Huyo ndiye mke wa Kusaga aitwae Juhayna Zaghalulu Ajmy anayemiliki 53% ya hisa za Wasafi.tatizo mnafuata sana (udaku),yaani mkisikia mange kimambi amesema na nyie mnatega masikiao[emoji23][emoji23][emoji23],WASAFITV ni ya DIAMOND PLATINUMZ THE KING OF TANZANIA MUSIC, nimeandika kwa herufi kubwa ili USIRUDIE pumba zako.
Hakika.[emoji23][emoji23][emoji23] sasa unapataje nguvu ya kumbishia (KIGOMA INDEPENDENT) ambaye nipo WASAFI HQ[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa esmapoa nandy machupi[emoji3514]
sasa kwani Mimi nikisema kuwa diamond platinumz anamiliki hisa 57% nimekosea[emoji1787][emoji1787][emoji1787],mfuate mange kimambi wako NO WASAFIMEDIA NO DIAMOND PLATINUMZ.Huyo ndiye mke wa Kusaga aitwae Juhayna Zaghalulu Ajmy anayemiliki 53% ya hisa za Wasafi.
Hebu wewe tutajie hapa Diamond anamiliki % ngapi ya hisa hapo wasafi na sisi tuweke walichokisema TCRA khs wamiliki wa wasafi.
Msalimie Dada ako Mange.View attachment 1633736
57% unadhani ni maji hayo?sasa kwani Mimi nikisema kuwa diamond platinumz anamiliki hisa 57% nimekosea[emoji1787][emoji1787][emoji1787],mfuate mange kimambi wako NO WASAFIMEDIA NO DIAMOND PLATINUMZ.
Tigo wao wana angalia biashara,wanagalia wapi wakiweka brand yao itaonekana na wengi,hawanaga team bali wanapo angalia Number ndipo wanaweka mzigo wao.Habari Wana jamvi;
Kwa mwendo huu wa WASAFITV kuruhusiwa kuonyeshwa bure kwenye kisembuzi Cha AZAMTV ni ukomavu na ukuaji mkubwa wa tasinia ya taarifa ya habari nchini.
Pia imedhihirisha ni kwa namna gani DIAMOND pamoja na WASAFI ni mahodari na wabobezi kwenye nyanja ya habari sana.
TIGO wameisaliti CLOUDSTV na kukimbilia WASAFITV,hii inamaanisha kuwa WASAFITV ndo inakuja kuleta mapinduzi mapya,yenye misingi ,tija na manufaa kwa wanamziki/wasanii kwa ujumla nchini Tanzania.
Hiki kitendo Cha TIGO kinaonyesha kuwa CLOUDSTV imeisha kufa na imebakiwa kuzikwa,na kwa Sasa habari ya mjini ni WASAFITV.
S/O kwa Diamond platinumz the G.O.A.T pamoja na chuma Cha WCB na WASAFITV kwa ujumla.
THE RISE OF WASAFITV and THE FALL OF CLOUDSTV.
Nahisi clouds ni ya family ya kusaga ila kule wasafi Kusaga na Mkewe wanatengeneza empire yao in case Joe hayupo, Sheba kusaga asimzingue wifi yake na watoto.
Kakimbia.57% unadhani ni maji hayo?
Mtu unaweza bishana mpk na TCRA.?
Ukimaliza hapo Google huyo Juhayna Zaghalulu Ajmy ni nani.View attachment 1633749View attachment 1633750
Itawachukua miaka 100 hao wachafu kuikuta clouds media groupNiseme uongo hapa.. katika swala la ubunifu clouds wako mbali Sana... Wasafi wanajua na ndo maana Mambo yao yote wanataka kuwa sawa na clouds medias
sawa zabibu kiba[emoji23][emoji23][emoji23]Sawa esma
Ha ha ha ha ha msamehe mkuu, huenda ni robot wameliprogram hivyoHebu na wewe usituchoshe na hii taka-taka yako hapa, kila thread unatuwekea huu ujinga..!
kwa diamond platinumz nikama maji sawa dogo, mbona hakuna seal ya TCRA...?57% unadhani ni maji hayo?
Mtu unaweza bishana mpk na TCRA.?
Ukimaliza hapo Google huyo Juhayna Zaghalulu Ajmy ni nani.View attachment 1633749View attachment 1633750
alafu kuna n'gombe hazijausoma mchezo.
Sawa Tanashasawa zabibu kiba[emoji23][emoji23][emoji23]
fact for now WASAFITV NI NUMBER 1Tigo wao wana angalia biashara,wanagalia wapi wakiweka brand yao itaonekana na wengi,hawanaga team bali wanapo angalia Number ndipo wanaweka mzigo wao.
how sure are you...? maana hamtaki kukubali kuwa Diamond platinumz anamiliki WASAFIMEDIANahisi clouds ni ya family ya kusaga ila kule wasafi Kusaga na Mkewe wanatengeneza empire yao in case Joe hayupo, Sheba kusaga asimzingue wifi yake na watoto.
go and sleep(hit and run)Hide and seek.