wana wivu sana na kijana mwenzao akifanikiwa. Nimeona vijana wengi bongo wanamchukia Mond bila sbb za msingi. Utasikia anaringa. Kisa tu amefanikiwa.

Kwa akili ya Mond + management yake sidhani kama anaweza kuzinguana na TRA kiasi cha kuwakimbia. Ni mara nyingi nimesikia amezinguana na TRA,bado ni kile kile ni wivu tu wanamsakama hata kupita ile taratibu za kawaida.

Nianavyo kwa huyu dogo Diamond watapoteza tu muda kumshusha. Vinginevyo waungane nae. Yule dogo akili kubwa. Yule dogo yuko mbali sana.
Tuwaunge mkono vijana wenzetu waliofanikiwa. Ama tuungane nao.
 
Kwanza sijamuattack pili, ukisikia let say Telecom Engineer au Electronics and Communications Engineer sio kwamba anajua kila kitu,unaweza kuwa upo kwenye Coding,Database,transmission,Power,Instrumentation nk.

Frequency ya radio haifanyi radio kuwa kubwa bali ni promo cha kwanza,hata ukiwa na 107......... ila promo na the way utakavyo market radio yako ndio itaifanya kuwa kubwa.
Hakuna redio kubwa yenye 107MHz, hizo ni redio za wapiga vinanda na madufu asubuhi mpaka jioni.
Kwenye basic topic ya Wave form four
Velocity=Frequency xWavelength.Advantage ya Frequency kuwa ndogo maana redio itaenda umbali mrefu (I believe una basic ya hesabu hizi za directly na inversely proportional za form one),ila mwenye Frequency kubwa haiendi umbali mrefu sana japo utofauti wa umbali unakuwa sio mkubwa sana.Ndio sababu watu wanazitaka hizo za mwanzo ndogo.
Wewe sio mtaalamu nimegundua, unaleta habari nilizosoma Form 4 topic ya Wave, mengine nikafundishwa na Mgote pale Mchikichini na kitini chake kikubwa kama ugomvi cha topic ya Wave tu.

Hapo nilipobold ndio sababu watu walinunua frequencies wakahodhi. Na umejibu kwanini redio giants hazina frequencies za kupokelea sadaka bali zina zile ndogo zinazoenda mbali.
Ila kusema Frequency zimeisha na kataa,Frequency zipo halafu dunia hii ya sasa technology iko very sophisticated.
Technology kuwa sophisticated umelisema mara ya nne sasa, unamaanisha nini mkuu.

Sophistication ya tech inafanya wavelength ziongezeke au nini. Kwamba badala ya kutumia range ya 88.0 hadi 108 basi tutumie 50.0 hadi 200.0? Kitu gani kulikuwepo zamani kwenye frequency na sasa kinafanya ushindani wa mawimbi upungue au uondoke.
 
We jamaa ndio umetoa jibu sahihi kabisa...
Je wewe ni insider?

Please kwa niaba ya wengine ebu tujazie nyama hapo kwenye wakusanya sadaka kwann wawe kwenye 102.4 na zaidi

Nn sababu maana nimewashawa radio naona hii kitu ni kweli.


Na kwann km wasafi haipatikani baadhi ya mikoa je huko nako kuna madon wamehold frequence za hio mikoa? Hasa zile zenye asali kiasi kwamba nao inabidi wanunue

Hitimisho ndio huu uhuni unaazia mbali serikali ingeweka mazingira rafiki ya internet nchi nzima na iwe rahisi watu wangekuwa wanasikiliza online so huo mlolongo ungekufa mtu angeweza kufungulia frequence njombe na watu wote wangesikia


Ndio maana ELON alipigwa chini bongo angeharibu mizinga ya asali ya wengi sana



Swali la mwisho huenda mengi nae alinunua nchi jiran ile radio yake inayoshika EAC yote


Ama kweli biashara ni akili
Mkuu kama nilivyosema hii sio field yangu, kwa kitu ninachokijua huwa natoa maelezo yaliyoshiba hata kilaza akisoma anaelewa.
Hapa nimejibu kwa general knowledge tu, wataalamu wenyewe ndio hawa hapa hamna kitu wanaelezea
 
Wewe kama mtaalamu wa hayo masomo ulitakiwa utoe ufafanuzi wa kina badala ya kutaja terminologies na classmates wako.

