Wasafi TV imezipiga bao TV zote nchini, Tumewasha Tigo Tour na anguko la Tigo Fiesta

Kwahio Kusaga ataua biashara yake 1 na kuinua biashara yake 1 nyingine sio?
Biashara huui mwenyewe bro! Au huui kwa kupenda!!
Upepo unaelekea Wasafi media kwa sasa na hii sio kwa amri yake ni Mungu tu!

So endapo Wasafi inafanikiwa na Clouds inafifia hatusemi kuwa Joe ndie anaua moja na kukuza nyingine!
Kubali kuwa Mondi ni nyota ing'aayo mno wakati huu hivyo kama Jose katia hela Wasafi "kama unavyofosi" hiyo haibadilishi kuwa Mondi ni nouma!! Mondi ni amefanikiwa sana kama kijana mdogo kabisa!!
 
Naona hii itakuwa imechochewa na kuondoka Duniani kwa bwana Rugemalira mutahaba
 
Daah kweli aisee,Kusaga ni hatari sana arifu
 
Boss ni yule mwenye 43% na ambae ana-fall kwny NCI(Non-controlling Interest),hahah.
 
"Hata hivyo asilimia za hisa anazozidiwa diamond na huyo mke wa kusaga hazizidi hata 10%.

Hahah hesabu za hisa zingekua hovyo hivi mambo yangekua rahisi sana,ukute haujui hata maana ya mtu kumiliki hisa 51%+
 
tatizo mnafuata sana (udaku),yaani mkisikia mange kimambi amesema na nyie mnatega masikiao[emoji23][emoji23][emoji23],WASAFITV ni ya DIAMOND PLATINUMZ THE KING OF TANZANIA MUSIC, nimeandika kwa herufi kubwa ili USIRUDIE pumba zako.
King of porno labda
 
Daaah hizo 43% ni nyingi sana mimi nlijua anamiliki chini ya hapo,halafu kuna mwingine anamiliki 2%...pia naona kuna 2% haijawekwa hapo ili ziwe 100% hisa zote
Kuna jamaa anaitwa Ali Katibu Dai ndio anamiliki hizo 2%.
 
Hata angemiliki 1% ni mwanahisa,kwahiyo 47% ya nani kama jose anamiliki 53%
Ungejua maana ya Controlling Interest(CI) vs Non Controlling Interest(NCI) ungejua ni kwanini wababe hua wanakimbilia kumiliki 51%+ na sio chini ya hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…