Wasafi tv na radio inakaribia kuwashwa...Tuanze kupendekeza watangazaji

Mazungumzo baada ya habari apewe Le Mutuz
 
Zari na Wema wapewe kipindi cha mipasho
 
Slow-slow na jerry muro wapewe kipindi cha taarabu
 
Hilo Chama ni la Kusaga.
 
unamjua rick ross kama ndiyo taja wasanii wangapi wameimba naye hapa africa.....
kufnya kazi na msanii mkubwa ykupasa uangalie pia na ushawishi wake uliopo kwenye soko katika wakati husika ...kwahiyo wwe ukiletewa FUTURE ..FRENCH MONTANA .KENDRICK NA RICK ROSE ..UTAFNYA KAZI NA YUPI KATI YA HAO MKUU
 

linex angekomaa na utangazaji angekuwa mbali chibu amchukue mwana kwenye chama letu
 
kufnya kazi na msanii mkubwa ykupasa uangalie pia na ushawishi wake uliopo kwenye soko katika wakati husika ...kwahiyo wwe ukiletewa FUTURE ..FRENCH MONTANA .KENDRICK NA RICK ROSE ..UTAFNYA KAZI NA YUPI KATI YA HAO MKUU
kendrick..... ndio kwa sababu anatrend lakini ukiangalia kufanya kazi na rick ross si kazi ndogo kwa sababu unajua ni msanii mkubwa hivo anapata wasanii wengine wakubwa zaidi wa kufanya nao kazi
 
kendrick..... ndio kwa sababu anatrend lakini ukiangalia kufanya kazi na rick ross si kazi ndogo kwa sababu unajua ni msanii mkubwa hivo anapata wasanii wengine wakubwa zaidi wa kufanya nao kazi
okay ..anastahiki kupongezwa kwa juhudi zake hizo ..lkini ktk industry ukitaka utoboe yakupsa ufnye kazi na wasanii waliopo juu katika nyakati stahiki...mfano ukifnya kzi na migos ..Bruno mars .card b. quavo .future .na kina young thug macho ya watu yatakuwa kwako zaidi kwa sbabu hao unaofnya nao niwatu wnaofutaliwa mnoo kwa sasa ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…