Mimi kama kilaza wa mambo ya radio frequency ngoja nieleze kwa kutumia ukilaza wangu. Radio frequencies kwa Tanzania nadhani zitakuwa zinaanza palepale ambapo sehemu nyingi duniani huwa zinaanza. Kuanzia 88.0MHz hadi 108.0MHz.

Sasa kati ya hizo frequency modulation (FM) radio stations, inabidi kuwepo na space ya 0.2MHz kuzuia kuingiliana kwa sauti maana frequency mfano redio ikiwa 89.7 unaweza isikia kwa kelele ukiweka 89.6 au 89.8, isingekuwa wanaacha nafasi kidogo basi redio zisingekuwa zinasikika vizuri mwenye transmitters kubwa ndio anasikika na mwingine anakuwa na noise. Hii issue hutumika kwenye jamming tukienda mambo ya usalama.

Na kuna sababu kwanini redio kongwe na kubwa kubwa zote zina frequencies chini ya 92MHz, alafu redio uchwara zile za sijui nani mkusanya sadaka ziko kwenye 102 na kupanda.

Therefore, nashawishika kuamini kuna watu walinunua frequencies za mwanzo nzurinzuri wakakaa nazo ilimradi wanazilipia TCRA. Hilo suala la kukosa mapato ni la TRA. Btw hii ni banana republic lolote linawezekana.
Hakuna mtu ataanzisha redio kubwa alafu frequency iwe 107.8, atabidi abanane na hawa 88, 89 uko. Na ndipo ataenda kununua kwa waliohodhi.

Alafu kukusanya umbea wa uhakika kwa vyanzo tofauti nadhani ni kazi sana. Badala ya kuja kuattack mleta taarifa kwamba muongo ingefaa expert wa fani yake aje na maelezo ya kushiba kujazia au kukosoa hoja. Badala yake mnachambua vipointi mnamuita mtu mwongo na wala hakuwa na intention ya kuongopa.
107.3 UFM hii ni ya Bakhresa, vp Hana pesa za kununua 88.
 
Hakuna redio kubwa yenye 107MHz, hizo ni redio za wapiga vinanda na madufu asubuhi mpaka jioni.

Wewe sio mtaalamu nimegundua, unaleta habari nilizosoma Form 4 topic ya Wave, mengine nikafundishwa na Mgote pale Mchikichini na kitini chake kikubwa kama ugomvi cha topic ya Wave tu.

Hapo nilipobold ndio sababu watu walinunua frequencies wakahodhi. Na umejibu kwanini redio giants hazina frequencies za kupokelea sadaka bali zina zile ndogo zinazoenda mbali.

Technology kuwa sophisticated umelisema mara ya nne sasa, unamaanisha nini mkuu.

Sophistication ya tech inafanya wavelength ziongezeke au nini. Kwamba badala ya kutumia range ya 88.0 hadi 108 basi tutumie 50.0 hadi 200.0? Kitu gani kulikuwepo zamani kwenye frequency na sasa kinafanya ushindani wa mawimbi upungue au uondoke.
Kwa hiyo waliso soma Physics wote wamesoma kwa Mgote?

Kwani ukisoma Physics Mchikichini na ukisoma Feza kwani Faraday law,Lenz law ya Mchikichi na Feza zinatofautiana.

Sio mtalaamu sasa nimekuwekea na Formula bado unakataa,sasa unataka niseme nini,tena hivyo ni basics knowledge.

Mawimbi yana shindana vipi wakati kila radio ina transmit kwenye path yake?

Halafu uzuri humu JF hatujuani so endelea kupayuka.
 
Hilo suala ulilosema ni ukweli kwa 100%. Mwaka 2011 kuna mtu alitaka kuanzisha redio alisumbuka sana kupata frequency nzuri na ilikuwa mkoani. Ilibidi anunue redio ya mtu aliyekuwa kashafulia. Na wakati huo tayari Kusaga alikuwa na frequency kashazishikilia. Frequency ni suala tata sana.
Asante Mkuu, mi siongezi neno.
 
View attachment 2929146Wakurugenzi wa Wasafi Media, Joseph Kusaga na Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ wanaripotiwa kukosa maelewano kati yao juu ya uendeshaji wa media hiyo inayomilikiwa na wawili hao.

Chanzo ni TRA…
Diamond ambaye amekuwa akitafutwa na maafisa kodi kwa muda mrefu, huku yeye akitumia 'janja janja' kuwakwepa, maafisa kodi hao wamehamishia majeshi kwa Joseph Kusaga.

