Wasafi tv na radio inakaribia kuwashwa...Tuanze kupendekeza watangazaji

Mwanaume anayeandika hivyo , binafsi namuona kama mtoto fulani laini laini hivi au "chakula" .
Uandishi wa kutumia x huwa siukubali sana . Huwa unashusha maana ya habari nzima.
 
Ruge mutahaba awe mtangazaji wa kipindi cha mapishi
 
Atafute mwenyewe ...mnampa mapendekezo mnapata wapi muda huo wa kuchezea kwani mpo kwenye bodi
 

Noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…