Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi naona mnanichanganya tu na ma fizikia yenu sijui wave sijui nn.Ubuyu Ramadhan hii tunapumzika kidogo, nitawaletea habari tofauti.
Pole
hapa ni issue ya Ali Kiba tena?Bwana bwana Babu, Ali Kiba mambo yake si unayajua tena? Mwendo wa kobe!
eeenh bana!Weekend hii nilitingwa kidogo, nitawaletea habari motomoto soon.
Kwamba bado anajipanga tu?Bwana bwana Babu, Ali Kiba mambo yake si unayajua tena? Mwendo wa kobe!
Sio Kwamba ilikuwa mbinu ya Kusaga kuendelea kupiga hela za Mama?hapa ni issue ya Ali Kiba tena?
I thought Kusaga kaweka akili hapa Kiba kaweka jina tu ili waishinde Wasafi ili Clouds ibaki kinara, au ndo nishamix madesa?
mana mi naeee, umbea napenda ila fizikia na mambo ya media kavalej ndo utata
Ndio maana ya partnership, mmoja akiwa mzembe lazima mambo yaende kwa kuchelewa.hapa ni issue ya Ali Kiba tena?
I thought Kusaga kaweka akili hapa Kiba kaweka jina tu ili waishinde Wasafi ili Clouds ibaki kinara, au ndo nishamix madesa?
mana mi naeee, umbea napenda ila fizikia na mambo ya media kavalej ndo utata
Babu wewe ni genius, sikuwahi kuwaza huku mbali!Sio Kwamba ilikuwa mbinu ya Kusaga kuendelea kupiga hela za Mama?
Maana Uchaguzi ni Mwakani tu hivyo atapata fursa ya kupiga hela za Kampeni kupitia media zake zote 6 sasa
Thanks Mjukuu 🤗Babu wewe ni genius, sikuwahi kuwaza huku mbali!
Ama kweli penye wazee hapaharibiki jambo, umetisha Babu 👏🏽👏🏽
Sawa Mjukuu.....nime-subscribe Uzi huu kupata muendelezo wake 🤗Hata sielewi Babu, hebu ngoja nikicheki chanzo halafu nijue kulikoni kuchelewa huku?
Hata hapa umenifumbua mambo Babu, ingenichukua muda kugundua hili.Thanks Mjukuu 🤗
Ni vile nimezeeka sana saivi, vinginevyo ningekuletea draft ya vile hii michezo inafanyika
Hao media tycoons Wana play part kubwa sana during Election season
ah mi nikajua redio ina management, ina uongozi,ina watendaji na Kiba anaweza tu kuwa zake anakula zake Tambuu Tabata Mawenzi pale huku mambo yanaenda bam bam.Ndio maana ya partnership, mmoja akiwa mzembe lazima mambo yaende kwa kuchelewa.
Hii naongea tu bado sijapata uthibitisho nini hasa kinaendelea, ngoja nifuatilie nikipata habari nitakuja kuwaambia hapahapa.
Shukrani pia 🙏Hata hapa umenifumbua mambo Babu, ingenichukua muda kugundua hili.
Nashukuru sana.
Nakuelewa.Sio Kwamba ilikuwa mbinu ya Kusaga kuendelea kupiga hela za Mama?
Maana Uchaguzi ni Mwakani tu hivyo atapata fursa ya kupiga hela za Kampeni kupitia media zake zote 6 sasa
Unajua hii Nchi ukishakuwa na connection hakuna kinachoshindikana.Nakuelewa.
Lakiini sasa zote coverage zake ndo huku Daslam ambako ndo wataalam wa mambo ya wevs wamesema anazo frikwens zote.
Saaasa mbona dar sio wapiga kuraaa!
KuRA ZIKO KASUMBALESA huko, ama namna gani?
Wewe jamani nimechekaaaaa. LolsRedio ikizinduliwa si inabidi ianze hapo hapo?
Kusaga, the media mogul
Anaweza kufanya kweli hili kosa la kuweka fedha mahali ambako uzalishaji wake au uendeshaji wake unatakiwa utegemee Zabibu kama hajamuudhi kakake , kweli?