Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Bakheresa chochote akitakacho simu moja kwa mkuu wa nchi kamaliza,hayupo Mogul wa kumzidi Bakheresa nchi hii hayupo kwa power.

Kwa hiyo kwa mtizamo wako UFM ipo ipo tu haingizi hela?
Sio kweli inategemea anataka cha nani?

Unaweza kutaka cha mkubwa mwenzako na yeye anamizizi na ni mtu wa michezo michafu
 
Mzee wewe sio mtaalamu wa aya mambo, sema ulisoma O level na A level na wataalamu. Hata mimi nilisoma nao.
Mlikuwa mnakunywa uji shule mnahadithiana madesa, ndio unaleta iwe reality.

Kama kila radio inatransmit kwenye path yake, na kila path inapewa gap ili kuondoa interference. Na tulishakubaliana frequencies za chini zinakimbiliwa na ni hot cake sababu zinaenda masafa ya mbali zaidi. Huoni logic hapo kwanini watu wahodhi hizo desirable frequencies?

Ukisikia kuna vigogo wamejimilikisha ardhi Dar unadhani ni ardhi ya Bonyokwa na Kitintale kule wanakotupa mizoga ya paka shume, au unadhani ardhi Dar imeisha kabisa? Ardhi itakuwepo, basi nenda Bonyokwa kajenge HQ za kampuni kubwa Afrika Mashariki.
Sina logic kwa mtizamo wako finyu,sikulaumu labda level za kufikiri zimetofautiana.

Ardhi hela yako hata serikalini yapo maeneo potential yaunauzwa kwa gharama kubwa kwa Square m,ila haina maana hayapo yapo.

Sasa huwezi fananisha Ardhi na Frequency vitu viwili tofauti, kwenye ardhi ukishapewa hati basi,ila Frequency still wanakumonitor. Pili huwezi kuhozi Frequency sababu kwa kwanza kwa Frequency yenyewe ni hela ndefu,pili kwa kupitia wafanyakazi wale serikali inapata kodi. So Frequency zipo na kinacho fanya radio kuwa kubwa ni promo na si udogo frequencies, hata ukifanya mahesabu tofauti ya distance ni ndogo sana.

Tatu uzuri hatujuani na sihitaji sifa kutoka kwako kwamba ukubali mimi mtaalamu, ila uzuri na jiamini kwenye field yangu huni punguzii chochote.
 
Hata kama umesoma Telecom engineering, Electronics, IT hapo CoET uwe unaelewa.

Hii imekaa kibiashara acha makelele yako tunajua umesoma electronics, wave, electromagnetism na mengineyo..PCM 5& 6 ila jaribu kuelewa.
Makelele ni mtizamo wako na hujakatazwa kuyaona makele sababu umeamua mwenyewe kuyaona makele.
 
Kaka we ba
Mkubwa mwenzake nani, Bakheresa mda wowote anafumua kampuni ya simu sijui kama unalijua hili. Hayupo mtu mwenye mizizi mirefu kama yule mzee sema yupo kimya.
Kaka acha ushabiki we bado mdogo kuna vitu hujui
Kwenye siasa huko kuna watu wanakufuru...ndio maana huji kuta jina la mwanasiasa forbes


Hii dunia kuna light world na dark world

Sasa bakhresa yupo upande wa light world yaani anaonekana


Kuna dark world ndio kwa wanasiasa

Jiulize kwenye msiba wa juzi wa waziri mkuu kila mwanasiasa alikuwa anakiri yule mtu alikuwa vizuri kifedha na hata kasumba ya U-CEo 1995 ukwasi ndio ulimzibia


Jiulize ni nn ulikuwa unakijua anamiliki kinachoonekana mpaka apewe sifa izo
 
View attachment 2929146Wakurugenzi wa Wasafi Media, Joseph Kusaga na Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ wanaripotiwa kukosa maelewano kati yao juu ya uendeshaji wa media hiyo inayomilikiwa na wawili hao.

Chanzo ni TRA…
Diamond ambaye amekuwa akitafutwa na maafisa kodi kwa muda mrefu, huku yeye akitumia 'janja janja' kuwakwepa, maafisa kodi hao wamehamishia majeshi kwa Joseph Kusaga.

Joseph Kusaga ambaye majukumu ya uendeshaji amemwachia Diamond, amekuwa akimpigia simu mara nyingi Diamond bila mafanikio.
Hivyo Diamond anawakwepa maafisa kodi, na huku simu za Kusaga pia hapokei.

