Wasafi sound system iliwaangusha usiku wa mahaba ndi ndi ndi

Wasafi sound system iliwaangusha usiku wa mahaba ndi ndi ndi

Rebeca 83

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
15,136
Reaction score
32,268
1644997020306.png

Hello JF

Kila mtu ali anticipate itakua show kubwa....sijui kwa ajili ya promotion/uncertainity ya uchumba kati ya Zuchu na Diamond, tukabaki macho kodooo kusubiria hii show...

ilikua nzuri isipokua ilikua hamna mashamushamu....Mimi kwa upande wangu nadhani hawakuwa na sound system nzuri, Yaani hata microphones zenyewe sidhani kama waliokaa nyuma walikua wanasikia, Waandaaji next time mu-invest kwenye sound system,

Hizi ni kazi za watu proffessional, Event Engneer mmliyemuajiri,alikua VIZURI SANA kwenye lighting na mapambo, ila sound imemuangusha kwa kweli..... Next time mnaweza kufanya kazi on sound system,...

Mimi ndio nimeiona kasoro hio..wengine watachangia....
 
Hello JF

Kila mtu ali anticipate itakua show kubwa....sijui kwa ajili ya promotion/uncertainity ya uchumba kati ya Zuchu na Diamond, tukabaki macho kodooo kusubiria hii show...

ilikua nzuri isipokua ilikua hamna mashamushamu....

Mimi kwa upande wangu nadhani hawakuwa na sound system nzuri,

Yaani hata microphones zenyewe sidhani kama waliokaa nyuma walikua wanasikia,

Waandaaji next time mu-invest kwenye sound system,

hizi ni kazi za watu proffessional,

Event Engneer mmliyemuajiri,alikua VIZURI SANA kwenye lighting na mapambo, ila sound imemuangusha kwa kweli.....

Next time mnaweza kufanya kazi on sound system,...

Mimi ndio nimeiona kasoro hio..wengine watachangia....
Swala la sound ni tatizo sana Tanzania na watu hawawekezi kabisa kwenye sound zaidi ya kiki..mfano ukienda kuangalia ile show ya Dr Dre na Snop juzi kule Marekani aiseee ni lazima mtu atakubaliana na wewe wenzetu wamewekeza...kazi ya watanzania ni kununua spika tuu na vipaza sauti tuu.

Lakini tumekuwa tukiwasingizia sana masound engineer lakini tujiulize ile sauti ya zuchu na yale makelele yake na kukoroma kule kweli kulihiitaji saound engineer?

Wasanii wetu live wanaimba vibaya sana yani uwezi amini kama ni huyu aliyeimba wimbo unao tamba!

Mbona kuna wasanii waliimba vyema?

Mfano Q chillah,Kassim Mganga na Mboso? Kwani s

Kwa hiyo kabla ya kuanza kuuliza kuhusu sound engineer tujiulize tuna wasanii wa aina gani? Wanao uwezo wa kuimba live? Wemezoea?

Zuchu hii ni show yake ya pili jukwaa hili hili na anafunikwa na watu wa aina ile ile na ni wale wale.....
 
Tumekuwa tukiwasingizia sana masound engineer lakini tujiulize ile sauti ya zuchu na yale makelele yake na kukoroma kule kweli kulihiitaji saound engineer?

Wasanii wetu live wanaimba vibaya sana yani uwezi amini kama ni huyu aliyeimba wimbo unao tamba!

Mbona kuna wasanii waliimba vyema?

Mfano Q chillah,Kassim Mganga na Mboso? Kwani s

Kwa hiyo kabla ya kuanza kuuliza kuhusu sound engineer tujiulize tuna wasanii wa aina gani? Wanao uwezo wa kuimba live? Wemezoea?

Zuchu hii ni show yake ya pili jukwaa hili hili na anafunikwa na watu wa aina ile ile na ni wale wale.....

Mkuu sound engineer mzuri anafunika hata kama msanii anaimba vibaya.....lol
 
Hello JF

Kila mtu ali anticipate itakua show kubwa....sijui kwa ajili ya promotion/uncertainity ya uchumba kati ya Zuchu na Diamond, tukabaki macho kodooo kusubiria hii show...

ilikua nzuri isipokua ilikua hamna mashamushamu....

Mimi kwa upande wangu nadhani hawakuwa na sound system nzuri,

Yaani hata microphones zenyewe sidhani kama waliokaa nyuma walikua wanasikia,

Waandaaji next time mu-invest kwenye sound system,

hizi ni kazi za watu proffessional,

Event Engneer mmliyemuajiri,alikua VIZURI SANA kwenye lighting na mapambo, ila sound imemuangusha kwa kweli.....

Next time mnaweza kufanya kazi on sound system,...

Mimi ndio nimeiona kasoro hio..wengine watachangia....
Watu walikesheshwa mpaka majogoo wakisubiria engagement ya kufikirika huku wanapigwa pesa
Kweli nimeamini wabongo wanapenda umbea.. Wakome next time[emoji23]
 
Watu walikesheshwa mpaka majogoo wakisubiria engagement ya kufikirika huku wanapigwa pesa
Kweli nimeamini wabongo wanapenda umbea.. Wakome next time[emoji23]
Umbea kwetu wabongo damu damu😁😁😁😁🏃‍♀️, halafu nisikie mkitusema wanawake tunapenda umbea, wakati mmeona hata wanaume wanapenda umbea 😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom