Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Wakuu mara kadhaa nimejaribu kuangalia hii tv na imeishia kunichosha tu...
Kwa kifupi nilitegemea itakuwa tv ambayo italeta mapinduzi katika sekta ya burudani lakini imekuwa tofauti kabisa...
Hawa jamaa muda wote wanapiga manyimbo yao, ukiwasha tu channel yao unakutana na lavalava, hujakaa kidogo mara kwangwaru, hazijapita dakika mbili Rayvan huyu hapa.. Umeenda bafuni umerudi utamkuta diamond.. Yan ni rotation hiyo kila siku na muda wote... Utakuta wimbo mmoja unapigwa hata mara 30 kwa siku...
Hawa jamaa inabidi wajirekebishe vinginevyo watakimbiwa sana na watazamaji, maana walichokuwa wanakipinga kwenye media nyingine ndicho wanachofanya wengine...
Kwa kifupi nilitegemea itakuwa tv ambayo italeta mapinduzi katika sekta ya burudani lakini imekuwa tofauti kabisa...
Hawa jamaa muda wote wanapiga manyimbo yao, ukiwasha tu channel yao unakutana na lavalava, hujakaa kidogo mara kwangwaru, hazijapita dakika mbili Rayvan huyu hapa.. Umeenda bafuni umerudi utamkuta diamond.. Yan ni rotation hiyo kila siku na muda wote... Utakuta wimbo mmoja unapigwa hata mara 30 kwa siku...
Hawa jamaa inabidi wajirekebishe vinginevyo watakimbiwa sana na watazamaji, maana walichokuwa wanakipinga kwenye media nyingine ndicho wanachofanya wengine...