Kusaga achoshwa na mabifu ya Diamond!
Inaarifiwa kuwa Kusaga amekuwa akilalamika mara nyingi juu ya mabifu ya Diamond na watu wengi ambayo yanaikwamisha Wasafi Media kukua.

Wakati anaanzisha media hiyo 2016, alikuwa na malengo makubwa ya kuikuza kuwa kubwa pengine kuizidi Clouds Media ambayo ni mali ya familia yao. Hivyo kupitia umaarufu wa Diamond alitegemea kuvuna wasikilizaji kutoka kila pembe ya nchi jambo ambalo kwa kiasi kikubwa limefanikiwa ila kikwazo kikiwa ugomvi wa Diamond na watu wengi ambao wengi hutumia mabifu hayo kama fursa ya kuikwamisha Wasafi Media.

Kusaga Amgeukia Ali Kiba…
Habari za uhakika ni kwamba mastermind huyo wa biashara za vyombo vya habari na nyinginezo lukuki, ameelekeza nguvu zake kwa hasimu wa Diamond, Ali Kiba.

Wawili hao (Kusaga na Ali) wapo kwenye hatua za mwisho kukamilisha masuala muhimu likiwemo jina rasmi la kutumika kuitambulisha Media hiyo.

Kupitia chanzo changu makini nimefanikiwa kunasa jina linalopewa kipaumbele, Kings Media (Kings TV & Kings FM)
Pia watangazaji ambao tayari wameshawekwa kwenye list ni Abdallah Ambua ‘Dullah Planet’ aliyeng’oka EATV na EA Radio hivi karibuni, pamoja na Khalid Mohamed ‘TID’.

Kusaga na utajiri wa frequencies!
Kwa wafuatiliaji wa masuala ya media hasa radio, watakuwa wanafahamu ya kwamba hivi sasa hakuna frequency mpya hapa jijini Dar Es Salaam.

Yaani kwamba ukitaka kuanzisha redio huwezi kupata mawimbi ya kukuwezesha kusikilizwa Dar, labda ununue (frequency) ambayo inamilikiwa na wengine kisha uibadilishe kuwa redio yako.

Wajanja wa mjini wamezihodhi, akiwemo Joseph Kusaga ambaye anaarifiwa kuwa nazo kwa idadi ambayo haifahamiki.

Kupitia chanzo changu nyeti,

Nifah.
Radio ya juz ilkuwa ya nani
 
Ulivyoandika na tukio la jana tu ni vitu viwili tofauti. Bora ungesema kusaga anawekeza kwa diamond zaidi kuliko anavyowekeza kwa mkewe. Hujafatilia taarifa yako popote ulipoioata hata kama ww ni second hand wa diamond hapo umeferi boss.
Anachoandika hakielewi na Tra nakumbuka huwa wanampongeza mondi kuwa anawalipa mapato kwa wakati ,alafu wewe unaongea nini nikwambie kitu kimoja Dada yangu Nifa, Wasafi media ni ya mondi acha udaku kusaga hana chochote labda walikuwa wamekutana kibiashara ata Kiba afungue Kings Redio na Tv hawezi kuifikia Wasafi sema nn watu wachache mnampiga mawe mondi msela kashawekeza kwa mashabiki ata kituzo wanampigia kula mashabiki na anashinda wangapi wametoka wcb bado wanaenda kupiga show nchi za nje kwa mfululizo jibu hamna ,bila konetion huwezi toboa so MOND Level nyingine wasafi haitodondoka
 
Kaka we ba

Kaka acha ushabiki we bado mdogo kuna vitu hujui
Kwenye siasa huko kuna watu wanakufuru...ndio maana huji kuta jina la mwanasiasa forbes


Hii dunia kuna light world na dark world

Sasa bakhresa yupo upande wa light world yaani anaonekana


Kuna dark world ndio kwa wanasiasa

Jiulize kwenye msiba wa juzi wa waziri mkuu kila mwanasiasa alikuwa anakiri yule mtu alikuwa vizuri kifedha na hata kasumba ya U-CEo 1995 ukwasi ndio ulimzibia


Jiulize ni nn ulikuwa unakijua anamiliki kinachoonekana mpaka apewe sifa izo
Mdogo kwa mtizamo wako kwani lake mtu halimtapishi na una haki ya kuongea chochote sababu hatujuani.

Bakheresa yupo vizuri na power yake ni kubwa mno.
 
