Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Si muongee kwa uwazi sote tuelewe jamani? Mbona mimi naandika kwa kirefu tu mnasoma vizuri.
Nazungumzia mkataba ambao diamond aliingia na Ziiki Media na kupewa $6 million ambapo mkataba huo ni wa 360, kwqmba kila pesa anayoingiza diamond na wao wana mgao wao ili kufidia hiyo pesa aliyopewa kwa dhamana ya master zake na za label nzima. Kwa kitaalamu mkataba wa aina hiyo ni mzuri mwanzoni ila ni utumwa fulani baadae kwa sababu kuilipa hiyo hela si mchezo hasa ukizingatia mauzo ya kazi zake kwenye digital platforms ni madogo sana kulinganisha na wasanii wa nigeria ambao kuwa na 100 million streams Spotify ni suala la kawaida sana.
 
Nazungumzia mkataba ambao diamond aliingia na Ziiki Media na kupewa $6 million ambapo mkataba huo ni wa 360, kwqmba kila pesa anayoingiza diamond na wao wana mgao wao ili kufidia hiyo pesa aliyopewa kwa dhamana ya master zake na za label nzima. Kwa kitaalamu mkataba wa aina hiyo ni mzuri mwanzoni ila ni utumwa fulani baadae kwa sababu kuilipa hiyo hela si mchezo hasa ukizingatia mauzo ya kazi zake kwenye digital platforms ni madogo sana kulinganisha na wasanii wa nigeria ambao kuwa na 100 million streams Spotify ni suala la kawaida sana.
Uko sahihi huo mkataba ngumu kweli, ndo Mana siku hizi ana toa collabo na wasanii wengine ili mpunga USI katwe
 
Hata kama umesoma Telecom engineering, Electronics, IT hapo CoET uwe unaelewa.

Hii imekaa kibiashara acha makelele yako tunajua umesoma electronics, wave, electromagnetism na mengineyo..PCM 5& 6 ila jaribu kuelewa.
Ila watu jamani khaaaah
 
Uko sahihi huo mkataba ngumu kweli, ndo Mana siku hizi ana toa collabo na wasanii wengine ili mpunga USI katwe
Cha ajabu naona karibia A-list nzima imeenda Ziiki Media na Africori huko South bila kujua implications za hiyo mikataba. Wakati wanigeria kama Mavin wamewekezewa na Venture capitalist(TPG Kupanda) na YBNL wameingia partnership na EMPiRE
 
Cha ajabu naona karibia A-list nzima imeenda Ziiki Media na Africori huko South bila kujua implications za hiyo mikataba. Wakati wanigeria kama Mavin wamewekezewa na Venture capitalist(TPG Kupanda) na YBNL wameingia partnership na EMPiRE
Dah kazi kweli kweli, ila mavin SI imeuzwa karibia share zote kwa Sony??
 
Okay, haya eleza kwa undani sasa.
Mmiliki ni nani? Na unaongelea redio aliyozindua Ali Kiba (Crown Fm)?
Redio hiyo inamilikiwa na waziri mmmoja -----
Hizo frequency aliuziwa na smbdy mohamed mwenye zanzibar cable,hyo hyo alimuzia pia frequency mwenye mjini fm
Hyo mohamed mwanzoni alikuwaga na furaha fm na TV huko zenji
Ingia deep mfatilie hyo mwenye zanzibar cable utamjuwa hasa ni nani na harakati zake zilivyo
Kwa hiyo redio hyo ni ya waziri mmoja tena sahv yuko hot kweli kweli ......na redio hyo ya crown sjui kings anayeisimamia ni smbdy isy........
Kusaga hana umiliki hapo kabisa

Ova
 
Redio hiyo inamilikiwa na waziri mmmoja -----
Hizo frequency aliuziwa na smbdy mohamed mwenye zanzibar cable,hyo hyo alimuzia pia frequency mwenye mjini fm
Hyo mohamed mwanzoni alikuwaga na furaha fm na TV huko zenji
Ingia deep mfatilie hyo mwenye zanzibar cable utamjuwa hasa ni nani na harakati zake zilivyo
Kwa hiyo redio hyo ni ya waziri mmoja tena sahv yuko hot kweli kweli ......na redio hyo ya crown sjui kings anayeisimamia ni smbdy isy........
Kusaga hana umiliki hapo kabisa

Ova
Ngoja nimtafute jamaa yangu, nitarudi.
Asante
 
Dah kazi kweli kweli, ila mavin SI imeuzwa karibia share zote kwa Sony??
Hapana, baada ya TPG Kupanda kuexit Mavin Global, Universal Music imenunua sehemu kubwa ya shares za Mavin baada ya Msanii Rema kufanya vizuri kwenye nyimbo zake hasa rekodi aliyoweka ya 1 billion streams za Spotify kupitia nyimbo ya Calm Down.
 
Hapana, baada ya TPG Kupanda kuexit Mavin Global, Universal Music imenunua sehemu kubwa ya shares za Mavin baada ya Msanii Rema kufanya vizuri kwenye nyimbo zake hasa rekodi aliyoweka ya 1 billion streams za Spotify kupitia nyimbo ya Calm Down.
Sema mi naona kama wata wapoteza hivi, maana hai majamaa style ya mziki wa kiafrika huwa Wana ibadilisha.
 
Back
Top Bottom