JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Mwanaume anayeandika hivyo , binafsi namuona kama mtoto fulani laini laini hivi au "chakula" .
Uandishi wa kutumia x huwa siukubali sana . Huwa unashusha maana ya habari nzima.