Wasafi Media na anguko la East Africa Radio

Ila zembwela kaniudhi kama alikuwa anataka nyongeza si angesema tu jamani
 
IPP kulinganisha na vitu vingine ni aibu kubwa sana,kimfumo unafuata sana maadili sio eti maarufu ndio urmtangazaji pale gamba lako sawa sio mala maarufu hawako hivyo kamwe.
 
aisee block 89 ni habari nyingine jamaa walianza slow ila sasa hivi ni moto
 
WASAFI wanaweza kununua watangazaji wote lakini hawawezi kununua wasilikizaji wote, mimi hata sioni sababu ya miluzi mingi kuwa imekuja kutingisha.
hivi huku mvomero wanapatikana masafa gani maana hii station naisikiliza tu hapa JF
 
Kwenye michezo kuna vichwa wamevichukua iringa ni hatari kina tigana lukinja ,EA radio ni kiwanda kile
 
Ivi ulichokiandika hata wewe mwenyewe ukiambiwa ukirudie kukikosoma utaelewa ulikuwa unamaanisha nini?
IPP kulinganisha na vitu vingine ni aibu kubwa sana,kimfumo unafuata sana maadili sio eti maarufu ndio urmtangazaji pale gamba lako sawa sio mala maarufu hawako hivyo kamwe.
 
Tangu nijue Wasafi wanaeneza sera za illuminat sina hamu hata ya kujua wanatangaza nini.
 
Akaondoka salama tukaona ohooooo....bwana akaja dullah tumesahau matatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…