Hujui biashara wewe.Kiufupi hela bila brand ya Wasafi hakuna mafanikio yoyote. Hizo hisa 10% anazozidiwa diamond haziwezi lingana na brand ya WASAFI ambayo kimsingi ndio uti wa mgongo wa hiyo media.Ndiomaana Mond ataendelea kuonekana mkubwa, kuliko hao walioweka fedha nyingi."Hata hivyo asilimia za hisa anazozidiwa diamond na huyo mke wa kusaga hazizidi hata 10%.
Hahah hesabu za hisa zingekua hovyo hivi mambo yangekua rahisi sana,ukute haujui hata maana ya mtu kumiliki hisa 51%+
Hakika ni yeyeeeeeeeeeeeeeeee.huyo mke wakusaga anahisa wasafi tv tuu lakin wasafi media (tv na radio) mwenye hisa nying ni diamond
Huyu ndo wameanza naye maisha au ni juu kwa juu tu?Huyo ndiye mke wa Kusaga aitwae Juhayna Zaghalulu Ajmy anayemiliki 53% ya hisa za Wasafi.
Hebu wewe tutajie hapa Diamond anamiliki % ngapi ya hisa hapo wasafi na sisi tuweke walichokisema TCRA khs wamiliki wa wasafi.
Msalimie Dada ako Mange.View attachment 1633736
Wewe kweli takataka 57+53 unapata ngap apo? Acha kukaza fuvu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa kwani Mimi nikisema kuwa diamond platinumz anamiliki hisa 57% nimekosea[emoji1787][emoji1787][emoji1787],mfuate mange kimambi wako NO WASAFIMEDIA NO DIAMOND PLATINUMZ.
Hakuna namna, wasubirie tu Redio ya mmakonde mwenzao😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] itawaburudisha wana chitoholi
Ni kwa juujuu tu mkuu,kiufupi ni Kwamba utajiri alionao huyo mwanamama hautegemei kabisa uwepo wa kusaga.Kusaga kamkuta na hela zake.Huyu ndo wameanza naye maisha au ni juu kwa juu tu?
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
True mkuu..JF ni moja ya mitandao ambao watu wanatumia low reasoning, na wengi hawataki kujifunza wasilolijua.
Kuna mitandao ya nje unashangaa jinsi watu wanavyoheshimu taaluma, wana argue kwa kujifunza.
Sisi ni full upopoma.
Waambie waazishe KUSAGA FM tuone watafika wapi,kama pesa ni kila kitu😂,maana hata hiyo Clouds kufika hapo ni akili za Ruge.'Unachoshindwa kujua brand ndo kila kitu kuliko hizo hisa'
Hahah unajua maana ya Controlling Interest lkn?
Hujui biashara wewe.Kiufupi hela bila brand ya Wasafi hakuna mafanikio yoyote. Hizo hisa 10% anazozidiwa diamond haziwezi lingana na brand ya WASAFI ambayo kimsingi ndio uti wa mgongo wa hiyo media.Ndiomaana Mond ataendelea kuonekana mkubwa, kuliko hao walioweka fedha nyingi.
NB:Huwezi elewa kama hauna ujuzi wowote wa kibiashara
😂😂😂tuseme ni mkeo Basi Tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kusaga alisema walidumu nae kwny uchumba for 10 yrs then ndio ndoa ikafuata,so hapo ni tangu Kusaga anapiga music kwny ma-disco mpk amefikia hapo alipo.Huyu ndo wameanza naye maisha au ni juu kwa juu tu?
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hazimilikiwi na Kusaga, hata akifa leo, Wasafi haitotajwa kama sehemu ya mali alizoacha dunian53% ya hisa za wasafi unajua zinamilikiwa na nani?
Nimekupuuza rasimi Kwakua,huna lolote unalolijua kuhusu biashara, na elimu yako ni ya kwenye makaratasi na haijakusaidia chochote.'Hizo hisa 10% anazozidiwa diamond haziwezi lingana na brand ya WASAFI'.
Kwa hio kwny Balance Sheet ya Wasafi, brand(Asset) imekua valued ni Sh. Ngapi?hahah kukimbia shule shida zake ndio kama hivi sasa.
Hakika wala hujakosea,hata ITV kufika pale ni akili za Joyce Mhaville.,hahah.Waambie waazishe KUSAGA FM tuone watafika wapi,kama pesa ni kila kitu[emoji23],maana hata hiyo Clouds kufika hapo ni akili za Ruge.
Nakubali zinamilikiwa na Mchungaji Gwajima na ufufuo na uzima.Hazimilikiwi na Kusaga, hata akifa leo, Wasafi haitotajwa kama sehemu ya mali alizoacha dunian
Hamilik hisa za Wasafi, anamilik hisa za Wasafi TV.. key point, "TV"Huyo ndiye mke wa Kusaga aitwae Juhayna Zaghalulu Ajmy anayemiliki 53% ya hisa za Wasafi.
Hebu wewe tutajie hapa Diamond anamiliki % ngapi ya hisa hapo wasafi na sisi tuweke walichokisema TCRA khs wamiliki wa wasafi.
Msalimie Dada ako Mange.View attachment 1633736
Unataka kutudanganya kwamba utajiri wa huyo mama ni wa KUSAGA au🤔?KUSAGA kamkuta huyo mama akiwa na utajiri.Kusaga alisema walidumu nae kwny uchumba for 10 yrs then ndio ndoa ikafuata,so hapo ni tangu Kusaga anapiga music kwny ma-disco mpk amefikia hapo alipo.
Si kweliAna hisa hazivuki hata 30% mke wa kusaga ndio ana zaidi ya hisa 50%
Nenda BRELA kujua wamilki wa WASAFI.
Heleweki kabisa😂😂.Anyway Clouds ndo hiyo,imeshamshinda kusaga.Hakika wala hujakosea,hata ITV kufika pale ni akili za Joyce Mhaville.,hahah.
Soon itabidi aanzishe Mhaville Media,hahah.