joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
TCRA wamechemka.WTF!!
What was she trying to say?!
Ila kilichonishangaza ni kusikia hiki kipindi kilirushwa March 2021... TCRA walikuwa wapi muda wote huu?! Au walikuwa kwenye COVID-19 Break?!
Kumbe mtambo na anakutombah Ni maneno yanayofanana kwa huko Zenji?TCRA wamechemka.
View attachment 2082413
MNH!TCRA wamechemka.
View attachment 2082413
May labda kila mtu ana sensitivity yake ya kusikia, mimi jana nilisoma comment za watu sikutizama clip, ila kupitia comment ya wakazi nikaenda kuisikiliza tena.Kumbe mtambo na anakutombah Ni maneno yanayofanana kwa huko Zenji?
Nimefahamu Sasa.
Yeye kasema "Mtambo.......",TCRA "wamesikia vingine......".MNH!
Nimerudia tena na tena kuisikiliza hiyo clip...
Bado Zuchu hajanishawishi, ingawaje kwa haiba ya Zuchu, badala ya kujiuliza "alikuwa anajaribu kusema nini hasa" labda nijiulize alikuwa anafikiria nini kichwani mwake!!
Hilo neno MTAMBO hapo haliingii... I wish ningeona clip ndefu zaidi!!
Nasema haliingii kwa sababu ameanza na "una..."! Sasa "wewe una mtambo wewe..." mbona hai-make any sense?!
Na hata ukiichunguza tone na body language, bado havi-match kabisa na neno "una mtambo"
What was she thinking?!
kwa sababu yeye ni mtoto basi wote anajua ni watoto shenzi zakeMNH!
Nimerudia tena na tena kuisikiliza hiyo clip...
Bado Zuchu hajanishawishi, ingawaje kwa haiba ya Zuchu, badala ya kujiuliza "alikuwa anajaribu kusema nini hasa" labda nijiulize alikuwa anafikiria nini kichwani mwake!!
Hilo neno MTAMBO hapo haliingii... I wish ningeona clip ndefu zaidi!!
Nasema haliingii kwa sababu ameanza na "una..."! Sasa "wewe una mtambo wewe..." mbona hai-make any sense?!
Na hata ukiichunguza tone na body language, bado havi-match kabisa na neno "una mtambo"
What was she thinking?!
Kitengee kawaharibu wenzieKama kipindi cha kurasa za magazeti akiwepo Zembwela ndio vurugu mara waingie na mapanga, visu na mkuki eti wanasoma magazeti, sijui hivyo vitu vina uhusiano gani ni kipindi cha redioni.
Zuchu azingue, vp Wakazi nae anazingua........?anazingua huyu anatufanya wote watoto ujue
itakuwa kuna mtu kaenda kulalama huko walikuwa wanataka kuipiga kimya au wasaf walitoa mpunga ishu ikabid ipigwe kimyaZuchu azingue, vp Wakazi nae anazingua........?
Halafu why msimamizi wa maadili kipindi kimeruka 2021,leo ndipo ukitolee maamuzi, huu si udhaifu mkubwa sana kwa TCRA.
Unaleta assumption (...itakuwa....) ..... watoe mpunga upi wakati hawana kosa.itakuwa kuna mtu kaenda kulalama huko walikuwa wanataka kuipiga kimya au wasaf walitoa mpunga ishu ikabid ipigwe kimya
Hiyo ina kuwa ni recorded, yaani wanamhoji mgeni, ili badaye ndio wakirushe hewani sasa kunapokuwa na lugha isiyo faa ndio huweka hicho ki kingere, ili kuipotezea!!wewe jaribu tu hapo uko mbele za watu polomosha bonge la tusi uone je, kama ungekuwa studio, wangeliepusha vipi!?hahaaaok naomba kujua kuna ile unakuta kama anayehojiwa anatoa matusi wanapiga kialarm flan hv hii nayo huwezi fanya kwenye live show??
ok naomba kujua kuna ile unakuta kama anayehojiwa anatoa matusi wanapiga kialarm flan hv hii nayo huwezi fanya kwenye live show??
OkHiyo ina kuwa ni recorded, yaani wanamhoji mgeni, ili badaye ndio wakirushe hewani sasa kunapokuwa na lugha isiyo faa ndio huweka hicho ki kingere, ili kuipotezea!!wewe jaribu tu hapo uko mbele za watu polomosha bonge la tusi uone je, kama ungekuwa studio, wangeliepusha vipi!?hahaaa
Sababu kasema "....Mtambo.....",kwani ww na TCRA mnaelewa nini mtu anaposema ".mtambo. ".kivip hawana kosa aisee
Kubishana na mshabiki wa wasafi huo Muda Bora ukajichue tu mzee.kivip hawana kosa aisee
Zuchu azingue, vp Wakazi nae anazingua........?
Halafu why msimamizi wa maadili kipindi kimeruka 2021,leo ndipo ukitolee maamuzi, huu si udhaifu mkubwa sana kwa TCRA.
MNH!
Nimerudia tena na tena kuisikiliza hiyo clip...
Bado Zuchu hajanishawishi, ingawaje kwa haiba ya Zuchu, badala ya kujiuliza "alikuwa anajaribu kusema nini hasa" labda nijiulize alikuwa anafikiria nini kichwani mwake!!
Hilo neno MTAMBO hapo haliingii... I wish ningeona clip ndefu zaidi!!
Nasema haliingii kwa sababu ameanza na "una..."! Sasa "wewe una mtambo wewe..." mbona hai-make any sense?!
Na hata ukiichunguza tone na body language, bado havi-match kabisa na neno "una mtambo"
What was she thinking?!
Katukana wapi? Ukiina mpaka kapost jua yy mwenyewe kajilizisha haina matatizo.Zuchu mwenyewe ndio ameyataka haya mambo yalisha sahaulika lakini kwa kuwasha kwake akapost kukanusha kuwa alitukana lakini akaweka clip inyo onesha na kusikika ametukana na ata ikiweka neno analosema alilsema wala hakuna muunganiko kabisa
Sasa baada ya kuweka comments nyingi zikawa zinapingana nae uku wakiwatag TCRA na kwa uzembe wa Wasafi media bado content ya matusi walikuwa waneiacha youtube
Hivyo TCRA wakapokea wito na kuchukua hatua!
Hata hivyo wasafi media bado hawana watu makini wakuongoza vipindi wamekuwa na makosa mengi sana tena sana