Joseph Kusaga ambaye majukumu ya uendeshaji amemwachia Diamond, amekuwa akimpigia simu mara nyingi Diamond bila mafanikio.
Hivyo Diamond anawakwepa maafisa kodi, na huku simu za Kusaga pia hapokei.

Kusaga achoshwa na mabifu ya Diamond!
Inaarifiwa kuwa Kusaga amekuwa akilalamika mara nyingi juu ya mabifu ya Diamond na watu wengi ambayo yanaikwamisha Wasafi Media kukua.

Wakati anaanzisha media hiyo 2016, alikuwa na malengo makubwa ya kuikuza kuwa kubwa pengine kuizidi Clouds Media ambayo ni mali ya familia yao. Hivyo kupitia umaarufu wa Diamond alitegemea kuvuna wasikilizaji kutoka kila pembe ya nchi jambo ambalo kwa kiasi kikubwa limefanikiwa ila kikwazo kikiwa ugomvi wa Diamond na watu wengi ambao wengi hutumia mabifu hayo kama fursa ya kuikwamisha Wasafi Media.

Kusaga Amgeukia Ali Kiba…
Habari za uhakika ni kwamba mastermind huyo wa biashara za vyombo vya habari na nyinginezo lukuki, ameelekeza nguvu zake kwa hasimu wa Diamond, Ali Kiba.

Wawili hao (Kusaga na Ali) wapo kwenye hatua za mwisho kukamilisha masuala muhimu likiwemo jina rasmi la kutumika kuitambulisha Media hiyo.

Kupitia chanzo changu makini nimefanikiwa kunasa jina linalopewa kipaumbele, Kings Media (Kings TV & Kings FM)
Pia watangazaji ambao tayari wameshawekwa kwenye list ni Abdallah Ambua ‘Dullah Planet’ aliyeng’oka EATV na EA Radio hivi karibuni, pamoja na Khalid Mohamed ‘TID’.

Kusaga na utajiri wa frequencies!
Kwa wafuatiliaji wa masuala ya media hasa radio, watakuwa wanafahamu ya kwamba hivi sasa hakuna frequency mpya hapa jijini Dar Es Salaam.

Yaani kwamba ukitaka kuanzisha redio huwezi kupata mawimbi ya kukuwezesha kusikilizwa Dar, labda ununue (frequency) ambayo inamilikiwa na wengine kisha uibadilishe kuwa redio yako.

Wajanja wa mjini wamezihodhi, akiwemo Joseph Kusaga ambaye anaarifiwa kuwa nazo kwa idadi ambayo haifahamiki.

Kupitia chanzo changu nyeti,

Nifah.
Wa bongo kwa kupenda Mambo ya watu, kwanza kusaga sio mmiliki mwenza wa WCB,share holder mwenza ni mke wa kusaga, kama individual, hisa sio za ndoa!
Mind, ni CEO, Mambo ya Kodi, wapo CFO, na MD wanaweza kusimamia hayo Mambo,
 
Daah...! Ila hapo ndio nimekwama. Umesema Diamond hapokei simu za kusaga mara wako wote tena mahala?. Sasa simu za nini kama wanaonana?.

Kuna upande umeongea kiushabiki mno. Kwa kumponda Diamond.

Kwa namna hiyo unatuamisha kuna mengi ya uongo kwenye uongo kwenye hii habari ili tuamini Mond anazingua.

Kuna Jambo moja vijana wa kitanzania wana wivu sana na kijana mwenzao akifanikiwa. Nimeona vijana wengi bongo wanamchukia Mond bila sbb za msingi. Utasikia anaringa. Kisa tu amefanikiwa.

Kwa akili ya Mond + management yake sidhani kama anaweza kuzinguana na TRA kiasi cha kuwakimbia. Ni mara nyingi nimesikia amezinguana na TRA,bado ni kile kile ni wivu tu wanamsakama hata kupita ile taratibu za kawaida.

Nianavyo kwa huyu dogo Diamond watapoteza tu muda kumshusha. Vinginevyo waungane nae. Yule dogo akili kubwa. Yule dogo yuko mbali sana.
Tuwaunge mkono vijana wenzetu waliofanikiwa. Ama tuungane nao.
Mkuu, habari za ushabiki sina siku hizi, hayo mambo nilishaacha.
Mimi naandika habari, mapokeo yako sio juu yangu.
 
Back
Top Bottom