Wasafi sound system iliwaangusha usiku wa mahaba ndi ndi ndi

Wasafi sound system iliwaangusha usiku wa mahaba ndi ndi ndi

Swala la sound ni tatizo sana Tanzania na watu hawawekezi kabisa kwenye sound zaidi ya kiki..mfano ukienda kuangalia ile show ya Dr Dre na Snop juzi kule Marekani aiseee ni lazima mtu atakubaliana na wewe wenzetu wamewekeza...kazi ya watanzania ni kununua spika tuu na vipaza sauti tuu
Lakini tumekuwa tukiwasingizia sana masound engineer lakini tujiulize ile sauti ya zuchu na yale makelele yake na kukoroma kule kweli kulihiitaji saound engineer?

Wasanii wetu live wanaimba vibaya sana yani uwezi amini kama ni huyu aliyeimba wimbo unao tamba!

Mbona kuna wasanii waliimba vyema?

Mfano Q chillah,Kassim Mganga na Mboso? Kwani s

Kwa hiyo kabla ya kuanza kuuliza kuhusu sound engineer tujiulize tuna wasanii wa aina gani? Wanao uwezo wa kuimba live? Wemezoea?

Zuchu hii ni show yake ya pili jukwaa hili hili na anafunikwa na watu wa aina ile ile na ni wale wale.....
Mkuu upande wa waimbaji na waandaaji wa nyimbo za injili wako vizuri katika sound za live.

Nenda youtube tafuta wimbo unaitwa NDIO wa Rehema Semfukwe. Urudu kutoa ushuhuda hapa.

Event ilikuwa live na uone watu kazi wanazofanya.


Pia angalia Shangilia by Essence of Worship

Zote hizi zimefanyika Tanzania tena mwaka 2021. Ukihitaji hata za nyuma zaidi naweza kukutajia.

Angalia rudi kutupa mrejesho wa ubora wa kazi.
 
Ukiachana tamasha la Tusker lilo fanyikaga leaders, hakujawahi kutokea show ambayo ilifanya vizuri upande wa Sound.

Kuna baadhi ya vitu tuna vichukulia poa ila bongo hamna Masound Engineer waliobobea.
Show ya Fally Ipupa chini ya Club E pale ukunbi wa sinema karibu na kituo cha daladala ITV miaka kadhaa ilopita ile sound ilikua safi sana
 
Mkuu upande wa waimbaji na waandaaji wa nyimbo za injili wako vizuri katika sound za live.

Nenda youtube tafuta wimbo unaitwa NDIO wa Rehema Semfukwe. Urudu kutoa ushuhuda hapa.

Event ilikuwa live na uone watu kazi wanazofanya.


Pia angalia Shangilia by Essence of Worship

Zote hizi zimefanyika Tanzania tena mwaka 2021. Ukihitaji hata za nyuma zaidi naweza kukutajia.

Angalia rudi kutupa mrejesho wa ubora wa kazi.
Ni kweli kabisa. Mimi niliwahi kuwaangalia hao essence of worship ila sio wimbo huo kama sikosei unaitwa nikujue au nikuabudu, wako vizuri sana.
 
Hakunaga kitu kinachonikera kama msanii kuimba kwa lisauti libaya

Nasema hv tatzo sio sound system,ni msanii
 
Back
Top Bottom