Kie kimekuhisha sasaChukua time huko
Kumbe ni deal na Kiki🤣🤣Watu walikesheshwa mpaka majogoo wakisubiria engagement ya kufikirika huku wanapigwa pesa
Kweli nimeamini wabongo wanapenda umbea.. Wakome next time[emoji23]
Kie kimekuisha sasakwendaaa...
Kenya wanavyo vyuo hivyoIngependeza kama tungekua na hivyo vyuo, vijana wengi wangejiajiri ila ndio basi
Pakawa [emoji23] imenichukua sekunde nyingi kukuelewa... P naye aliingizwa cha kike
Kie kimekuisha sasana kikiniisha inakuhusu nini
Kasikilize Ndio ya Neema SimfukweWanawekeza kwenye kick badala ya muziki