Kuna yule wa kura moja mtu mzima nilishangazwa na ushabiki maandazi kwa umri ule kukaa kujadili engagement sijui ngachoka mwehWatu walikesheshwa mpaka majogoo wakisubiria engagement ya kufikirika huku wanapigwa pesa
Kweli nimeamini wabongo wanapenda umbea.. Wakome next time[emoji23]
Aliyah kahama wasafi au maana naona anaipatiaga red carpet sanaKilichonikera ni Amy Gal kuwa kwenye red carpet na sauti Lake la kupayuka payuka sijui walikosa watu. Kwa kifupi pengo la Aliyah lilionekana wazi
Haya yanaitwa mahaba mjukuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] show mbovu tyuuh. Ila kassim Mganga alifanya maajabu uwiiiiih.
Mkuu show ipi ya Dr. Dre "SMOKE TOUR" au?Ile ni shoo mama show ni ile ya Dr Dre
Mkuu upande wa waimbaji na waandaaji wa nyimbo za injili wako vizuri katika sound za live.Swala la sound ni tatizo sana Tanzania na watu hawawekezi kabisa kwenye sound zaidi ya kiki..mfano ukienda kuangalia ile show ya Dr Dre na Snop juzi kule Marekani aiseee ni lazima mtu atakubaliana na wewe wenzetu wamewekeza...kazi ya watanzania ni kununua spika tuu na vipaza sauti tuu
Lakini tumekuwa tukiwasingizia sana masound engineer lakini tujiulize ile sauti ya zuchu na yale makelele yake na kukoroma kule kweli kulihiitaji saound engineer?
Wasanii wetu live wanaimba vibaya sana yani uwezi amini kama ni huyu aliyeimba wimbo unao tamba!
Mbona kuna wasanii waliimba vyema?
Mfano Q chillah,Kassim Mganga na Mboso? Kwani s
Kwa hiyo kabla ya kuanza kuuliza kuhusu sound engineer tujiulize tuna wasanii wa aina gani? Wanao uwezo wa kuimba live? Wemezoea?
Zuchu hii ni show yake ya pili jukwaa hili hili na anafunikwa na watu wa aina ile ile na ni wale wale.....
Hata Nape Alifanya Yake Kwa Kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] show mbovu tyuuh. Ila kassim Mganga alifanya maajabu uwiiiiih.
Show ya Fally Ipupa chini ya Club E pale ukunbi wa sinema karibu na kituo cha daladala ITV miaka kadhaa ilopita ile sound ilikua safi sanaUkiachana tamasha la Tusker lilo fanyikaga leaders, hakujawahi kutokea show ambayo ilifanya vizuri upande wa Sound.
Kuna baadhi ya vitu tuna vichukulia poa ila bongo hamna Masound Engineer waliobobea.
HALFTIME SHOW YA NFL CHINI YA UDHAMINI WA PESPI. Ilikiwa bonge la ShowMkuu show ipi ya Dr. Dre "SMOKE TOUR" au?
Huko mbali angalia show wanazofanya wabongo Kenya utaona utofauti mkubwa sana.HALFTIME SHOW YA NFL CHINI YA UDHAMINI WA PESPI. Ilikiwa bonge la Show
Ni kweli kabisa. Mimi niliwahi kuwaangalia hao essence of worship ila sio wimbo huo kama sikosei unaitwa nikujue au nikuabudu, wako vizuri sana.Mkuu upande wa waimbaji na waandaaji wa nyimbo za injili wako vizuri katika sound za live.
Nenda youtube tafuta wimbo unaitwa NDIO wa Rehema Semfukwe. Urudu kutoa ushuhuda hapa.
Event ilikuwa live na uone watu kazi wanazofanya.
Pia angalia Shangilia by Essence of Worship
Zote hizi zimefanyika Tanzania tena mwaka 2021. Ukihitaji hata za nyuma zaidi naweza kukutajia.
Angalia rudi kutupa mrejesho wa ubora wa kazi.
Imeizidi Smoke tour ya 2001?HALFTIME SHOW YA NFL CHINI YA UDHAMINI WA PESPI. Ilikiwa bonge la Show
Wapi nimejipendekeza. Wewe umeweka post ipo public unataka pia unipangie nini cha kupost. Ni block basi..halafu sikupendagi...usijipendekeze na hii ID
Wapi?Kwendaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuuuh wee hukuona? Kassim Mganga alitisha mno.Haya yanaitwa mahaba mjukuu