Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heee!!kipindi ambacho kiko live mtu ametamka tusi unalikataje hapo?ingekuwa ni recorded sawa, huwa kuna namna wanalizuia lisisikike!!kwa hiyo unataka sema hakuna namna [emoji848][emoji848]
hata yule mtangazani hakushituka yaaan kama neno la kawaida halafu kama wapo peke yao vileHeee!!kipindi ambacho kiko live mtu ametamka tusi unalikataje hapo?ingekuwa ni recorded sawa, huwa kuna namna wanalizuia lisisikike!!
Kwa live hakuna namna!!mala nyingi huwa ni mtangazaji kuomba radhi hapo hapo, na kumueleza mzunguzaji atumie lugha yenye staha!!lakini hapo tayari kombola lilishatua!!
Radio Tanzania wapo tangu miaka ya 60, wanaenda live na hawajawahi kufanya huu ujinga.Sasa kipindi kama kiko live, ulitegemea wangefanya nini? Kulizuia?!!
Yaani hapa kama mpo sebuleni na Watoto na Wageni wako wa heshima mnaangalia unaweza ukashtuka ukapiga meza ya chakula teke.
WASAFI ni team CCM au CDM? 😳Ukiwa mfuatiliaji mzuri utagundua kuwa wasafi tv ni mojawapo ya vituo ambavyo vinaongoza kufungiwa au kupewa maonyo na TCRA.
Hawa jamaa huwa hawazingatii kabisa misingi ya urushaji matangazo na ndiyo maana maonyo yamekuwa mengi sana.
Nina imani kama kusingekuwa na watu wazito kwenye hii TV basi ingeshafungiwaga muda tu.
Hawa watangazaji wana weledi kweli wakufanya hii kazi??View attachment 2080992
CCMkusaga ni team gan[emoji848][emoji848]
Mara ya mwisho ulisikia lini EATV/Radio wamefungiwa au kupigwa fine na Tcra?Heee!!kipindi ambacho kiko live mtu ametamka tusi unalikataje hapo?ingekuwa ni recorded sawa, huwa kuna namna wanalizuia lisisikike!!
Kwa live hakuna namna!!mala nyingi huwa ni mtangazaji kuomba radhi hapo hapo, na kumueleza mzunguzaji atumie lugha yenye staha!!lakini hapo tayari kombola lilishatua!!
Na Radio 1 kwny private radios usiisahau, miaka mingi iko na haijawahi kufungiwa.Radio Tanzania wapo tangu miaka ya 60, wanaenda live na hawajawahi kufanya huu ujinga.
Sasa hawa wa juzi sioni hata wanahitaji kujitetea na kuaminiwa...waadhibiwe tu, na tena kama inawezekana wazuiliwe vipindi kuruka live.
Yaani hapa kama mpo sebuleni na Watoto na Wageni wako wa heshima mnaangalia unaweza ukashtuka ukapiga meza ya chakula teke.
Aiseeeeee
Mbona haifunguki kwangu?[emoji125][emoji125][emoji125]
View attachment 2081511
Tumia browser mkuuMbona haifunguki kwangu?
Doooh sina mkuu,,nna App tu,,kwan iyo n video au??Tumia browser mkuu