cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman Nape aliniudhi kwenye mavazi, yaan hakua anajua avae nn? KhaaaaahHata Nape Alifanya Yake Kwa Kweli [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman Nape aliniudhi kwenye mavazi, yaan hakua anajua avae nn? KhaaaaahHata Nape Alifanya Yake Kwa Kweli [emoji23]
Unajua kwenye event za wenzetu huwa utasikia wanawashukuru sound engineers, electrical engineers.. technical directors n.kHello JF
Kila mtu ali anticipate itakua show kubwa....sijui kwa ajili ya promotion/uncertainity ya uchumba kati ya Zuchu na Diamond, tukabaki macho kodooo kusubiria hii show...
ilikua nzuri isipokua ilikua hamna mashamushamu....
Mimi kwa upande wangu nadhani hawakuwa na sound system nzuri,
Yaani hata microphones zenyewe sidhani kama waliokaa nyuma walikua wanasikia,
Waandaaji next time mu-invest kwenye sound system,
hizi ni kazi za watu proffessional,
Event Engneer mmliyemuajiri,alikua VIZURI SANA kwenye lighting na mapambo, ila sound imemuangusha kwa kweli.....
Next time mnaweza kufanya kazi on sound system,...
Mimi ndio nimeiona kasoro hio..wengine watachangia....
wapo ila wamejikita kwenye gospel...nenda events za LIVE za gospel ndiyo utaelewa wapoUkiachana tamasha la Tusker lilo fanyikaga leaders, hakujawahi kutokea show ambayo ilifanya vizuri upande wa Sound.
Kuna baadhi ya vitu tuna vichukulia poa ila bongo hamna Masound Engineer waliobobea.
Unajua kwenye event za wenzetu huwa utasikia wanawashukuru sound engineers, electrical engineers.. technical directors n.k
Sasa hawa jamaa nahisi walimchukua sound engineer wa vigodoro aje kufunga mziki kwenye show Yao[emoji23][emoji23][emoji23]
Haiwezekani hata Mic za back vocal hazikuwa balanced wala nin.. na watu wamelipa pesa zao, vitu kama hivi vinafanya mziki wetu udharauliwe aisee.
Upande wa mapambo walikuwa vizuri.. Ila kwenye sound wamezingua kuna back vocal mmoja alivyoona anasikika na sauti lake kama chura akawa anakomaa mpaka Zuchu hasikiki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
pamoja na weweWatanzania wengi hasa vijana ni watu wa hovyo sana.
Upande wa sound quality ni ile ile.wapo ila wamejikita kwenye gospel...nenda events za LIVE za gospel ndiyo utaelewa wapo
Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
Na ww acha chuki binafsi, huwezi kuwa unajua mziki na ukasema zuchu ni mwimbaji mbayaHapana mtu akiwa muimbaji mbaya ni mbaya tuu...
Na ww acha chuki binafsi, huwezi kuwa unajua mziki na ukasema zuchu ni mwimbaji mbaya
Sasa huo wa injili watu hawatoi pesa.. lakini unapata kitu quality, hawa jamaa wanafeli wapi?..Mkuu kwenye muziki wa injili ni level nyingine kabisa ni kweli pengine uko ndiko kuna wataalam wengi sana hiyo ya Semfukwe nimeshawai kuangalia na pia ule wimbo wa chanzo ..ni hatari na nusu lakini lazima tukubali hawa waimbaji wa injili wanaujua vizuri muziki wa live maana unapata thamani ya show kweli kweli....
Sasa huo wa injili watu hawatoi pesa.. lakini unapata kitu quality, hawa jamaa wanafeli wapi?..
Kwakweli upande wetu gospel tuko vzr[emoji126][emoji126]Mkuu upande wa waimbaji na waandaaji wa nyimbo za injili wako vizuri katika sound za live.
Nenda youtube tafuta wimbo unaitwa NDIO wa Rehema Semfukwe. Urudu kutoa ushuhuda hapa.
Event ilikuwa live na uone watu kazi wanazofanya.
Pia angalia Shangilia by Essence of Worship
Zote hizi zimefanyika Tanzania tena mwaka 2021. Ukihitaji hata za nyuma zaidi naweza kukutajia.
Angalia rudi kutupa mrejesho wa ubora wa kazi.
Kwan zikimuua na ww utakufa au?was was wako ni nin!!Stress zitakuua
Mnaongozwa na roho wa bwana🕊️🕊️Kwakweli upande wetu gospel tuko vzr[emoji126][emoji126]
Ni kweli kabisa
Hello JF
Kila mtu ali anticipate itakua show kubwa....sijui kwa ajili ya promotion/uncertainity ya uchumba kati ya Zuchu na Diamond, tukabaki macho kodooo kusubiria hii show...
ilikua nzuri isipokua ilikua hamna mashamushamu....Mimi kwa upande wangu nadhani hawakuwa na sound system nzuri, Yaani hata microphones zenyewe sidhani kama waliokaa nyuma walikua wanasikia, Waandaaji next time mu-invest kwenye sound system,
Hizi ni kazi za watu proffessional, Event Engneer mmliyemuajiri,alikua VIZURI SANA kwenye lighting na mapambo, ila sound imemuangusha kwa kweli..... Next time mnaweza kufanya kazi on sound system,...
Mimi ndio nimeiona kasoro hio..wengine watachangia....