kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Huyo edo alikuwa anamsifia maximo.katika kila makala kwnye gazeti
. eti ooh maximo bonge la kocha hakuna mfano.. doh yanga si wakaingia mkenge wakamleta na yeye maximo akaona asije peke yake akaja na ndugu wa mke wake sijui JAJA na jojo .. kilichotokea walipokutana na mnyama inabaki kuwa historia!.. kifupi ushauri au maoni ya huyo edo ni ya kupuuza
. eti ooh maximo bonge la kocha hakuna mfano.. doh yanga si wakaingia mkenge wakamleta na yeye maximo akaona asije peke yake akaja na ndugu wa mke wake sijui JAJA na jojo .. kilichotokea walipokutana na mnyama inabaki kuwa historia!.. kifupi ushauri au maoni ya huyo edo ni ya kupuuza