Ulivyoandika na tukio la jana tu ni vitu viwili tofauti. Bora ungesema kusaga anawekeza kwa diamond zaidi kuliko anavyowekeza kwa mkewe. Hujafatilia taarifa yako popote ulipoioata hata kama ww ni second hand wa diamond hapo umeferi boss.
Anachoandika hakielewi na Tra nakumbuka huwa wanampongeza mondi kuwa anawalipa mapato kwa wakati ,alafu wewe unaongea nini nikwambie kitu kimoja Dada yangu Nifa, Wasafi media ni ya mondi acha udaku kusaga hana chochote labda walikuwa wamekutana kibiashara ata Kiba afungue Kings Redio na Tv hawezi kuifikia Wasafi sema nn watu wachache mnampiga mawe mondi msela kashawekeza kwa mashabiki ata kituzo wanampigia kula mashabiki na anashinda wangapi wametoka wcb bado wanaenda kupiga show nchi za nje kwa mfululizo jibu hamna ,bila konetion huwezi toboa so MOND Level nyingine wasafi haitodondoka
 
Hata kama umesoma Telecom engineering, Electronics, IT hapo CoET uwe unaelewa.

Hii imekaa kibiashara acha makelele yako tunajua umesoma electronics, wave, electromagnetism na mengineyo..PCM 5& 6 ila jaribu kuelewa.
Hawa si ndio wanasemwa na waajiri ni weupe ku kichwa?
 
Anachoandika hakielewi na Tra nakumbuka huwa wanampongeza mondi kuwa anawalipa mapato kwa wakati ,alafu wewe unaongea nini nikwambie kitu kimoja Dada yangu Nifa, Wasafi media ni ya mondi acha udaku kusaga hana chochote labda walikuwa wamekutana kibiashara ata Kiba afungue Kings Redio na Tv hawezi kuifikia Wasafi sema nn watu wachache mnampiga mawe mondi msela kashawekeza kwa mashabiki ata kituzo wanampigia kula mashabiki na anashinda wangapi wametoka wcb bado wanaenda kupiga show nchi za nje kwa mfululizo jibu hamna ,bila konetion huwezi toboa so MOND Level nyingine wasafi haitodondoka
Fatilia ujue wewe acha ujuaji... Wasafi ata hisa anazomiliki diamond amfikii juhayna kusaga mke wa Joseph kusaga, sema diamond ni ceo na founder tu... Ndio maana wengi msiozama mnahisi ni mali yake pekee..!
 

Attachments

  • Screenshot_2024-03-09-17-14-41-68.jpg
    Screenshot_2024-03-09-17-14-41-68.jpg
    283.3 KB · Views: 11
Anachoandika hakielewi na Tra nakumbuka huwa wanampongeza mondi kuwa anawalipa mapato kwa wakati ,alafu wewe unaongea nini nikwambie kitu kimoja Dada yangu Nifa, Wasafi media ni ya mondi acha udaku kusaga hana chochote labda walikuwa wamekutana kibiashara ata Kiba afungue Kings Redio na Tv hawezi kuifikia Wasafi sema nn watu wachache mnampiga mawe mondi msela kashawekeza kwa mashabiki ata kituzo wanampigia kula mashabiki na anashinda wangapi wametoka wcb bado wanaenda kupiga show nchi za nje kwa mfululizo jibu hamna ,bila konetion huwezi toboa so MOND Level nyingine wasafi haitodondoka
Kula = kura, Konetion = connection... Kwa huu uandishi wako itoshe kusema bado nchi ina wajinga wengi mno. Na sitashangaa kusikia wewe ni graduate wa chuo kikuu. Ni huzuni kwa kweli.
 
Fatilia ujue wewe acha ujuaji... Wasafi ata hisa anazomiliki diamond amfikii johavin kusaga mke wa Joseph kusaga, sema diamond ni ceo na founder tu... Ndio maana wengi msiozama mnahisi ni mali yake pekee..!
Sasa si share kwenye mia ukiwa na tano nawe ni mmiliki,Llebron ana share ndogo sana Liverpool ila nae ni sehemu wamiliki Liverpool.

Hivi 45% alizokuwa nazo Diamond ni ndogo kweli, kwa taasisi kama ile ya Wasafi,tuwe wakweli.
 
Sasa si share kwenye mia ukiwa na tano nawe ni mmiliki,Llebron ana share ndogo sana Liverpool ila nae ni sehemu wamiliki Liverpool.

Hivi 45% alizokuwa nazo Diamond ni ndogo kweli, kwa taasisi kama ile ya Wasafi,tuwe wakweli.
Kwani nmekquote mkuu..?
 
Back
Top Bottom