Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kheri in shaa Allah kama mmeyamaliza ukhti ๐Usifufue ugomvi Mkuu, tumeshayamaliza. ๐ ๐
Nisimulie me ntaandika [emoji3064]Q Chillah skuambiwa, chanzo kiko bize sana ndio maana.
Halafu za DSTV ninazo mpya kibao, basi tu nimechoka kuziandika.
Upumbavu toka lini ukawa nondo? Nyie ndio mnaowafanya wapumbavu waendelee kua wapumbavu.
Mbona una hamaki sana kijana? Hebu kunywa maji yenye uvuguvugu kidogoUpumbavu toka lini ukawa nondo? Nyie ndio mnaowafanya wapumbavu waendelee kua wapumbavu.
Uje basi utupe mambo ya DSTVMfano nikwambie muandaaji wa tamthilia ya Kiswahili inayorushwa DSTV kadhulumiwa pesa zake na Watendaji huko DSTV utaandikaje?
Wewe binti uliyeleta huu uzi unapokosolewa uwe unakubali kukosolewa na sio kupenda kufuga ujinga,kama wewe sio mleta uzi basi acha kujipendekeza,sitaki kunywa maji nataka nikutafune wewe.Mbona una hamaki sana kijana? Hebu kunywa maji yenye uvuguvugu kidogo
Mkuu hizi spana unampiga huku unampuliza noma sana, anyway upo sahihi sanaWewe unalifahamu upande wa ubuyu,mimi na lifahamu upande wa Technical side.
Kwahiyo unaweza kuta Ali anadhaminiwa na Diallo mkuu?Usikute ni kiba masikin anajipambania kimpango wake halaf wadau wanataka kupita na upepo wake.
Najiuliza tu. Kwan ni kusaga tu ndio wa kufanya biashara ya media bongo hii??
Bora wasomi mlikuwepo aisee, hawa kina jumalokole wanatudanganya sana.Dada yangu hilo eneo ni field yangu japo sasa nafanya kitu kingine, ila ninacho kizungumza na kijua theoretical mpaka mathematical.
Wewe kama unakubali kudanganywa ni ww, ila Frequency moja haziwezi kuisha wala kuwa mali ya mtu,anaye zimiplan,kuzicontrol,kuzimonitor,kuzimiliki na kuengineer ni TCRA.
Anaweza akawa mtu yoyote tu, my point is, kwann idhaniwe kuwa ni lazima awe kusaga tu ili media biznes is successful?Kwahiyo unaweza kuta Ali anadhaminiwa na Diallo mkuu?
Unaambiwa anamiliki frequency zisizofahamika idadi yake.Usikute ni kiba masikin anajipambania kimpango wake halaf wadau wanataka kupita na upepo wake.
Najiuliza tu. Kwan ni kusaga tu ndio wa kufanya biashara ya media bongo hii??
Noma sana!Ficha upumbavu wako. FM frequency kila mji unapangiwa masafa (frequency moja tu) na FM ina Total 100 Stations kwa kila mkoa:
The FM radio band is from 88 to 108 MHz between VHF television Channels 6 and 7. The FM stations are assigned center frequencies at 200 kHz separation starting at 88.1 MHz, for a maximum of 100 stations.
Dar es salaam Wajanja wameziomba na awajaanzisha Redio ila wanazilipia kila Mwaka..... hii pia ipo katika Telecom... wapo Matajiri walikuwa wanamiliki Frquency za kuanzisha makampuni ya simu kwa miaka mingi hapa Tanzania mpaka pale TCRA walipobadilisha mfumo wa umiriki wa hizo Frquencies . Ila kwa Radio na TV bado wapo watu wanazo na awajafungua stations. Ukizitaka unalipa hela ndefu ndo upewe. Kama unaweza omba TCRA ukapata FM frequency Dar ni PM tuyajenge nnahitaji moja
Wewe mjinga huna unalojua. Halafu pia inaonekana hela huna na connection huna. Hiyo elimu yako ya chuo ni upuuzi mtupu mtaani. Watu wanatoa mamilioni kupata frequency wewe unaleta ubishi wa kitotoNenda TCRA pale halafu uone kama utakosa frequency.
Tatizo vijana wengi mko watupu sana kwa yanayoendelea nje ya majengo ya shule. Yaani mko mtaani kimwili ila kiakili mko chuo.Hapo kwenye Frequencies Umeniacha,
Nijuavyo zinakua generated anytime mtu aliyekizi vigezo akihitaji...
Frequencies sio kifaa, ni mawimbi tuu, ambayo yatahitaji kifaa kama alternator kugenerate, transmitter kusafirisha kwenda kwenye receiver(antena)..., hio transmission hapo haitofautiani na simu inavyofanya kazi
Hivyo ni Sawa na kusema, Huwezi kuongea na Simu maana mawimbi yako kuna mtu anayamiliki, inakuja hio?