Wasafi TV imezipiga bao TV zote nchini, Tumewasha Tigo Tour na anguko la Tigo Fiesta

Wasafi TV imezipiga bao TV zote nchini, Tumewasha Tigo Tour na anguko la Tigo Fiesta

"Hata hivyo asilimia za hisa anazozidiwa diamond na huyo mke wa kusaga hazizidi hata 10%.

Hahah hesabu za hisa zingekua hovyo hivi mambo yangekua rahisi sana,ukute haujui hata maana ya mtu kumiliki hisa 51%+
Hujui biashara wewe.Kiufupi hela bila brand ya Wasafi hakuna mafanikio yoyote. Hizo hisa 10% anazozidiwa diamond haziwezi lingana na brand ya WASAFI ambayo kimsingi ndio uti wa mgongo wa hiyo media.Ndiomaana Mond ataendelea kuonekana mkubwa, kuliko hao walioweka fedha nyingi.

NB:Huwezi elewa kama hauna ujuzi wowote wa kibiashara
 
Huyo ndiye mke wa Kusaga aitwae Juhayna Zaghalulu Ajmy anayemiliki 53% ya hisa za Wasafi.

Hebu wewe tutajie hapa Diamond anamiliki % ngapi ya hisa hapo wasafi na sisi tuweke walichokisema TCRA khs wamiliki wa wasafi.

Msalimie Dada ako Mange.View attachment 1633736
Huyu ndo wameanza naye maisha au ni juu kwa juu tu?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hujui biashara wewe.Kiufupi hela bila brand ya Wasafi hakuna mafanikio yoyote. Hizo hisa 10% anazozidiwa diamond haziwezi lingana na brand ya WASAFI ambayo kimsingi ndio uti wa mgongo wa hiyo media.Ndiomaana Mond ataendelea kuonekana mkubwa, kuliko hao walioweka fedha nyingi.

NB:Huwezi elewa kama hauna ujuzi wowote wa kibiashara

'Hizo hisa 10% anazozidiwa diamond haziwezi lingana na brand ya WASAFI'.

Kwa hio kwny Balance Sheet ya Wasafi, brand(Asset) imekua valued ni Sh. Ngapi?hahah kukimbia shule shida zake ndio kama hivi sasa.
 
'Hizo hisa 10% anazozidiwa diamond haziwezi lingana na brand ya WASAFI'.

Kwa hio kwny Balance Sheet ya Wasafi, brand(Asset) imekua valued ni Sh. Ngapi?hahah kukimbia shule shida zake ndio kama hivi sasa.
Nimekupuuza rasimi Kwakua,huna lolote unalolijua kuhusu biashara, na elimu yako ni ya kwenye makaratasi na haijakusaidia chochote.

Ninachokiona kwako ni maumivu ya roho baada ya Togo fiesta kufail, na Sasa inatafuta sababu za kuishabikia WASAFI MEDIA, kwa kujifariji kwamba mmiliki wa Clouds ndo yuleyule wa WASAFI MEDIA.

DIAMOND ATAWAPASUA VIFUA😂😂
 
Waambie waazishe KUSAGA FM tuone watafika wapi,kama pesa ni kila kitu[emoji23],maana hata hiyo Clouds kufika hapo ni akili za Ruge.
Hakika wala hujakosea,hata ITV kufika pale ni akili za Joyce Mhaville.,hahah.

Soon itabidi aanzishe Mhaville Media,hahah.
 
Huyo ndiye mke wa Kusaga aitwae Juhayna Zaghalulu Ajmy anayemiliki 53% ya hisa za Wasafi.

Hebu wewe tutajie hapa Diamond anamiliki % ngapi ya hisa hapo wasafi na sisi tuweke walichokisema TCRA khs wamiliki wa wasafi.

Msalimie Dada ako Mange.View attachment 1633736
Hamilik hisa za Wasafi, anamilik hisa za Wasafi TV.. key point, "TV"
 
Kusaga alisema walidumu nae kwny uchumba for 10 yrs then ndio ndoa ikafuata,so hapo ni tangu Kusaga anapiga music kwny ma-disco mpk amefikia hapo alipo.
Unataka kutudanganya kwamba utajiri wa huyo mama ni wa KUSAGA au🤔?KUSAGA kamkuta huyo mama akiwa na utajiri.
 
Back
Top Bottom