Wasafi TV imezipiga bao TV zote nchini, Tumewasha Tigo Tour na anguko la Tigo Fiesta

Wasafi TV imezipiga bao TV zote nchini, Tumewasha Tigo Tour na anguko la Tigo Fiesta

tatizo mnafuata sana (udaku),yaani mkisikia mange kimambi amesema na nyie mnatega masikiao[emoji23][emoji23][emoji23],WASAFITV ni ya DIAMOND PLATINUMZ THE KING OF TANZANIA MUSIC, nimeandika kwa herufi kubwa ili USIRUDIE pumba zako.
Huyo ndiye mke wa Kusaga aitwae Juhayna Zaghalulu Ajmy anayemiliki 53% ya hisa za Wasafi.

Hebu wewe tutajie hapa Diamond anamiliki % ngapi ya hisa hapo wasafi na sisi tuweke walichokisema TCRA khs wamiliki wa wasafi.

Msalimie Dada ako Mange.
Screenshot_2020-11-24-14-20-56-1.jpg
 
Huyo ndiye mke wa Kusaga aitwae Juhayna Zaghalulu Ajmy anayemiliki 53% ya hisa za Wasafi.

Hebu wewe tutajie hapa Diamond anamiliki % ngapi ya hisa hapo wasafi na sisi tuweke walichokisema TCRA khs wamiliki wa wasafi.

Msalimie Dada ako Mange.View attachment 1633736
sasa kwani Mimi nikisema kuwa diamond platinumz anamiliki hisa 57% nimekosea[emoji1787][emoji1787][emoji1787],mfuate mange kimambi wako NO WASAFIMEDIA NO DIAMOND PLATINUMZ.
 
Habari Wana jamvi;

Kwa mwendo huu wa WASAFITV kuruhusiwa kuonyeshwa bure kwenye kisembuzi Cha AZAMTV ni ukomavu na ukuaji mkubwa wa tasinia ya taarifa ya habari nchini.

Pia imedhihirisha ni kwa namna gani DIAMOND pamoja na WASAFI ni mahodari na wabobezi kwenye nyanja ya habari sana.

TIGO wameisaliti CLOUDSTV na kukimbilia WASAFITV,hii inamaanisha kuwa WASAFITV ndo inakuja kuleta mapinduzi mapya,yenye misingi ,tija na manufaa kwa wanamziki/wasanii kwa ujumla nchini Tanzania.

Hiki kitendo Cha TIGO kinaonyesha kuwa CLOUDSTV imeisha kufa na imebakiwa kuzikwa,na kwa Sasa habari ya mjini ni WASAFITV.

S/O kwa Diamond platinumz the G.O.A.T pamoja na chuma Cha WCB na WASAFITV kwa ujumla.

THE RISE OF WASAFITV and THE FALL OF CLOUDSTV.
Tigo wao wana angalia biashara,wanagalia wapi wakiweka brand yao itaonekana na wengi,hawanaga team bali wanapo angalia Number ndipo wanaweka mzigo wao.
 
Niseme uongo hapa.. katika swala la ubunifu clouds wako mbali Sana... Wasafi wanajua na ndo maana Mambo yao yote wanataka kuwa sawa na clouds medias
Itawachukua miaka 100 hao wachafu kuikuta clouds media group
 
Nahisi clouds ni ya family ya kusaga ila kule wasafi Kusaga na Mkewe wanatengeneza empire yao in case Joe hayupo, Sheba kusaga asimzingue wifi yake na watoto.
how sure are you...? maana hamtaki kukubali kuwa Diamond platinumz anamiliki WASAFIMEDIA
 
Back
Top Bottom